Fitness and wellness

Cain haishi Mexico city. Anaishi California.



Kwamba alipigwa hilo halina ubishi. Au nimebisha? Kama nimebisha nionyeshe nilipobisha.

Ndo maana nimesema nina hamu sana ya kuona outcome ya rematch ambayo itafanyika Vegas...kwenye altitude.

Kusoma na kuelewa nao ni ujuzi...ambao umeshaonyesha huna!
Najua Cain,DC wote wanaishi na kutrain A.K.A ipo California...iyo sio case tatizo unagugo sana ndo mana unajichanganya...
Mi napenda fighting toka kwenye damu ndo mana sihitaji gugo nafatilia nakumbuka naelewa
 
We acha ubishi wa kijinga...

Cha ujinga nilichobisha kiko wapi?

inajulikana mexico city ni high altitude afu fighters wengi wanapenda kutrain kwenye high altitudes ndo mana cain aliwahi mexco city

Unasema Cain aliwahi kwenda Mexico city? Una uhakika?

Unajua Werdum alikuwepo huko kwa muda gani kabla Cain hajaenda?

Au unataka kunambia Cain ndo aliweka kambi kwa muda mrefu kumzidi Fabricio?

Siongei kwa kubahatisha. Soma hapo chini. Nani alitangulia na kukaa muda mrefu kuliko mwenzake?

In the post-fight press conference, the Mexican-American former champion admitted that coming to Mexico City, with its elevation of 7,382, just two weeks out from the fight might have been a bad idea.


"Maybe that wasn't enough," Velasquez said. "Again, no excuses. Fabricio was the better guy tonight. He fought with great technique. Very relaxed."

Werdum (20-5-1) had spent more than a month in Mexico at altitude, which is also what he did before beating Mark Hunt in the UFC 180 main event last November. In that fight, Werdum was supposed to challenge Velasquez, but Velasquez withdrew three weeks before the potential bout due to a knee injury. The UFC put the interim heavyweight title up for grabs and Werdum earned it with a second-round knockout of Hunt.

Chanzo

.....angalia fighters wa JACKSONWINK MMA wakina Bones wanavopenda kutrain juu ya milima....Alberque,* New Mexico.
Unaongea nn jombaa

Kati ya Cain na Fabricio nani alipiga kambi ya muda mrefu Mexico city?
 
Njoo, perfect combo baada ya mazoezi ni kujienjoy.


fa4e289f603c8bdfe7cb35f5104f7e73.jpg
Mkuu wangu, hio ni APP gani umetumia kwenye hio pic.
 
Najua Cain,DC wote wanaishi na kutrain A.K.A ipo California...iyo sio case tatizo unagugo sana ndo mana unajichanganya...
Mi napenda fighting toka kwenye damu ndo mana sihitaji gugo nafatilia nakumbuka naelewa

Umesema Mexico city ni hometown ya Cain: umekosea.

Umesema Cain alipiga kambi huko kwa wiki tatu: umekosea.

Ona ulichoandika

Kaathiriwa na altitude wakati alikua hometown mexico city 3 weeks prior yo the fight ana train...ivi unachekigi zile countdown to ufc???

Halafu unadai eti unafuatilia, unakumbuka, na unaelewa.

Unaelewa kitu gani kama hata facts ndogo ndogo zinakushinda?

Unachekesha wewe.
 
Cha ujinga nilichobisha kiko wapi?



Unasema Cain aliwahi kwenda Mexico city? Una uhakika?

Unajua Werdum alikuwepo huko kwa muda gani kabla Cain hajaenda?

Au unataka kunambia Cain ndo aliweka kambi kwa muda mrefu kumzidi Fabricio?

Siongei kwa kubahatisha. Soma hapo chini. Nani alitangulia na kukaa muda mrefu kuliko mwenzake?



