mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Kinyerezi usirogwe ufanye tizi la kukimbia alfajiri utakutwa hospital, vibaka wengi Sana kuleKwa wale wa knyrez tuchikiane kama wapo humu..na me nataka nianze
Kinyerezi usirogwe ufanye tizi la kukimbia alfajiri utakutwa hospital, vibaka wengi Sana kuleKwa wale wa knyrez tuchikiane kama wapo humu..na me nataka nianze
Naam, nimeongea mengi kwa sababu najua mengi mno kukuzidi wewe. Ndo maana umeona nimeongea mengi ilhali kwangu wala hakuna mengi hapo. Ni kawaida kabisa. Ishara nyingine kuwa hujui na unababaisha tu.
Hajapigwa na Big Foot tu...hata Travis Browne alimgaragaza. Mwone hapo...
Hata Ben Rothwell naye alimdunda...ona hapo...
Ni hoja ya msingi kabisa. Overeem sio mzuri. Hana chin kabisa. Ukimgusa tu kidevu anawewesuka. Juzi Stipe Miocic kamzimishia taa.
Ana holes nyingi sana na ndo maana huwa anapigwa pigwa tu na ma slouch kama Ben Rothwell.
So much for your horse meat eating Overeem.
Cigano ni one dimensional tu. Na kama hakumuotea Cain...iweje alichakazwa vibaya sana hizo mara mbili?
Uliuona uso wake baada ya kupigana na Cain?
Hebu ona mambo ambayo Cain alimfanyia....
Umeona kazi ya Cain hiyo?
Nimeshaona ...ninazo UFC PPVs zote... so unataka kuniambia Cain alimuotea Brock Lesnar mara ya kwanza sio? Kama Cigano alivomuotea Cain? Mark Hunt anavyopigaga Walkaway KOs anaoteaga sio....
Yani sielewi mtu unayesema unajua MMA vizuri unathubutu kusema eti fulani anaotea...
Kwaiyo Rumbe anavyopiga KO anaotea sio??
General rule ni kua...."One Punch can Change everything".
Kuotea ni mpira huo...ndo tatizo la mashabiki wa mpira kuingia ktk fighting
Oya mtafute huyo boya umpe makonde... Muongo Muongo sana huyo..Una uhakika gani gani kama striking yako ipo vizuri? Ama bench press ndo zinakufanya uamini ivo?
Mi naona we ni kama a bodybuilder tryin desperately to be an MMA fghter....
Naona uko obssesed sana na Cain...nikuulize swali nipime uelewa wako ktk UFC...kwa sasa niambie 3 best fighters in the world ni nani, ? Tumia kipimo cha Pound for Pound ki-apply kwnye light heavyweight na heavyweight mana hutakawia kuniambia ni conor mcregor na ronda rousey!
Siyo NCAA tu...hata high school. Google uone...
Na hakuna aliyesema DC hana wrestling nzuri. DC ni Olympian wrestler...alikuwa kwenye team USA 2008 kule Beijing.
Pamoja na u-Olympian wake lakini hakufua dafu mbele ya Bones Jones. Jones alishinda hiyo aspect ya wrestling alipopigana na DC.
Sijawahi kuona Cain akiwa dominated on the ground. Hata Brock Lesnar hakuweza kumweka chini Cain. Unabisha?
Overeem hana chini. Ukimgusa kidevu tu huyo...chali.
Hivi unajua hata light heavyweight Chuck Liddell alim knock out huyo Overeem wako?
Hebu ona hapa....
Brock Lesnar sio mixed martial artist.
Ata google huyo jamaa ni mbishi mbishi tu alafu wala hajuagi.. Unapoteza muda wako weweNaona uko obssesed sana na Cain...nikuulize swali nipime uelewa wako ktk UFC...kwa sasa niambie 3 best fighters in the world ni nani, ? Tumia kipimo cha Pound for Pound ki-apply kwnye light heavyweight na heavyweight mana hutakawia kuniambia ni conor mcregor na ronda rousey!
Unaona unavochanganya madesa?? Nimesema tumia pound for pound halafu apply kwenye light heavyweight na heavyweight....sasa huyo mighty mouse si yupo kwenye "midget division"?Pound for pound ni Demetrious 'Mighty Mouse' Johnson.
DC namuelewa sana hasa alipokua Heavyweight...ni wrestler mzuri, sema unavyomuongelea Cain as if yupo vizuri sana...mbna huongelei alivopigwa na Fabricio??
Lesnar ni nani then...km sio mma fighter? Ama kisa yupo wwe? Cm punk kwa sasa je sio mma fighter?
Ana gugo alafu amekariri sasa namuuliza maswali ya kumpima uwezo wake anachanganya madesaAta google huyo jamaa ni mbishi mbishi tu alafu wala hajuagi.. Unapoteza muda wako wewe
Unaona unavochanganya madesa?? Nimesema tumia pound for pound halafu apply kwenye light heavyweight na heavyweight....sasa huyo mighty mouse si yupo kwenye "midget division"?
