T Teko JF-Expert Member Jul 3, 2010 230 61 Jul 15, 2012 #2 Kila anayetubu kwa moyo dhambi zake anasamehewa,Mwenyezi Mungu sio mwanadamu,hana visasi!
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Jul 15, 2012 #3 kuna watu wakisamehewa unaweza ukajikuta unatafuta pa kukatia rufaa aisee!
Ally Kombo JF-Expert Member Nov 11, 2010 11,429 2,645 Jul 15, 2012 #4 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Tatizo hapo 'inauzwa cheni ya bandia na inalipwa noti fake'
N Ngekewa JF-Expert Member Jul 8, 2008 7,705 1,288 Jul 16, 2012 #5 Mbuzi Mzee said: Click to expand... La fisadi huyo hana haja ya kuomba msamaha kwa binaadamu mwenziwe, kama kusamehewa anajuwa yuko wa kufanya hivyo.
Mbuzi Mzee said: Click to expand... La fisadi huyo hana haja ya kuomba msamaha kwa binaadamu mwenziwe, kama kusamehewa anajuwa yuko wa kufanya hivyo.
Jestina JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,831 1,707 Jul 16, 2012 #6 kazi mnayo wanadini bora sie tusioabudu chochote....:spy: