Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,821
alitofanyiwa yeye madogo? nyie mkifumania tu talaka mbele cc ndio mnatuona wagumu.! na haya mambo pia ni magumu Kaizer....
Ni kweli nyamayao, lakini naangalia watoto..wamekosa nini?
alitofanyiwa yeye madogo? nyie mkifumania tu talaka mbele cc ndio mnatuona wagumu.! na haya mambo pia ni magumu Kaizer....
kaharibu ni kidogo sasa.
Sio dawa hiyo ni magonjwa tuu mnaleteana maana na yeye vile vile atakwenda kwa nyumba ndogo yake kimya kimya...mara baada ya miezi kadha vikohozu visivyoisha, kuharisha kwa mara kwa mara, malaria sugu, homa za hapa na pale, vipele na ukurutu mwili mzima...haya sasa asara kwa nani si nyinyi wote jamani. Wanaume ondoeni mawazo potofu yaliotawala akili zenu...amkeni jamani hii sio miaka ya 45.Duh kwa hiyo siku zinavyo zidi kwenda ndo unaonyesha makucha yako? Unalinga kwa vile upo ndani ya ndoa...wewe unakaribisha nyumba ndogo au uke wenza hivi hivi na hii ndo dawa kwa mwanamke anae linga unasogeza nyumba ndogo tu.
Sio dawa hiyo ni magonjwa tuu mnaleteana maana na yeye vile vile atakwenda kwa nyumba ndogo yake kimya kimya...mara baada ya miezi kadha vikohozu visivyoisha, kuharisha kwa mara kwa mara, malaria sugu, homa za hapa na pale, vipele na ukurutu mwili mzima...haya sasa asara kwa nani si nyinyi wote jamani. Wanaume ondoeni mawazo potofu yaliotawala akili zenu...amkeni jamani hii sio miaka ya 45.
Ni kweli nyamayao, lakini naangalia watoto..wamekosa nini?
Kwa jinsi navyo wajua nyie wanawake iwa mnakuwa na misimamo ya ajabu lakini utaona tayari ananywea jamaa anaanza kumega kama kawa haya maswala ya wanandoa yaacheni watu wanafumaniana kesho wapo pamoja.
Sawa hata kama niko out dated ila habari ndo hiyo and my msg is delivered. Tuendle.hehehehe karibu Penny mjadala ulisha hama huko upo mbali sana jaribu kufuatilia tunamsaidia ndugu yake sijui rafiki yake Nyamayao....
ndio maana cjamshauri lolote mpaka sasa, nasubiri akili yake i2lie then ajue cha kufanya.