Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Najua Cain,DC wote wanaishi na kutrain A.K.A ipo California...iyo sio case tatizo unagugo sana ndo mana unajichanganya...Cain haishi Mexico city. Anaishi California.
Kwamba alipigwa hilo halina ubishi. Au nimebisha? Kama nimebisha nionyeshe nilipobisha.
Ndo maana nimesema nina hamu sana ya kuona outcome ya rematch ambayo itafanyika Vegas...kwenye altitude.
Kusoma na kuelewa nao ni ujuzi...ambao umeshaonyesha huna!
Mi napenda fighting toka kwenye damu ndo mana sihitaji gugo nafatilia nakumbuka naelewa