HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
HABARI WANDUGU.
Katika kusaka masomo ya masters, naona OUT imetulia, masters-MBA inaprogramme nzuri-marketable na wanatoa through 3 options; distance learning, evening mode-dsm only na executive(mwanza,mbeya, zanzibar na arusha). swali ni je; mimi ni tutorial assistant ktk moja ya vyuo vikuu hapa nchini, je ni sahihi nikisoma MBA via distance learning au ni njia ipi itanifaa? je distance learning inakubalika kwa wakufunzi wa vyuo vikuu????
wajuzi watujuze
Katika kusaka masomo ya masters, naona OUT imetulia, masters-MBA inaprogramme nzuri-marketable na wanatoa through 3 options; distance learning, evening mode-dsm only na executive(mwanza,mbeya, zanzibar na arusha). swali ni je; mimi ni tutorial assistant ktk moja ya vyuo vikuu hapa nchini, je ni sahihi nikisoma MBA via distance learning au ni njia ipi itanifaa? je distance learning inakubalika kwa wakufunzi wa vyuo vikuu????
wajuzi watujuze