hiyoJF unayosema imewapotezea na haiwaungi mkono wa Zanzibar je wakati wa mauwaji ya huko ilikuwepo?Mimi nawashangaa sana wakuu wa JF na maoni yao humu jamvini. Pamoja na kwamba siungi mkono vitendo vyovyote vya ukandamizaji vinavyofanywa na dola au/na vyombo vyake, siwachi kujiuliza, mlikuwa wapi Wazanzibari walipokuwa wakipigwa, kuuliwa, kunajisiwa na kadhalika ndani ya nchi yao?
Kuweni fair.
View attachment 30266
View attachment 30268
sasa madini yamekuwa laana hii inaonyesha ccm haijali watu wake kama kawaidaSorry wana jf, ni nini kibaya kinachoendelea uko nyamongo(mgodini), wilayani tarime?
Tufanyeje? Au unaonaje?
Hao siyo inruders hao ni wenye mali wachoka na ujinga wa wezi wajimba madini kuiba kwa kushirikiana na viongozi wetu hivyo hawana mtetezi zaidi ya kujimibilise na kutumia mawe, nawapongeza kwa kwenda kushare kuchukua mali zao kwa majizi haya na hao waliokufa wamekufa kishujaa na wengige wauinge mkono vuguvugu hilo hasa kwenye migodi ya Buzwagi na Kahama mine