Sidanganyiki kitoto!
Ahamie wapi wakati keshazoea free lunch bongo? Teh Teh
Huyu mtu ni kumtia umarehem kabla hajatorosha pesa za wavujajasho!
Baada ya kujiuzulu nini kinafuata??
hakamatiki huyu lazima atimueKinachodfuata ni kukamatwa na kupelekwa mahakamani kujibu tuhuma za ufisadi wa EPA na ukwepaji kodi.
si ndo mwenye uraia wa nchi mbili huyu?
Aliwashinda barali huyo watamweza ni ndototutamtafuta mpaka uko aje kurudisha kodi zetu