Foleni ktk mapenzi

Mawenzi

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,251
345
Mpenda wanawake alikuwa kasimama nyuma ya demu ktk foleni ya kununua mikate.. Jamaa akamwambia demu: Mrembo bora nikuoe upumzike na hizi foleni za kila siku! Demu akamuuliza jamaa: Je una mke? Jamaa akajibu: Ninao wawili. Demu akamwambia: Akaaa, samahani bora foleni za mikate kuliko za M***!!!
 
Hahahahahaha naweka picha foleni ya kulala na mume, lol
 
Wanaume kwa kupenda kutupanga foleni, na siku hizi wanakomeshwa yeye akipanga kuanzia mlango wa mbele na demu anapanga kuanzia mlango wa jikoni. mshindano tu. mtenda hutendwa
 
Wanaume kwa kupenda kutupanga foleni, na siku hizi wanakomeshwa yeye akipanga kuanzia mlango wa mbele na demu anapanga kuanzia mlango wa jikoni. mshindano tu. mtenda hutendwa



Hiyo safi sana maana kila mmoja anakuwa bize kuutafuta UKIMWI,na wakishaupata kila mmoja anakuwa bize kuusambaza zaidi......
 
Sitaki kabisa foleni ya mapenzi bora mkate, namtaka wangu wa peke yangu wa milele sitaki kushare na mtu
 
Hahahahaha! Mbona Mi nazipenda foleni za mapenzi. Ila wakati nasubiria niwe nimekaa.
 
Sitaki kabisa foleni ya mapenzi bora mkate, namtaka wangu wa peke yangu wa milele sitaki kushare na mtu

selfish!! wanawake mlivyo wengi cku hz hlf unataka wako peke yako?! sema hutaki kushea ukijua.
 
Mpenda wanawake alikuwa kasimama nyuma ya demu ktk foleni ya kununua mikate.. Jamaa akamwambia demu: Mrembo bora nikuoe upumzike na hizi foleni za kila siku! Demu akamuuliza jamaa: Je una mke? Jamaa akajibu: Ninao wawili. Demu akamwambia: Akaaa, samahani bora foleni za mikate kuliko za M***!!!
haaah duh hii kali haysee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom