Habari nilizonazo waliokufa wamefika wanane(8) vijana hawa wangekuwa nguvu kazi kubwa na chachu ya maendeleo kwa taifa hili! Police wa tz wanafundishwa kupiga raia risasi kifuani hata kama hana siraha wala chochote!
Cha ajabu zaidi maamuzi ya kuua yanatolewa na watu wakubwa wilayani! Mungu wangu tuongezee ujasili wanyamongo tuendelee kudai haki zetu japo selikari imelifumbia macho na wala mambo haya hayatangazwi na vyombo vya habari?
Kuna siku nilipata tatizo pale Nyamongo nikaenda police! Nilijibiwa kuwa askari wote wako mgodini (kuuwa watanzania wasio na hatia?) issue yangu itashughulikiwa siku askari wakiwepo! Niliamua tu kuacha kwani niliktwepo kwa kazi ya muda mfupi!
MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI NYAMONGO!
Cha ajabu zaidi maamuzi ya kuua yanatolewa na watu wakubwa wilayani! Mungu wangu tuongezee ujasili wanyamongo tuendelee kudai haki zetu japo selikari imelifumbia macho na wala mambo haya hayatangazwi na vyombo vya habari?
Kuna siku nilipata tatizo pale Nyamongo nikaenda police! Nilijibiwa kuwa askari wote wako mgodini (kuuwa watanzania wasio na hatia?) issue yangu itashughulikiwa siku askari wakiwepo! Niliamua tu kuacha kwani niliktwepo kwa kazi ya muda mfupi!
MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU IBARIKI NYAMONGO!