Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,533
- 8,619
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini mwenendo wa vyombo vya habari..hasa baada ya tukio la jumamosi......kwa wale ambao wameangalia kwa makini mtagundua kuwa .....televisheni ya TBC ...hawazipi tena umuhimu habari za CHADEMA..especially mgombea urais...kwa siku karibu tatu naona kwenye taarifa za habari habari zinazoongoza ni za CCM...alafu CUF....na hata ikitokea CHADEMA imeongelewa basi si mgombea urais bali labda ni mgombea ubunge...mfano juzi na jana ....hakuna habari ya CHADEMA ..mgombea urais imetoka......naamini hili si kwa bahati mbaya bali ni mkakati maalum wa ku potray nafasi ya CHADEMA kiumuhimu kwenye siasa za Tanzania.....najuwa viongozi wa CHADEMA wanapita huku ni bora wakalifanyia kazi......na wenye midomo wakapaza sauti...
Kuhusu vyombo vingine vya habari najuwa vipo kibiashara ila TBC Inaendeshwa kwa kodi zetu......chombo kama ITV pamoja ni kujulikana kuwa moja ya vyombo vinavyoitangaza sana...CHADEMA..katika siku za karibuni imekuwa haitoi tena coverage ya kutosha....nadhani ni hatari kama CCM watakuwa wanatumia nguvu ya pesa kukandamiza vyombo vingine....
Magazereti ndio kidogo yameonekana kuwa balance[baadhi] lakini watu wengi sasa wanaangalia televisheni....lakini hata hayo magazetu juzi yalitumika vibaya...ambapo jumapili magazeti yote yalikubali kulipwa pesa ili yafunikwe na matangazo ya CCM ili vichwa vya habari vya chadema vilivyokuwa lead news siku hiyo visionekane....
Nawasilisha!!!!!
Kuhusu vyombo vingine vya habari najuwa vipo kibiashara ila TBC Inaendeshwa kwa kodi zetu......chombo kama ITV pamoja ni kujulikana kuwa moja ya vyombo vinavyoitangaza sana...CHADEMA..katika siku za karibuni imekuwa haitoi tena coverage ya kutosha....nadhani ni hatari kama CCM watakuwa wanatumia nguvu ya pesa kukandamiza vyombo vingine....
Magazereti ndio kidogo yameonekana kuwa balance[baadhi] lakini watu wengi sasa wanaangalia televisheni....lakini hata hayo magazetu juzi yalitumika vibaya...ambapo jumapili magazeti yote yalikubali kulipwa pesa ili yafunikwe na matangazo ya CCM ili vichwa vya habari vya chadema vilivyokuwa lead news siku hiyo visionekane....
Nawasilisha!!!!!