Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
habari wanajamvi. hivi zile habari za kutujengea barabara tano,tano juu na chini zimeishia wapi, wale wa Kigoma vipi ule uwanja waliouhaidi magamba ushaanza kufyekwa?Wakazi wa Dar es salaam(hasa magamba) nadhani suala la kuuliza kwenye ile mikutano ya CDM square ni kuhusu flyover za ubungo au ndo vile tena tusubiri mwakani?politician are so fun....