Hao siyo inruders hao ni wenye mali wachoka na ujinga wa wezi wajimba madini kuiba kwa kushirikiana na viongozi wetu hivyo hawana mtetezi zaidi ya kujimibilise na kutumia mawe, nawapongeza kwa kwenda kushare kuchukua mali zao kwa majizi haya na hao waliokufa wamekufa kishujaa na wengige wauinge mkono vuguvugu hilo hasa kwenye migodi ya Buzwagi na Kahama mine
Tanzanians will never be intruders in their own land. Their innocent people who have been alienated from ther land. Let them fight for the lost land and the resources.Hao intruders, si watanzania...
Dah, sad...
Hivi hawa polisi hawana mbinu mbadala, wanaona raha tu kuangamiza maisha ya watz..
Watu hawataki kabisa kuona sare za kijani siku hizi! Kwa upande wa CCM ni wenyewe hasa waliotaka kugeuza mauaji hayo kuwa mtaji wa kisiasa maana walivamia mkutano na mijisare yao bila kualikwa!