Fomaika zinauzwa wapi

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,855
8,251
Wadau nauliza duka linalouza fomaika jijini Dar,kama kuna anayefahamu tafadhali anipe maelezo ya duka lilipo,hasa nahitaji za rangi nyeupe na pia rangi nyeusi,natanguliza shukrani.
 
technology ya zamani hiyo mkuu...siku hizi kuna materials zinaitwa "Melamine boards" na "MDF boards" zinakuwa na profile ya Formica at the facing side
 
technology ya zamani hiyo mkuu...siku hizi kuna materials zinaitwa "Melamine boards" na "MDF boards" zinakuwa na profile ya Formica at the facing side

Heshima mbelee mkuu LAT, nakukubali sana mkuu! Hizo boards huwa haziniridhishi ubora wake mkuu, labda kama zinatofautiana quality! Mfano mtu unataka kitu cha harwood mtipori halisi, lakini pale juu unataka kuweka material ambayo itazuia scratch na kupendezesha zaidi, hauoni kwamba hizo "fomaika" zinafaa zaidi? Au kama mtu anataka kutengeneza kitu kama makabati ya jikoni kwa kutumia mbao za kawaida kwa uimara, lakini anataka jiko liwe mordenish, huoni kuwa ni wazo zuri kutumia fomaika? Mawazo zaidi mkuu, kama kuna fundi seremala ashushe mawazo pia.
 
Heshima mbelee mkuu LAT, nakukubali sana mkuu! Hizo boards huwa haziniridhishi ubora wake mkuu, labda kama zinatofautiana quality! Mfano mtu unataka kitu cha harwood mtipori halisi, lakini pale juu unataka kuweka material ambayo itazuia scratch na kupendezesha zaidi, hauoni kwamba hizo "fomaika" zinafaa zaidi? Au kama mtu anataka kutengeneza kitu kama makabati ya jikoni kwa kutumia mbao za kawaida kwa uimara, lakini anataka jiko liwe mordenish, huoni kuwa ni wazo zuri kutumia fomaika? Mawazo zaidi mkuu, kama kuna fundi seremala ashushe mawazo pia.

mkuu Amoeba .... Kitu cha hardwood huwezi kuweka formica utapoteza intrinsic value yake ...imagine mninga/mvule/mkongo au panga panga unaiweka formica juu yake .... itakuwa ni waste of resources ... hivyo formica matumizi yake ni kwenye boards na softwoods .... hivyo basi wenzetu wameamua kurahisisha matumizi kwa kuziunganisha zote kwa pamoja

kumbuka kwamba kuna matumizi ya aina mbali mbali na matumizi yote pia yana materials ambazo ni tofauti pia

sehemu zilizo dry kama book shelves na wadropbes za nguo boards zinazotumika ni normal ... lakini wet areas kama kitchens/kitchenettes tunatumia water resistant boards ... hata gypsum boards zipo ambazo ni water resistant .... na worktops za jikoni au wc tops tunatumia marble au granite ... haya ndiyo matumizi proper .... pia finishing ya formica ni ngumu sana especially at the edges na ugundishaji huu wa kienyeji haiachi kubanduka mara kwa mara ... hii ndiyo inayopelekea wenzetu kuigundisha na boards kwa kutumia industrial process ambayo ni surface pressing

kwa kweli kwa karne hii hata mafundi kuwauliza formica walishasahau ingawa bado zipo .... nakubaliana na wewe kwmba kama kawaida kuna bidhaa za boards zinazotoka sehemu kama china hazina ubora ... hebu pata boards za South Africa utaniambia mkuu
 
Last edited by a moderator:
mkuu Amoeba .... Kitu cha hardwood huwezi kuweka formica utapoteza intrinsic value yake ...imagine mninga/mvule/mkongo au panga panga unaiweka formica juu yake .... itakuwa ni waste of resources ... hivyo formica matumizi yake ni kwenye boards na softwoods .... hivyo basi wenzetu wameamua kurahisisha matumizi kwa kuziunganisha zote kwa pamoja

kumbuka kwamba kuna matumizi ya aina mbali mbali na matumizi yote pia yana materials ambazo ni tofauti pia

sehemu zilizo dry kama book shelves na wadropbes za nguo boards zinazotumika ni normal ... lakini wet areas kama kitchens/kitchenettes tunatumia water resistant boards ... hata gypsum boards zipo ambazo ni water resistant .... na worktops za jikoni au wc tops tunatumia marble au granite ... haya ndiyo matumizi proper .... pia finishing ya formica ni ngumu sana especially at the edges na ugundishaji huu wa kienyeji haiachi kubanduka mara kwa mara ... hii ndiyo inayopelekea wenzetu kuigundisha na boards kwa kutumia industrial process ambayo ni surface pressing

kwa kweli kwa karne hii hata mafundi kuwauliza formica walishasahau ingawa bado zipo .... nakubaliana na wewe kwmba kama kawaida kuna bidhaa za boards zinazotoka sehemu kama china hazina ubora ... hebu pata boards za South Africa utaniambia mkuu

Thanx Brother, wewe ni seremala? Kazi zako unfanyia wapi kaka?
 
technology ya zamani hiyo mkuu...siku hizi kuna materials zinaitwa "Melamine boards" na "MDF boards" zinakuwa na profile ya Formica at the facing side
Nimeipenda hii mkuu nataka fomaika kwa ajili nataka kutengeneza shelf za ukutani kwa kutumia mbao kwani sijaona mbao ambazo ni special kwa shelf,napenda kama zile za display ukienda kama kwenye maduka ya Samsung/Tigo/Voda huwa na display nzuri.Pia nataka fomaika kwa ajili ya kutumika kama wall paper, nataka kusanifisha ukuta .
Thx kwa ushauri nitajibu kucheck hizo boards ulizoniambia,sijui ni duka gani ambalo naweza kupata hivyo vitu.
 
Zinapatikana DIY changombe 0754260135 au Kwa mwarabu Mwenge unashukia Lufungira uliza Osambi wood works
 
Zinapatikana DIY changombe 0754260135 au Kwa mwarabu Mwenge unashukia Lufungira uliza Osambi wood works
Asante sana kaka ngoja nipite hapo Osambi,kumbe napita pande hiyo na sijui kitu
 
Back
Top Bottom