leo majira ya saa mbili kasoro mpaka saa mbili na nusu nimethibitisha kili nilichokua nakifikiria kila wakati ninapokuta
foleni kubwa barabara ya mandela. maeneo ya songas kuna u turn. Ilikua gari
NO T470 BNT TOYOTA CORONA PREMIO yenye tinted walikua trafic waili wakivizia daladala
zinazogeuza wanazikamata then wanachuka funguo za gari abiria wakiondoka dereva wa daladala
anamkatia trafik mpunga(rushwa) anamrudishia funguo daladala linaenda kupakia abiria pale kitua cha darajani
linaendelea na kazi. mpaka naondoka dala dala saba zilikua zimekamatwa na kuachiwa.
Hii sio mara ya kwanza kwani hata jioni huwa unakuta folen imeanzia mtaa ya garage kabla hujafika extenal sasa wale madereva wenye haraka wakitanua wanakuta polisi wa kituo cha extenal wanawakamata ukienda kituon kuchukua fungua unakata mpunga unaruhusiwa kuendelea na safari
ukifika mtaa ya river side mambo ni hayo hayo kutoka polisi wa kituo cha kibangu.
hakuna kuandikiwa notification wala nn unatoa mpunga wanakuachia.
wanapo kua wamekamata gari hawa matrafik wanawasiliana kwa simu za mkononi na dhani yule
ane ongoza magari ili folen iwe kubwa.
hii hua inatokea hata hata ukifika mtaa ya buguruni ukikuta wapo mtaa karibu na kituo cha mafuta
buguruni folen inaanzia tabata anae tanua anakamatwa anaka mpunga anaondoka
JEE HUU SIO MRADI WA MATRAFIAK
foleni kubwa barabara ya mandela. maeneo ya songas kuna u turn. Ilikua gari
NO T470 BNT TOYOTA CORONA PREMIO yenye tinted walikua trafic waili wakivizia daladala
zinazogeuza wanazikamata then wanachuka funguo za gari abiria wakiondoka dereva wa daladala
anamkatia trafik mpunga(rushwa) anamrudishia funguo daladala linaenda kupakia abiria pale kitua cha darajani
linaendelea na kazi. mpaka naondoka dala dala saba zilikua zimekamatwa na kuachiwa.
Hii sio mara ya kwanza kwani hata jioni huwa unakuta folen imeanzia mtaa ya garage kabla hujafika extenal sasa wale madereva wenye haraka wakitanua wanakuta polisi wa kituo cha extenal wanawakamata ukienda kituon kuchukua fungua unakata mpunga unaruhusiwa kuendelea na safari
ukifika mtaa ya river side mambo ni hayo hayo kutoka polisi wa kituo cha kibangu.
hakuna kuandikiwa notification wala nn unatoa mpunga wanakuachia.
wanapo kua wamekamata gari hawa matrafik wanawasiliana kwa simu za mkononi na dhani yule
ane ongoza magari ili folen iwe kubwa.
hii hua inatokea hata hata ukifika mtaa ya buguruni ukikuta wapo mtaa karibu na kituo cha mafuta
buguruni folen inaanzia tabata anae tanua anakamatwa anaka mpunga anaondoka
JEE HUU SIO MRADI WA MATRAFIAK