First lady anapomjenga mumewe US wakati kwetu mmmmh!

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
Michelle-Obama.jpg
2242304068_c8006e120d_s.jpg

Mikutano ya vyama kinzani nchini Marekani inaendelea huku tukiona wake wa wagombea wakiwajenga waume zao. Je kwetu hali ikoje? Wenzetu wanashirikiana kushinda wakati kwetu wanashiriki baada ya ushindi kuanzisha NGO. Je nini mawazo yako kuhusu hili?
 
Michelle-Obama.jpg
2242304068_c8006e120d_s.jpg

Mikutano ya vyama kinzani nchini Marekani inaendelea huku tukiona wake wa wagombea wakiwajenga waume zao. Je kwetu hali ikoje? Wenzetu wanashirikiana kushinda wakati kwetu wanashiriki baada ya ushindi kuanzisha NGO. Je nini mawazo yako kuhusu hili?

Mama KIKWETE yeye yuko Anagombea NEC LINDI... Anamsaport Mmewe kwa KUPANDA NDEGE kusafiri naye...

Alimsaidia 2010 kugombea URAIS; Sasa yeye Rais katuletea UDINI; na UTENGANO ana nguvu na PESA... Sasa Akimaliza URAIS

ataishi NCHI GANI?

Sidhani ni NCHI ZA MAGHARIBI; Kwasabu ICC watamtafuta kama Hajijui... Katuachia DHABI; Tunachukiana na kutokuaminiana sasa

hivi Tanzania

Lazima yeye na CHAMA CHAKE WATALIPA... AKITOKA MADARAKANI
 
Kwetu wako tayari kupaka tomato sosi waonekane wamepigwa mpaka wanavuja damu.
 
Elimu ya 1st lady ni kigezo kuchaguliwa kwa mgombea kwa wenzetu. Mtu wa kwanza kuchunguzwa uwezo wake ni 1st lady siyo mgombea. Sisi tunaangalia mgombea tu.
 
Kwetu michosho tu 'mkuu ndugu yangu'.Hawana ushirikiano.Amini tu kwamba REHEMA na DADA yake hawapatani.
 
nimeangalia tv ya msnbc,jamani mama obama yuko fit kwa speech and very confident,hata vaa yake very simple,sasa wa kwetu huku mhhhhh ni matatizo,USIKOSE KUMUANGALIA OBAMA KESHO KUPITIA TV YA MSNBC ATAKAPOKUWA ANAOMBA KUPITISHWA NA CHAMA CHAKE-DNC
 
zomba, na kujirushia utumbo wa ng'ombe waonekane wameuwawa kinyama na polisi?
Unajaribu kutafuta usafi kwenye tope, it is too late kwa miaka hii kuongea haya may ukawaambie watoto wa chekechea
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mama salma pia kama mnakumbuka mwaka 2010 alipita sana kumuombea Mume wake kura na alijitahidi kwa nguvu kumnadi Jk! Sema tu dosari iliingia pale alipo ambiwa kuwa anatumia raslimali za serikali kumnadi mumewe, alitumia ndege ya serikali baadae Kinana akaonyesha tiketi fake baada ya kubanwa sana kuwa ametumia nafasi yake ya u-first lady kukwea pipa!

