Mwananzuoni
JF-Expert Member
- Apr 22, 2009
- 290
- 69
Kazi ipo hapa JF, mpaka mnaanza kutafuta waume zenu!.
nyie mnautani na mleta mada au..........
Kazi ipo hapa JF, mpaka mnaanza kutafuta waume zenu!.
inawavuta zaidi wanawake!lollakini avata yako fl1 inavutia sana, labda ndiyo inayowazuzua wengi!!!
mkuu kama nilivyomuelewa mimi huyu mtoa maada hajapotea hata kidogo ila alichukwa anataka kukiona na alichokuwa anatafuta alikiaanza siku nyingi kupitia PM alizokuwa akimtumia FL1 wetu lakini hakumjibu na ndo maana akasema kulingana na status ya UFL1 asingetegemea kupotezewa kiasi hicho ukifuatilia michango yake ya maadili na yakufundisha aitowayo.
Baada ya kuelezea hayo nahisi alichokuwa anakitaka huyu mtoa maada ni marital status ya FL1 hivyo ikabidi amPM lakini hakupata jibu alilokuwa akitegemea ndo ameona si uungwana na ameamua kuliweka hapa ili FL1 amjibu PM zake jamani
Kwa heshima na taadhima nakuomba FL1 mjibu mtoto wa watu regardless ya hizo private zenu please.
hahaaaaa hakwaziki mtu hapa......Wala hatuna utani na mtu hapa! Tuko serious.
Kama majibu yetu yameonyesha kwamba tuna utani, Samahani kama tutakuwa tumekukwaza!
sidhani kama nina kosa kujua yale niliyotaka kujua toka kwa FL1 sikati tamaa !!Kazi ipo hapa JF, mpaka mnaanza kutafuta waume zenu!.
Hivi siku hizi JF kuna nini? samahani kama nimewakwaza LOL
inawavuta zaidi wanawake!lol
sidhani kama nina kosa kujua yale niliyotaka kujua toka kwa FL1 sikati tamaa !!
hahaaaaa hakwaziki mtu hapa......
Hivi siku hizi JF kuna nini? samahani kama nimewakwaza LOL
Nimegundua kumbe avater inaweza kufanya inbox ya PM yako ikajaa meseji! Hii ya kwangu naona hailipi kabisa, itabidi nibalidishe! Niweke ya Fidel Castro au Saddam Hussein!
Samahani kama nitawakwaza!
Kuna mtu kaleta mkanaganyiko hapa! Kwanza haeleweki jinsia yake, kwai jina lake ni la kike, na maelezo yake ni ya kiume ume hivi!
Sasa haeleweki kama anataka FL1 ila anaogopa kwamba kaolewa (kama yeye ni mwanaume). Au lah, kama yeye ni mwanamke, haeleweki kama anamtaka mumwe wa FL1 (endapo kaolewa) au yeye ni msagaji kwa hiyo anamtamani FL1 (nahisi kwa kuangalia avatar yake!)
Samahani kama nimekukwaza!
mmmmmnh mbona kila mmoja wenu anamlizia na..samahani kama nimekukwaza???? mnakwazana kwanini???? hope sijamkwaza yeyote LOL