Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Wakuu niko huku mail moja sisogei popote ,hamna matrafiki huko mbele wa kutusaidia, kama kuna mdau amebanwa na hii jam atujuze ili tutafute utaratibu mwingine ,toka saa 11 nipo on road !
Au mrudi mpaka TAMCO Kuna barabara yatokea Bagamoyo... poleni ilauliza wenyeji...
Au mrudi mpaka TAMCO Kuna barabara yatokea Bagamoyo... poleni ilauliza wenyeji...
Poleni sana.
asante mpendwa, naona tunamove mdogmdogo,
Tamko kuna barabara inapita Mabwe pande unatokea Bunju kisha fasta unakuwa Mwenge. Hautokei Bagamoyo bana..... Au ukitaka unatoka Maeneo hayo ya Tamko unapita Mpiji Magoe,unapita Mbezi Makabe kisha unatokea Mbezi Tangi bovu kisha fasta upo Mwenge. Zote ni rough road lakini zimechongwa fresh. Ukitaka kuwahi Dar uwe mbunifu!
ukifikiria sana inaudhi na ndio "jiji"hilo jiji ndio maana silipendi. Masaa matano njiani utafikiri unaenda mkoani.
Wakuu niko huku mail moja sisogei popote ,hamna matrafiki huko mbele wa kutusaidia, kama kuna mdau amebanwa na hii jam atujuze ili tutafute utaratibu mwingine ,toka saa 11 nipo on road !