Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Mikutano ya vyama kinzani nchini Marekani inaendelea huku tukiona wake wa wagombea wakiwajenga waume zao. Je kwetu hali ikoje? Wenzetu wanashirikiana kushinda wakati kwetu wanashiriki baada ya ushindi kuanzisha NGO. Je nini mawazo yako kuhusu hili?
Mbona hata Mama Salma alishiriki vizuri kumjenga mmewe sema aliingia kichwa kichwa kwa kupalamia Rasilimali za Serikali kupigia kampeni, kitu ambacho kweli wamama wengi wa level kama yake inawawia vigumu kutofautisha kati ya chama na Serikali, mimi nilimsamehe bure