Alafu nataka uniambie mawazo yako na sio rankings za ufc
Kaathiriwa na altitude wakati alikua hometown mexico city 3 weeks prior yo the fight ana train...ivi unachekigi zile countdown to ufc???Cain yupo vizuri. Na ndo maana nsubiri kwa hamu kuona rematch kati yake na Fabricio mwezi Disemba.
Hiyo fight ndo itakata mzizi wa fitna...manake inaonyesha Cain aliathiriwa na altitude kule Mexico city.
Hahaaaa...umeona kilichomtokea CM Punk juzi alipopigana na Mickey Gall?
Una uhakika gani gani kama striking yako ipo vizuri? Ama bench press ndo zinakufanya uamini ivo?
Mi naona we ni kama a bodybuilder tryin desperately to be an MMA fghter....
Kaathiriwa na altitude wakati alikua hometown mexico city 3 weeks prior yo the fight ana train...ivi unachekigi zile countdown to ufc???
We jamaa bana...alipigwa very clear n convincing...kifupi cain mbovu mbovu afu mgonjwa! Pole mana ni your favorite fighter ila ukweli ndo huo
Huyo utabishana nae mpaka kesho... Akiona unamshinda ataanza kuandika vocabulary nyiiiiiiiiingi na kuanza kutukana..Ana gugo alafu amekariri sasa namuuliza maswali ya kumpima uwezo wake anachanganya madesa
Keyboard warrior umeelewa swali kweli??UFC wana ranking za nani ni best pound for pound.
Angalia hapa...nani namba 1 pound for pound? Hivi unajua hata maana ya pound for pound wewe?
POUND-FOR-POUND
1 Demetrious Johnson
2 Dominick Cruz
3 Daniel Cormier
4 Conor McGregor
5 Jose Aldo
6 Stipe Miocic
7 Eddie Alvarez
8 Joanna Jedrzejczyk
9 Tyron Woodley
10 Michael Bisping
11 Robbie Lawler
12 Luke Rockhold
13 Rafael Dos Anjos
Keyboard warrior umeelewa swali kweli??
Nimekuuliza hiviii...narudia tena, wewe binafsi kwa unavoona wewe (forget about the official ufc rankings.)
Tumia kipimo cha pound for pound, ki-apply kwenye divisions za LIGHT heavyweaght na Heavyweight, halafu uniambie....3 best fighters in the world.
Unakuja kuniambia mighty mouse huyo andunje ni heavyweight sio??
We acha ubishi wa kijinga...inajulikana mexico city ni high altitude afu fighters wengi wanapenda kutrain kwenye high altitudes ndo mana cain aliwahi mexco city.....angalia fighters wa JACKSONWINK MMA wakina Bones wanavopenda kutrain juu ya milima....Alberque,* New Mexico.Cain haishi Mexico city. Anaishi California.
Kwamba alipigwa hilo halina ubishi. Au nimebisha? Kama nimebisha nionyeshe nilipobisha.
Ndo maana nimesema nina hamu sana ya kuona outcome ya rematch ambayo itafanyika Vegas...kwenye altitude.
Kusoma na kuelewa nao ni ujuzi...ambao umeshaonyesha huna!
Sasa nimekuambia hiviii best fighters kwenye light heavyweight na heavyweight...unaniambia huyo mighty mouse...unaona uelewa wako ulivo mdogo??MMAist wannabe....uelewa wangu huwezi kuufikia.
Kwanza, hujui hata maana ya pound for pound.
Pili, mimi binafsi pound for pound best fighter in the world ni Demetrious Johson.
Tatu, ambacho hujaelewa hapo ni nini?
Daah sorry about that chief, Mungu aendelee kukusaidia urudi kwenye Hali yako ya awali, sasa nahis naanza kukuelewa kwanini unachukia vijana wenye mambio wenye altezza, subaru na muffler (sorry it's out of topic)Nikisoma thread za watu kufanya mazoezi napata uchungu sana. Nilikuwa mtu wa mazoezi, nafanya jogging mara tatu kwa wiki, nacheza basketball mara tatu kwa wiki. Nilikuwa napiga push ups 400 kila asubuhi at least mara tatu kwa wiki. Kwa kifupi nilikuwa fit sana (sio kujazia mamisuli). Ila mchana mmoja ulibadili maisha yangu, minor accident ikanipa serious backbone damage.
Kutoka a very fit guy mpaka kuwa mtu ambae hawezi kutembea mita hamsini bila kukaa chini ni experience ngumu sana. Nashukuru Mungu nimepona kiasi kwamba naweza kufanya vitu vyote kasoro kufanya mazoezi niliyozoea kufanya. Na kwa uwezo wa Mungu natumaini siku moja nitarudi kama zamani.