Flag Bearer wa urais CHADEMA 2015 ni Dr. Slaa!

Ukanda ndio unaimaliza CDM! Ukifuatilia kwa umakini utagundua CDM haiko tayari kuona mtu au mwanachama yeyote kutoka mikoa isiyo ya Kaskazini anataka either kuwa mwenyekiti wa CDM or kuwa MGOMBEA wa Urais ndio maana mzee Mtei akisikia tu mtu wa kanda zisizo za Kaskazini atakuwa mkali utafikili mtu huyo kisha chaguliwa.Kwa nionavyo mimi chadema wana safari ndefu sana ya kuchukua nchi hii.Lazima waachane na ukanda kwanza waweke nchi mbele.Tusubili na tuombe mungu 2015 tufike na wanaodhani CDM itashinda wajiandae kupata ugonjwa wa Moyo kwani hata kura alizopata Dr Slaa mwaka 2010 Mgombea wao hatapata na hata sehemu walizopata wabunge mwaka 2010 kama Nyamagana,Kawe,Ilemela,Ukerewe,Arumeru,Arusha hawatashinda anaebisha asubili 2015 aone CDM itakavyopoteza mwelekeo na watabaki kusema wameibiwa.
Bob Makani alikuwa mtu wa kaskazini?
kuna taratibu za chama za kumpata mgombea either wa udiwani, ubunge au urais so tuache taratibu za chama zifuate mkondo wake.
 
CHADEMA hakuna ukanda hata kidogo! Na wote mnaosema kuna ukanda ni magamba 2 mbona wengine hapa hata huo ukanda wa kaskazini mnaousema hatujawahi hata kuishi huko? Sasa iwaje wapumbavu wachache mseme CDM ni ya ukanda? Ila CDM anawekwa mtu anayekubalika na majority na sio umaarufu wala dini wala ukanda, Mm binafsi huwa nawakubali sana Lema na Zitto lakin ktk hili la urais jamani mwenye chake apewe ambaye ni Dr slaa.
Only time will tell.
 
Zitto anakubalika sana kitaifa akilinganishwa na Mbowe au Slaa.
Ana uwezo mkubwa wa kuongoza na ni mzalendo wa dhati.
Tatizo ni CDM na malengo yao. Hawataki kumpa nafasi kwa sababu anaonekana 'si mwenzao', kwa sababu labda si wa Kaskazini.
Wenye 'kampuni' wanamwona ni 'mnyamahanga' (Kihaya), au 'chasaka' (Kichagga). Na hii hali ndo itakayoimaliza CDM.

Bado nasisitiza, ASIPOSIMAMISHWA ZITTO UCHAGUZI 2015, .... kitanuka!


Sasa nimeamini kuwa kuna watu wanatafuta mahali pembamba ktk kamba ya kuwania kiti cha urais CDM ili wakate hapo mahala. Yote hii ni ili kuleta mfulughano ndani ya CDM wakidhani kwa post ya rais watawakoroga CDM. Thanks God; Zitto, Slaa, Mbowe nk wako very makini kujua nini na wapi CCM wanataka kupenyeza hoja zao si tu kwa maneno bali hata kisaikolojia pia ili kufanikisha matakwa yao .

Zitto, Slaa, Mbowe nk, wanajuwa kuwa hata samaki anategwa kwa chambo ili anaswe, hata CDM yawezategwa kwa kauli za wa2 ili tu kuwepo utofauti ktk chama na CCM kuendeleza ukoloni kama kawaida.

Ni imani yangu kuwa Zitto, Slaa, Mbowe wanayo niya ya dhati kuwakomboa watz sio matumbo yao kama CCM. So don't west time kwa kuwashauri CDM nani asimame 2015 wakt wao wanavua Magamba daily na kuwavalisha Magwanda makada wa CCM. Time will tell, CDM is a self determined political institution led by highly understanding and complex vision. Wait and see!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

Freedom is comming soon
 
Sasa nimeamini kuwa kuna watu wanatafuta mahali pembamba ktk kamba ya kuwania kiti cha urais CDM ili wakate hapo mahala. Yote hii ni ili kuleta mfulughano ndani ya CDM wakidhani kwa post ya rais watawakoroga CDM. Thanks God; Zitto, Slaa, Mbowe nk wako very makini kujua nini na wapi CCM wanataka kupenyeza hoja zao si tu kwa maneno bali hata kisaikolojia pia ili kufanikisha matakwa yao .

Zitto, Slaa, Mbowe nk, wanajuwa kuwa hata samaki anategwa kwa chambo ili anaswe, hata CDM yawezategwa kwa kauli za wa2 ili tu kuwepo utofauti ktk chama na CCM kuendeleza ukoloni kama kawaida.

Ni imani yangu kuwa Zitto, Slaa, Mbowe wanayo niya ya dhati kuwakomboa watz sio matumbo yao kama CCM. So don't west time kwa kuwashauri CDM nani asimame 2015 wakt wao wanavua Magamba daily na kuwavalisha Magwanda makada wa CCM. Time will tell, CDM is a self determined political institution led by highly understanding and complex vision. Wait and see!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

Freedom is comming soon

Jipe moyo lakini ujue kuwa dhambi ya kumtenga Zitto itaendelea kuwatafuna. CDM imekuwa haimtendei haki kuanzia kwenye kutaka kuwania Uenyekiti kitaifa, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, na hata urais.

Hatujasahau mlivyomfokea alipotangaza kuwa ana nia ya kugombea urais kitu ambacho ni haki yake.

Ukandamizaji huu ukifanywa tena dhidi ya Zitto kwenye uteuzi wa mgombea wa 2015 ..... hakika PATACHIMBIKA.
 
Huyo Slaa mwamfurahia time hii ambayo hana madaraka serikalini, ila mkijichanganya tu kumpa kura mtajuta watanzania. Yaani atakayofanya ni tofauti na matarajio yenu. Kwa kifupi hakuna kiongozi wa kweli hapa Tanzani, wote wanasumbuliwa na njaa tu.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Back
Top Bottom