Chanzo



Kati ya Cain na Fabricio nani alipiga kambi ya muda mrefu Mexico city?
Two weeks ni very enough...no silly excuzes....kwani Anderson Silva alifight na DC kwa notice ya siku ngapi? Mbona hakulia lia?? Kua muda sijui nn
 
Two weeks ni very enough...no silly excuzes....kwani Anderson Silva alifight na DC kwa notice ya siku ngapi? Mbona hakulia lia?? Kua muda sijui nn
Again, you can't process nuance let alone comprehend what you read!

You are a waste of my time.

Deuces.
 
Umesema Mexico city ni hometown ya Cain: umekosea.

Umesema Cain alipiga kambi huko kwa wiki tatu: umekosea.

Ona ulichoandika



Halafu unadai eti unafuatilia, unakumbuka, na unaelewa.

Unaelewa kitu gani kama hata facts ndogo ndogo zinakushinda?

Unachekesha wewe.
Cain ni Mexican-American hivo alivoenda kupigana mexico city ilichukuliwa kama homecoming!
Unaelewa lakini?
 
Nina kg 57 urefu 159...sio mnene mwembamba wastani ila nna tatizo mwili wangu umetepepeta kimtindo yaan nyama zinanicheza cheza nifanyaje mazoez gan mwili ukaze? angalizo.. sitaki mwili wangu upungue
cc Nyani Ngabu nipeni ushaurii wataalam.

Nashauri ufanye resistance training kama goal lako ni hilo. Mazoezi kama squats, planks, push ups, wall sit, lunges, pull ups na cardio. Zingatia diet na kunywa maji yakutosha.
 
kuna anayefanya contact/collision sports kama martial arts? Je unafanya mara ngapi kwa wiki? Na unafanya na mazoezi gani ya ziada?
Mkuu sina uzoefu wa Martial arts ngoja wadau wanaojua maswala hayo wakusaidie
 
Nina kilo 70 nimeanza diet, target nifike 65 ila dooh mazoez nashindwa kabisa nilifanya mara moja cku ya pili nikaamka mgonjwa kabisa. Huu uzi utakua msaada kwangu sana kwa kipindi hiki.
Diet itasaidia kama goal lako ni kupungua tu kilo5 sio nyingi ila nashauri ufanye mazoezi pia ili ufikie goal lako haraka na uweze kumaintain. Jitahidi kupush thru the pain bdae maumivu yataisha na utazoea.
 
Diet itasaidia kama goal lako ni kupungua tu kilo5 sio nyingi ila nashauri ufanye mazoezi pia ili ufikie goal lako haraka na uweze kumaintain. Jitahidi kupush thru the pain bdae maumivu yataisha na utazoea.
Nimekupata mkuu, ntaleta feedback aftr one month.
 
Wakuu nataka kidogo niutengeneze mwili wangu uwe mkubwa na uliojengeka kimisuli, Nataka kufahamu vitu vya kimsingi ili nifanikishe hili...
Mkuu tumeongea kuhusu hilo kwa upana kwenye huu uzi ila kwa ufupi inabidi ufanye weightlifting na ule real food ili kujenga mwili. Bench/leg/shoulders press, squats, push ups, biceps curls nk. Vyakula kama wali, kuku, samaki, nyama, mayai na veggies hujenga mwili
 
Wakuu, salaam.

Hivi ni kweli wanawake wakimaintain figure, kuna baadhi ya viungo vya mwili huwa vinagoma kupungua ukubwa na matokea yake huongezeka zaidi ya mara mbili?

Unless ni biological condition kama leptin resistance, slow metabolism etc au kuna kitu mahala fulani hufanyi sawa. Tofauti na belly fat(kitambi) viungo vyote vya mwili vinaweza kuwa targeted na kuvifanya viwe vile utakavyo kwa mazoezi, kitambi chenyewe huisha taratibu pindi ufanyapo mazoezi ya viungo vingine.

Sehemu gani ya mwili imeongezeka ili nitoe ushauri specifically.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom