Fisadi wa Rada, Tanil Somaiya afanya kufuru IKULU

Wakati mwingine huwa nahisi hata kuwalaumu hawa 'waasia' pengine tunawaonea tu....zaidi ni udhaifu wa viongozi wetu na hasa Rais wetu. Mambo yote haya yanayotokea yanategemea sana 'tone at the top'! Ameshindwa kabsa kuwaambia "Ikulu ni mahali patakatifu".

Sitta aliwahi kumshauri awe mkali kidogo lakini nina mashaka makubwa kwamba alielewa alichoshauriwa! Kwa kweli tunastahili kuwa masikini.

...Una pointi hapo. Kwa mfano ningependa kufahamu Askari waliokuwa hapo geti kuu walijaribu kumuelekeza mheshimiwa sana Tanil akapitishie kigari chake geti la uani?? Aliwajibu nini? Nani alikuja ama alitoa maagizo aachiwe atumie geti hilo hilo? Sometimes hata sisi wadanganyika wenyewe tunakuwa waoga wa kutekeleza majukumu yetu kiasi kwamba wakalamba kama hawa wanatuchezea watakavyo. Kwa mfano jukumu kubwa tunalotakiwa kuwa nalo hivi sasa ni kutafuta na kufundisha Snipers....!

 
Unaweza ukatamani kujilipua


Why Die without a cause? at least siku ukiamua kweli kujilipua kafanye hivyo mbele ya mheshimiwa sana Tanil uondoke naye and there will be one less fisadi in our Country na tutakukumbuka kwa hilo.
 
Kuna Tetesi nimezipata kua hata Mashost wa mama Salima Kikwete waliopo pale Wizara ya Elimu wakiboreka na kazi wakati wa mchana wanaenda kupiga story na Shost mwenzao Ikulu wanagonga na msosi then wanarudi kuendelea na Kazi. Ikulu yetu imeshuka thamani kabisa hata mwendesha baiskeli akijisikia tu anaingia ikulu kumpa hi president then anaendelea na ishu zake
 
Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.

Mafisadi wakubwa' hata EPA na Rada mlikataa. Uliona wapi? mwizi akikubali kwamba yeye ni mwizi,umetumwa na Zoka?
 
I have never visited jf and sign out happiful,wakati wote natoka nimeshkwa na hasira...arrh!
 
Wajameni, hapa sasa tunazidi, mnamaind ferari kupaki mbele ya Ikulu!, wakati Tanzania nzima ferari ziko 2 tuu, hivyo ilipaki pale ili kuongezea mapambo na kuikweli inapendeza!.

Rafiki wa kweli ni yule akufaaye wakati wa dhiki, kama Tanil, alijitolea Milioni 400 kufadhili uchaguzi mkuu wa UV-CCM, unaweza kukisia ametoa kiasi gani kuifadhili CCM?. Ni mabilioni na huyu ndie rafiki wa kweli, what is wrong akipaki gari lake mbele ya nyumba ya rafiki yake?.

Wajameni, tuacheni chuki dhidi ya wenye nazo, kuwachukia matajiri kwa utajiri wao... (haijalishi wameupataje kwa sababu Tanzania ni nchi ya 'the end justify the means')...pia ni umasikini wa roho!.
 
....lakini ustaarabu haukamiliki mpaka ufike kwa watu wa pwani, wewe uko wapi sasa na unatoka bara ya wapi?

mi sishangai koz nchi hii inaendeshwa na matajiri,ndio mana unajiuliza watu wana scandal lakin wanaish very comfortable. Mtu kama JK,ana jeur gani ya kumfokea mtu kama huyo.
 
I have never visited jf and sign out happiful,wakati wote natoka nimeshkwa na hasira...arrh!

unakimbilia jukwaa la si-hasa ndio maana unatoka umenuna.
Ukitoka hapa pitia jukwaa la wakubwa ukajipoze.
 
Wakati watanzania hata hatuna habari na kesi iliyo endelea LONDON leo wazungu wameamua kubeba mabongo kutusemeea juu ya huu wizi!
Check attachments!!!!!!
 

Attachments

  • BEA.JPG
    BEA.JPG
    45 KB · Views: 46
Nafuu Baba wa taifa JK Nyerere alijifia, sijui angefanyeje kuona sehemu takatifu kama ile ikichezewa na MAFISADI KAMA SOMAIYA. ........ NADHANI HATA SASA ANGEPEWA NAFASI YA KUFUFUKA NA KUSHUHUDIA MAMBO YANAYO FANYIKA, ANGESEMA BORA AENDELEE KUPUMZIKA KUZIMU.

HALAFU MOD KUFUTA POSTI ZA WENZAKO BILA KUTOA SABABU SI UUNGWANA. UMEZOEA SANA KUFUTA MICHANGO YANGU BILA KUTAJA SABABU ZA MSINGI ZA KUFANYA HIVYO.[/QUOTE
]

Halafu hata mimi nakerwa sana na tabia za mods humu JF sijui wanafanya haya kwa maslahi ya nani. Unaweka post utakuta from no where imetoweka bila sababu za msingi, au mna watu wenu maalumu humu ndani wa kutuma posts na zikadumu?
 
Nafuu Baba wa taifa JK Nyerere alijifia, sijui angefanyeje kuona sehemu takatifu kama ile ikichezewa na MAFISADI KAMA SOMAIYA. ........ NADHANI HATA SASA ANGEPEWA NAFASI YA KUFUFUKA NA KUSHUHUDIA MAMBO YANAYO FANYIKA, ANGESEMA BORA AENDELEE KUPUMZIKA KUZIMU.

HALAFU MOD KUFUTA POSTI ZA WENZAKO BILA KUTOA SABABU SI UUNGWANA. UMEZOEA SANA KUFUTA MICHANGO YANGU BILA KUTAJA SABABU ZA MSINGI ZA KUFANYA HIVYO.[/QUOTE
]

Halafu hata mimi nakerwa sana na tabia za mods humu JF sijui wanafanya haya kwa maslahi ya nani. Unaweka post utakuta from no where imetoweka bila sababu za msingi, au mna watu wenu maalumu humu ndani wa kutuma posts na zikadumu?

Very serious allegation. Mods inabidi wajibu hii. At least wakifuta post inabidi wamtaarifu mhusika sababu za kufuta.
 
Somaiya amenunua kampuni ya ulinzi ya Ultimate Security, nadhani anafanya warm up ya kuinunua Jeshi la wanachi wa Tanzania pamoja na Polisi.
By few years to come, huyu mtu atakuwa hakamatiki.
atakamatika kwa nguvu ya wananchi
 
Usitake kudanganya watu hapa. Siku hizi utaratibu Ikulu tangu kuapishwa kwa mawaziri na shuhuli zote zile zenye watu wengi utaratibu ni kuacha magari kwenye uwanja mkubwa uliopo geti la nyuma na watu wanaingia Ikulu kwa mguu. Wanaoruhusiwa kuingia Ikulu kwa magari yao ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na manaibu wake, na Tanil Somaiya. Au wewe ni mmoja wapo wa watajwa hawa?
Hatari hii, dawa yake ni 2015 , ila kufikia huko maumivu yatakuwa hayabebeki due to "HYPER INFLATION"
 
Namkumbuka sana Field Marshall Idd Amin Dada, MUNGU amrehemu, apumzike kwa amani...
 
Back
Top Bottom