Naomba nitofautiane na wewe. Nani alileta mambo ya kulawiti huku kwetu Afrika Mashariki? Si Waarabu! Historia inaonyesha kabisa mambo ya kulawiti kule Uganda ilianzishwa na Waarabu na hata hapa kwetu ni wazi tabia hii ipo katika maeneo ya Pwani zaidi na hilo halihitaji kubishana sana. Tofauti kati ya wazungu na waarabu ni kwamba wazungu wanafanya haya mambo wazi wazi wakati wenzetu wanaficha ndio maana watu wanafikiri ushoga ni wazungu tu!
Hili la kuchoma Quaran kwa watu wenye akili na kujiamini It is neither here no there. What is in the book anyway? Imani iko katika mioyo ya watu sio vitabu jamani!!
Ni kweli sikatai inawezekana waarabu wanayapenda hayo mambo but ukae ukijua sio wote waarabu ni waislamu na uislamu si uarabu kama mmungu anavyotanabaisha ndani ya quran kuwaambia waarabu wasifikiri kwakuwa mtume katoka kwa waarabu basi wao ni wateule kwani kwamwenyezi mungu mbora wao ni yule aliye mchamungu na mwenyekuamini. Hivyo basi ukae ukifahamu uarabu si uislamu ukitaka kufahamu uislamu kisome kitabu cha kiislamu utajua uislamu.
Kuhusu kuchoma kitabu kama ni kitabu tu kwanini basi wanakichoma wasichome wanaokisoma kitabu? Hapa linapigwa vita mkuu ni LACK OF RESPECT AND DIGNITY TOWARDS ISLAM. Nikuulize mie nikichukua biblia nikajisaidia juu yake utajisikiaje? au nikachana biblia nikachambia je?