For men when it comes to marriage, physical appearance becomes an added advantage!!

hope kule ulisema wewe ni mzuri,

I have realized that a few members of JF are consistent with their statements. The majority contradict themselves. Somehow, this behaviour undermines reputability of this Forum. I am sorry to say so.
 
Wanawake wazuri waliowengi huwa wanaringa sana wanajiona. Mara nyingi humvutia kila mwanaume hivyo mwanaume akitoka naye anapata shida kwani kila mtu humezea mate siku hizi hata wanawake wenyewe kwa wenyewe wanatamaniana. Sasa wanaume kama mimi sitaki pressure kwani mke akitoka peke yake humwamini kwani haishi kutongozwa, wengine mwisho uzalendo huwaishia na kugawa penzi. Ikitokea kama hii afadhali usipate fununu kwan ukisikia wanaume tunawivu fulan hivyo inakuuma hapo ndo matatizo hayaishi na ndiyo baadhi ya ndoa zenye wake wazuri hazidum kisa wivu wa mapenzi. Wakati wale walioa wanawake wakawaida zinadumu kwani wengi wao hujifaham kuwa si wazuri kivile hivyo wakipata wanatulia wanajiheshimu hawasumbuliwi hata akitoka alone. Na ndoa hizi mara nyingi zinadumu sana up to the end of life. Hivyo wale wanajihisi wazuri waache kujiona na kuwa much know.
 
Ngoja nijichunguze kama mimi ni mbaya au mzuri then nitarudi kukujibu kesho, namsubiri jamaa tu akirudi ntamuuliza aliniolea uzuri au tabia na mengineyo
 
Ni kweli kabisa mwanamke mzuri huwa anasumbua sana katika ndoa, kwanza kabisa kinachotatiza ni kwamba uzuri mara nyingi huenda pamoja na starehe, vile vile huwa wanafikiri kuwa na wanaume wengi ndio inathibitisha uzuri wao, wengi hufikiri kwamba kuwa na mwanamme mmoja ni kama wanazudhulumu nafsi zao, wengi wao hawapendi mwanamme wa kutafuta pamoja wanataka ambaye teyari ameshatafuta yaani ana nguvu kiuchumi hapo ndio wanaangukia kwa waume za watu ambao kimsingi si waoaji. Ndio maana wengi huwa na mahusiano na watu waliowazidi umri sana. Muda mwingi mwanamke mzuri hutumia muda mwingi sana kufikiria juu ya uzuri wake na kufikia kwamba kila mwanamme anahusika na uzuri wake kiasi kwamba muda mwingine hata kushidwa kutekeleza majukumu yake iwe kazini au nyumbani, vile vile hupenda kuwa nadhifu muda wote kiasi kwamba anashidwa hata kufanya majukumu yake kama kupika, kuosha vyombo,kudeki kufua n.k. Mwanamke ambaye ni mzuri sana muda mwingine hata akiwa kwenye ndoa huwa hapendi kuzaa na hata akizaa kunyonyesha hataki, anataka umuwekee wasichana wa kazi hata wawili hata kama yeye ni mama wa nyumbani. Tabia kama hizi ni vigumu kumkuta nazo mwanamke ambaye si mzuri. Nakumbuka mimi nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambaye nilikuwa naye na mahusiano ya kimapenzi alikuwa ni mzuri sana lakini alipokuwa akija ninako ishi mimi alikuwa anataka twende sehemu tukale na sio habari ya kupika nyumbani hii ilikuwa ni mara zote alipokuwa anakuja nyumbani, mara nyingine kama tukichukua take away tukaja kulia nyumbani vyombo vilivyotumika anaviacha kisha mimi badaye mimi naviosha. Lakini niliyempata sasa hivi si mzuri sana lakini naoni hana matatizo kabisa akija nyumbani atafanya usafi kila kona na kupanga vitu na kunishauri nini niongeza katika nyumba, anapika vizuri bila kuambiwa.
 
