Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 895
Wabongo tuna tatizo kubwa LA appreciation, tukishafanikiwa huwa atujiulizi kwa sababu gani tumepata hayo mafanikio. Badala yake tunaona tunastahili kupata hayo mafanikio, ni kipaji, ni ujanja. Hivi ni wangapi warembo na wenye mvuto wako mitaani?