Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are u serious?
Are u serious?
100% mimi ni shuhuda Mkuu.boom ilianza kutolewa saa 4 asubuhi hadi 9.30 alasiri.na mishemishe ikaanza mara moja.chezea boom wewe....
Kwani boom hivi wanapewa mkononi au me ndio sijui mambo.
Ikiwa ni siku chache tu tangu waanze usajili, wanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM leo wamepewa boom,huku wengi wakifurahia utaratibu mzuri wa UDSM kwa kupewa boom haraka.
Tunawaasa matumizi mazuri ya fedha hizo!
Mkuu hebu fanya ustarabu utupe mchanganuo wa hizo pesa walizopewa ili nasi tujipange.Tujue ni kiasi gani kwa meal allowance,accomodation,stationary n.k.
two months meals and accomodation Tsh.463,000/=
books and stationery 200,000.
Total unapewa 663,000/=cash mkononi.
Mlimani city sub-hoofer ya nguvu, nyingine Fiesta...Period!
Dah huo utaratibu wa kupew mkonon cjaupenda xana
Mkuu nashukuru sana, ila kwa mtu makini hiyo hela inabidi kujibana kwani si nyingi kama wengi wanavyofikiria.