First year ukiingia tu chuo kiasi hkii unapewa mkononi"

totoz kitaa cha corner bar kwa wiiingi,likianza kuisha ndo mzuka wa kusoma unakuja,wengine tukiwa na mapene kitabu hakipandi,nitatumia hadi ziishe aisee
 
Pole sana mdogo wangu. Najua hiyo thread yako inatokana na ukali wa maisha tulionao watanzania. Nakushauri kuzingatia yafuatayo: 1. Hiyo hela ni lazima utoe ili ukalipie makazi(accomodation) unayo kaa, either hostel au kama umepanga. 2. Kama hostel ipo mbali na madarasa, nauli itatoka hapohapo. 3. Student union fee inatoka hapohapo. 4. Hela inayobaki ndiyo uipigie hesabu ya maisha mengine kwa miezi mitatu(3) itategemea hiyo laki 7 au 6 umepewa kwa miezi mingapi. 5. Piga mahesabu yako kwa siku utatumia kiasi gani (Kuanzia chai, lunch, dinner). Hivyo ushauri wangu kwako kuwa makini na pesa za chuo, hakuna chuma ulete wala nini , ni namna mwenyewe utakavyo jipanga. Kwahiyo badala ya kufurahia tafakari kwa kina niliyo kuambia. Nasisi yalitukuta enzi zetu, tukawa tunashindia mikate na chai ya rangi pale mabibo hostel. Wakina dada ndiyo waka dada poa ili maisha yaende. Think twice.
 
duuh hiyo ela inaisha kama upepo ukitaka uikomeshe isiishe ovyo ukipewa tu katoe sadaka hapo kwishnii
 
Miaaaaaaaaa
BOOM halitoshagi,hata upewe milioni ....kila mtu anapata hela at the same time...so wewe utaona unaspend kawaida tu,,,utataka flat screen,mara subwoofer,utataka uwatoe wadogo zako,ununue zawadi za home,upendeze kama wenzako,ule vizuri.....baada ya wiki 3 tu,,BOOM kwishnehi.just be organised know ur goals utafanikiwa....choose gud friends,stick with ur budget and know that umekuja mwenyewe,,,,kila mtu na mishe zake.
 
First year full kujidanganya hahahahaaha karibuni kwenye ulimwengu wa fikra pevu
 
du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.


Mbona hela kidogo sana hiyo kwa Dar
 
du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.

Halafu hawa hawa utawasikia wanaandamana kupinga ufisadi.
 
BOOM halitoshagi,hata upewe milioni ....kila mtu anapata hela at the same time...so wewe utaona unaspend kawaida tu,,,utataka flat screen,mara subwoofer,utataka uwatoe wadogo zako,ununue zawadi za home,upendeze kama wenzako,ule vizuri.....baada ya wiki 3 tu,,BOOM kwishnehi.just be organised know ur goals utafanikiwa....choose gud friends,stick with ur budget and know that umekuja mwenyewe,,,,kila mtu na mishe zake.
Thanks alot bro 4 this advice.. chochote kingine cha kuniongeza? mi bado 2 weeks niingie UDSM apo
 
du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.

dogo izo pesa ndogo saaana yani..nyng utaziona wik za kwanza...ktabu kikianza kuchanganya ..,aisee,pesa hua znachomoka 2..hasa fotokopy za madesa na handouts
 
Back
Top Bottom