Ni kweli kabisa mwanamke mzuri huwa anasumbua sana katika ndoa, kwanza kabisa kinachotatiza ni kwamba uzuri mara nyingi huenda pamoja na starehe, vile vile huwa wanafikiri kuwa na wanaume wengi ndio inathibitisha uzuri wao, wengi hufikiri kwamba kuwa na mwanamme mmoja ni kama wanazudhulumu nafsi zao, wengi wao hawapendi mwanamme wa kutafuta pamoja wanataka ambaye teyari ameshatafuta yaani ana nguvu kiuchumi hapo ndio wanaangukia kwa waume za watu ambao kimsingi si waoaji. Ndio maana wengi huwa na mahusiano na watu waliowazidi umri sana. Muda mwingi mwanamke mzuri hutumia muda mwingi sana kufikiria juu ya uzuri wake na kufikia kwamba kila mwanamme anahusika na uzuri wake kiasi kwamba muda mwingine hata kushidwa kutekeleza majukumu yake iwe kazini au nyumbani, vile vile hupenda kuwa nadhifu muda wote kiasi kwamba anashidwa hata kufanya majukumu yake kama kupika, kuosha vyombo,kudeki kufua n.k. Mwanamke ambaye ni mzuri sana muda mwingine hata akiwa kwenye ndoa huwa hapendi kuzaa na hata akizaa kunyonyesha hataki, anataka umuwekee wasichana wa kazi hata wawili hata kama yeye ni mama wa nyumbani. Tabia kama hizi ni vigumu kumkuta nazo mwanamke ambaye si mzuri. Nakumbuka mimi nilikuwa na rafiki yangu wa kike ambaye nilikuwa naye na mahusiano ya kimapenzi alikuwa ni mzuri sana lakini alipokuwa akija ninako ishi mimi alikuwa anataka twende sehemu tukale na sio habari ya kupika nyumbani hii ilikuwa ni mara zote alipokuwa anakuja nyumbani, mara nyingine kama tukichukua take away tukaja kulia nyumbani vyombo vilivyotumika anaviacha kisha mimi badaye mimi naviosha. Lakini niliyempata sasa hivi si mzuri sana lakini naoni hana matatizo kabisa akija nyumbani atafanya usafi kila kona na kupanga vitu na kunishauri nini niongeza katika nyumba, anapika vizuri bila kuambiwa.

Kwa hiyo kwa kifupi unaunga mkono hoja kwamba linapokuja suala la kuoa, wanaume hufikiria zaidi tabia. Uzuri huwa ni sifa ya ziada. Asante kwa mchango wako.
 
Wanawake wazuri waliowengi huwa wanaringa sana wanajiona. Mara nyingi humvutia kila mwanaume hivyo mwanaume akitoka naye anapata shida kwani kila mtu humezea mate siku hizi hata wanawake wenyewe kwa wenyewe wanatamaniana. Sasa wanaume kama mimi sitaki pressure kwani mke akitoka peke yake humwamini kwani haishi kutongozwa, wengine mwisho uzalendo huwaishia na kugawa penzi. Ikitokea kama hii afadhali usipate fununu kwan ukisikia wanaume tunawivu fulan hivyo inakuuma hapo ndo matatizo hayaishi na ndiyo baadhi ya ndoa zenye wake wazuri hazidum kisa wivu wa mapenzi. Wakati wale walioa wanawake wakawaida zinadumu kwani wengi wao hujifaham kuwa si wazuri kivile hivyo wakipata wanatulia wanajiheshimu hawasumbuliwi hata akitoka alone. Na ndoa hizi mara nyingi zinadumu sana up to the end of life. Hivyo wale wanajihisi wazuri waache kujiona na kuwa much know.

ndo maana kule kwa dumela mbegu nilisema wanaume tunapaswa kujiamini,kilicho kizuri lazma kiangaliwe na wengi lkn ww kama mwanaume amini unaweza kumiliki na ukawa mwenyewe,wivu ukizidi ndo mwanzo wa pressure,na si kweli kuwa wanaringa huo ni mtizamo hasi unaoletwa na kutokujiamini kwetu sisi wanaume.
 
ndo maana kule kwa dumela mbegu nilisema wanaume tunapaswa kujiamini,kilicho kizuri lazma kiangaliwe na wengi lkn ww kama mwanaume amini unaweza kumiliki na ukawa mwenyewe,wivu ukizidi ndo mwanzo wa pressure,na si kweli kuwa wanaringa huo ni mtizamo hasi unaoletwa na kutokujiamini kwetu sisi wanaume.
<br />
<br />
 
