LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Zoezi la kukata tumbo ni jepesi sana na huonyesha matokea mda mfupi sanaaa.
Matokea mazuri na yaharaka hutokana na ulaji.Unaweza fanya zoezi miaka 800 kamwe usikate tumbo kama ulaji wako ni mbovu.
Hasa mlo uongozao kwa kuhalibu tumbo ni mlo wa usiku.
Na kama ni mpenzi wa chips basi ndo kabisaa unaharibu.
Kuwa makini sana na mazoez ya tumbo utajutia maishan mwako kama utayafanya vibaya hasa kama utatumi rola(kitaili).
Matokea mazuri na yaharaka hutokana na ulaji.Unaweza fanya zoezi miaka 800 kamwe usikate tumbo kama ulaji wako ni mbovu.
Hasa mlo uongozao kwa kuhalibu tumbo ni mlo wa usiku.
Na kama ni mpenzi wa chips basi ndo kabisaa unaharibu.
Kuwa makini sana na mazoez ya tumbo utajutia maishan mwako kama utayafanya vibaya hasa kama utatumi rola(kitaili).