Monasha
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 561
- 422
Kwa wale wenzangu na mimi tuliomaliza six mwaka huu(2011) na unajiona unataka na unafaa kuomba mkopo, ni uwanja wako sasa. unaweza kuaaply hata kabla ya matokeo lakini angalia pia isije kula kwako.
Mwaka huu bwana itakulazimu ujue jinsi ya kutumia internet. Fanya hala kuaaply ndugu. Mwisho wake ni June 30.
Nakutakieni application njema.
Mwaka huu bwana itakulazimu ujue jinsi ya kutumia internet. Fanya hala kuaaply ndugu. Mwisho wake ni June 30.
Nakutakieni application njema.