mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
ile foleni kubwa inayotokea nyakati za asubuhi , kumbe dili kati ya matrafiki na waendesha piki piki a.k.a. bodaboda, nikiwa nimebebwa nilijaribu kudadisi nikapata ukweli wake. Dili liko hivi, bodaboda uchanga elfu moja mpaka mbili , umpelekea traffic aliye zamu, hapo ndipo kimbembe kinapoanza, ataruhusu upande mmoja kwa muda mwingi ili wale wote waliochelewa makazini washuke wapande piki piki, pikipiki moja upanda kuanzaia elefu saba hadi kumi, inafuatana mapatano kati ya yeye na abiria. Hivyo ndio umekuwa mchezo wao wa kila siku. Hivyo chunguzeni nanyi mtujulishe