Hahaha vitu vingine bora mtu usijue maana ukijua unaweza kupauka kwa mawazo,ukweli unaumaga wewe usifanye utaniCurrent one anayajua hayo?
Bila aibu unasema Thanx God mnaliwazana,ivi unajua unatakiwa kujisikitikia na si kushukuru kwa huo utumwa?unatumika rafiki,wasiliana na mumeo vizuri nae atakugegeda mpaka uwe hoi...usikubali kua mtumwai wish he could me myn again.....ndo mtu pekee ad leo ambaye akinigegeda lazma niwe hoi....ila tulipotezana na tumekuja kuonn few daz kabla ya harus yangu....thanx god mara chache tunaliwazana.....
Funguka...............anayerudi mara nyingi kajifunza.
Mimi nilishwahi kupenda, nikaoneshwa kwamba napendwa, baada ya muda nikatendwa..
Nikajitahidi kusahau lakini moyoni mwangu bado nahisi kupenda, sasa nimerudiwa tena eti bado ninapendwa, ingawa bado napenda lakini moyo wangu unasita na siamini kama napendwa kweli au kuna jambo nyuma ya pazia. Kwa kifupi niko njia panda, i hate this feeling!
Ngoja niwe msomaji tu.