Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Mambo zenu? nyinyi bado kutuletea vigreti thinka juniorz?
dawa tamu mambo zako?
Mambo zenu? nyinyi bado kutuletea vigreti thinka juniorz?
Nipo gado tu. Vipi kitaeleweka? nipo kwenye mood kweli yaani leodawa tamu mambo zako?
Nipo gado tu. Vipi kitaeleweka? nipo kwenye mood kweli yaani leo
Mambo zenu? nyinyi bado kutuletea vigreti thinka juniorz?
Nakuja aisee! andaa makelele ya kutoshatena nahitaji massage ya kufa nyau
Shwari kbs loya,vp mzima ww!mie ndio natarajia baada ya miezi 8 itakua ni wakati wetu wa kutupongeza mie na mme wangu rejao!
Dah! rejao hakawizi aisee, si mlichumbiana sku ile ya mgomo wa madaktari nyinyi?
Itabidi ukuje ofisini bila rejao ili tuijadili hiyo. Ofisi yangu haina A/c ukuje na nguo nyepesi nyepesi transparent kuepuka jotovp kisheria kwan kuna tatizo!
Mambo zenu? nyinyi bado kutuletea vigreti thinka juniorz?
Itabidi ukuje ofisini bila rejao ili tuijadili hiyo. Ofisi yangu haina A/c ukuje na nguo nyepesi nyepesi transparent kuepuka joto
Itabidi ukuje ofisini bila rejao ili tuijadili hiyo. Ofisi yangu haina A/c ukuje na nguo nyepesi nyepesi transparent kuepuka joto
Itabidi ukuje ofisini bila rejao ili tuijadili hiyo. Ofisi yangu haina A/c ukuje na nguo nyepesi nyepesi transparent kuepuka joto
Nakuja aisee! andaa makelele ya kutosha
teh teh teh! Nasikia bunduki yako ya mchina hata risasi haina!!!
Tangu enzi za migombani hujaridhika tu?? Basi aje amevaa chandarua kabisa!
Toobaaaaa!aiseee loya hii itakua ngumu aiseee!ww sema tu km unataka hela just name a price mme wangu atakupa kuliko mie kuja bila yeye alafu na pamba za ivo lol!
mhh kweli dawa tamu leo umeamua
Dah! acheni nilog out warembo. Nina press conference la kuzungumzia "faida za kwenda chumvini kabla breakfast", nitarushwa laivu na KBC TV Kenya.
Msalimieni Husninyo akikuja.
Dah! acheni nilog out warembo. Nina press conference la kuzungumzia "faida za kwenda chumvini kabla breakfast", nitarushwa laivu na KBC TV Kenya.
Msalimieni Husninyo akikuja.
Darling wa kwetu ndio mwezi mmoja kamili bado miez 8 na ce tupongezwe swty!
Hizi mimba zinazonadiwa mapema hivi, ndiyo nyingi zake baadae tunakuja ambiwa imekimbilia mgongoni .