Am kind of lazy in sharing my views,however,i felt its unfair to just sit back and enjoy reading what others say without unfolding my mind regarding ths topic!!
Wit,nakubaliana na wewe kwamba wanaume wengi huwa tunakosa kujiamini mbele ya wanawake wazuri kiumbo na hii husababisha Wivu! Kwa upande mwingine swala la Kuringa lipo zaidi katika namna mtu anavyojisikia kuliko mwonekano wake ndiyo maana unaweza kukutana na mwanamke ana sura ngumu mithili anatumbuliwa Jipu yet ana ringa!! Mm binafsi nimeshawahi kuna na Mwanamke mmoja ambaye ni wa kawaida kimuonekano lakini ana Maringo tena na Majivuno kibao,sehemu ya Majivuno hayo yanamzizi wake katika Elimu considering kwamba Mwaka huu anapata Bachelor,Perhaps bcz mimi sina Bachelor kwa maana ya Cheti although everytime we put an issue on the table she wud meekly admit kwamba "Processor" yangu kubwa!!
Nilipoona swala la Majivuno ni taarifa dominant ambayo imebebwa katika Vinasaba vyake and there was nothing i could do about it i decident to end our relationship!!!
Nilipofanya hivyo,kwa sababu ya Majivuno yake,hayakumruhusu hata kutaka kujua kwa nn nilifikia maamuzi until more than a month later alipoanza kuniporomoshea matusi ya nguoni and sometimes going as far as questioning my Manhood!!!

Kiujumla itoshe tu kusema kwamba Ukweli kwamba Wanawake wengi(Sio wote) wazuri kiumbo wanaringa sana na cc wanaume ndiyo wa kulaumiwa kwa sababu ya kuwapapatikia kwetu!!
All in all,the foundation of a true and forever-living relationship is Mutual Love!!
I love the woman!
 
Wanaume hatupendi usumbufu. Ukioa mwanamke mzuri sana nayo taabu kila saa unawaza sijui kafanya hivi mara vile basi tafrani mtindo mmoja bora ujiolee mwanamke wa kawaida tu tena wanakuwa na heshima sana anajua huyu akiniacha sina pa kwenda so adabu mpaka raha.
 
Kama kuolewa ni bahati kuoa ni nini!!


Kuoa ni UAMZU. Pindi mwanaume anapokuwa tayari kuoa anaamua tu na kuanza mchakato, kwamba ni mwanamke wa aina gani angependa awe mke wake, ninamaanisha mwanamke mwenye sifa anazozitaka yeye. Lakini kwa wanawake ni tofauti, unaweza kuwa umefikia umri wa kuolewa, na kweli ungependa unakuwa na kila kitu, gari, nyumba, pesa sasa kinachokuwa kimebaki ni kuolewa na hauolewi kwa sababu sis wewe unayeoa bali unasubiri mpaka mtu akuowe, kwa hiyo bahati ikitokea unaolewa, isipotokea ndo utakaa na nyumba yako, gari, pesa bila kuolewa. Lakini mwanaume akishakuwa na vyote hivyo na anataka kuoa anaamua tu na anaoa.
 
Kumbe wabaya tuna soko la ndoa!What a relief!

Lizzy, hakuna mwanamke mbaya hata m1.
by nature wanawake mmeumbwa kuvutia halaf waname kuvutiwa, kubwa zaidi hatukuumbwa uniformly.kinachonivutia kwako chaweza kisimvutie kabisa gosbertgoodluck.
 
Lizzy, hakuna mwanamke mbaya hata m1.
by nature wanawake mmeumbwa kuvutia halaf waname kuvutiwa, kubwa zaidi hatukuumbwa uniformly.kinachonivutia kwako chaweza kisimvutie kabisa gosbertgoodluck.

Some truthness!
 
Lizzy, hakuna mwanamke mbaya hata m1.
by nature wanawake mmeumbwa kuvutia halaf waname kuvutiwa, kubwa zaidi hatukuumbwa uniformly.kinachonivutia kwako chaweza kisimvutie kabisa gosbertgoodluck.

Asante Tasia ila mbona mtaani tunasemwa kila siku?...tena na kila mtu!Wengine wakichekewa na kuongeleshwa sie tunabaki kung'aa macho tu!
 
Hakuna mzuri hakuna mbaya zaidi wote level maana kila dizaini ina watu watype yake wanaoendana na wakisimamia show aaah!...wanauza ile mbaya.
 
Lizzy, hakuna mwanamke mbaya hata m1.
by nature wanawake mmeumbwa kuvutia halaf waname kuvutiwa, kubwa zaidi hatukuumbwa uniformly.kinachonivutia kwako chaweza kisimvutie kabisa gosbertgoodluck.

Hayo ndo maneno: pata hii hapa:
The Following 2 Users Say Thank You to Tasia I For This Useful Post:

Keren_Happuch (Today)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom