Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Huyu Shigongo ni mtu wa ajabu sana!
Kwanza amemuomba msamaha Jose Chamelione na kuahidi kutorudia u pumb avu alioufanya. Upande wa pili, kwenye gazeti lake la Uwazi ameandika habari yenye lugha chafu sana dhidi ya Jose Chameleone.
Mbaya zaidi katika makala bubu hiyo (haina jina la mwandishi) kama kawaida yake anawahusisha Watanzania wote kwa ujumla wao kuwa hawana umoja na wanaponzwa na umasikini.
Nilichogundua ni kuwa anataka kujenga bilateral conflict huku yeye akibakia salama kwa manufaa yake.
Angalia vyanzo hivi;
Uganda Online - Shigongo Issues Apology to Chameleone Over Passport
HUU NDIYO UTAPELI KAMILI WA CHAMELEONE - Global Publishers
Sijui wenzangu mnamchukuliaje mtu huyu.
Kwanza amemuomba msamaha Jose Chamelione na kuahidi kutorudia u pumb avu alioufanya. Upande wa pili, kwenye gazeti lake la Uwazi ameandika habari yenye lugha chafu sana dhidi ya Jose Chameleone.
Mbaya zaidi katika makala bubu hiyo (haina jina la mwandishi) kama kawaida yake anawahusisha Watanzania wote kwa ujumla wao kuwa hawana umoja na wanaponzwa na umasikini.
Nilichogundua ni kuwa anataka kujenga bilateral conflict huku yeye akibakia salama kwa manufaa yake.
Angalia vyanzo hivi;
Uganda Online - Shigongo Issues Apology to Chameleone Over Passport
HUU NDIYO UTAPELI KAMILI WA CHAMELEONE - Global Publishers
Sijui wenzangu mnamchukuliaje mtu huyu.