mtzd
Member
- Jan 29, 2010
- 81
- 25
Wadau kuna ishu ya shoo ya uzinduzi wa Album ya Ant -virus na shoo nyingine pale mitaa ya Leaders, hii imekaaje maanake nimesoma kwenye mtandao na kusikia kwa baadhi ya vyombo vya habari kwamba shoo ya nani ilikua ya kwanza kupangwa.
Kuna wanaosema shoo ya leaders ndio ya kwanza wengine ya pale ustawi, kuna baadhi ya wadau pia wanasema ya ustawi haitafana mara ya leaders, lakini niliskia jana kwenye taarifa ya habari Mh Sugu akisema atasindikizwa pia na baadhi ya wabunge na mgeni rasmi kama sijakosea atakua waziri mmoja.
sijaelewa hii imekaaje,hapa naona kuna fitna kwa upande flani kwani wapo wanaojipigia debe kwa sana kuhusu shoo ya nani itafana.
Nadhani tofauti hapa zimeanza kujionyesha mapema, soko letu la burudani sijui linaelekea wapi, tunapoeleke ni bifu na malumbano ambapo mwisho wake utakua sio mzuri.
Haya ni maoni yangu tu.
Kuna wanaosema shoo ya leaders ndio ya kwanza wengine ya pale ustawi, kuna baadhi ya wadau pia wanasema ya ustawi haitafana mara ya leaders, lakini niliskia jana kwenye taarifa ya habari Mh Sugu akisema atasindikizwa pia na baadhi ya wabunge na mgeni rasmi kama sijakosea atakua waziri mmoja.
sijaelewa hii imekaaje,hapa naona kuna fitna kwa upande flani kwani wapo wanaojipigia debe kwa sana kuhusu shoo ya nani itafana.
Nadhani tofauti hapa zimeanza kujionyesha mapema, soko letu la burudani sijui linaelekea wapi, tunapoeleke ni bifu na malumbano ambapo mwisho wake utakua sio mzuri.
Haya ni maoni yangu tu.