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 





michelle-dnc-speech.jpg
(Win McNamee/Getty Images)
CHARLOTTE-First Lady Michelle Obama never once mentioned Mitt Romney's name. But in her speech before the Democratic National Convention speech Monday night, she offered a dramatic contrast between her husband, Barack Obama, and his Republican opponent, insisting he understands the struggles of average Americans because he's lived through those tough times, too.
"Barack knows the American Dream because he's lived it, and he wants everyone in this country to have that same opportunity, no matter who we are, or where we're from, or what we look like, or who we love," Michelle Obama said. "He believes that when you've worked hard, and done well, and walked through that doorway of opportunity, you do not slam it shut behind you. You reach back, and you give other folks the same chances that helped you succeed."
It was a speech meant to bolster her husband's legislative accomplishments - and it did, as the first lady touted the president's push for health care reform, the auto industry bailout and efforts to keep down student loan interest rates.
But not unlike Ann Romney's speech on behalf of her husband at last week's Republican National Convention, Michelle Obama also sought to humanize the president, and to remind voters of the working class background she and her husband came from. With tears in her eyes, she spoke of her father, a pump operator at a Chicago water plant, and how her husband was raised by a single mother and by his grandparents.
"We learned about dignity and decency -- that how hard you work matters more than how much you make, that helping others means more than just getting ahead yourself. We learned about honesty and integrity; that the truth matters; that you don't take shortcuts or play by your own set of rules, and success doesn't count unless you earn it fair and square," she said. "We learned about gratitude and humility; that so many people had a hand in our success, from the teachers who inspired us to the janitors who kept our school clean, and we were taught to value everyone's contribution and treat everyone with respect."
Those are the values they are trying to pass on to their own children - and values that inform her husband's job as president, she said.
"After so many struggles and triumphs and moments that have tested my husband in ways I never could have imagined, I have seen firsthand that being president doesn't change who you are -- it reveals who you are," said Michelle Obama. "As president, you can get all kinds of advice from all kinds of people. But at the end of the day, when it comes time to make that decision, as president, all you have to guide you are your values, and your vision, and the life experiences that make you who you are."
Her husband, she said, "is thinking about folks like my dad and his grandmother" and is "thinking about the pride that comes from a hard day's work." It was a line meant to push back against Romney's claims that Obama doesn't understand how to create jobs because he's never worked in the private sector. But it also offered a subtle contrast between her husband and Romney, who came from a well-off background.
She spoke of the student loan debts they incurred as a young married couple: "We were so young, so in love, and so in debt," she said.
And she spoke of her husband's skills as a father - which she insisted have been unchanged even despite the pressures of the presidency.
"People ask me whether being in the White House has changed my husband, I can honestly say that when it comes to his character, and his convictions, and his heart, Barack Obama is still the same man I fell in love with all those years ago," she said, her eyes wet with tears.
Pushing back against GOP charges that her husband is driven by politics, Obama insisted there is no "us and them" for the president, that "he doesn't care whether you're a Democrat, a Republican or none of the above."
She told voters her husband never lets himself "get distracted by the chatter and the noise." He just keeps "getting up and moving forward," she said.
"He reminds me that we are playing a long game here, and that change is hard, and change is slow, and it never happens all at once," she said. "Many of us stand here tonight because of their sacrifice, and longing, and steadfast love because time and again, they swallowed their fears and doubts and did what was hard."
That has been the story of the American dream, the first lady said. "That is what has made my story, and Barack's story, and so many other American stories possible."
 
Mama KIKWETE yeye yuko Anagombea NEC LINDI... Anamsaport Mmewe kwa KUPANDA NDEGE kusafiri naye...

Alimsaidia 2010 kugombea URAIS; Sasa yeye Rais katuletea UDINI; na UTENGANO ana nguvu na PESA... Sasa Akimaliza URAIS

ataishi NCHI GANI?

Sidhani ni NCHI ZA MAGHARIBI; Kwasabu ICC watamtafuta kama Hajijui... Katuachia DHABI; Tunachukiana na kutokuaminiana sasa

hivi Tanzania

Lazima yeye na CHAMA CHAKE WATALIPA... AKITOKA MADARAKANI

ama kweli nyani haoni... wewe unaesema jk mdini hao chadema ndo mara 100 ya jk hata historia ya viongozi wenu inajulikana kua ni wadini na
 
mnaosema jk mdini hv mnajua christian ndo dini pekee inayochukua ruzuku toka serikani tena cyo chini ya billion 1 lakini bado tu mnataka mpewe nini nyinyi ndugu zetu na hzo 1bn mmeona hazitoshi mmeamua kuanzisha chama chenu hili mchukue nchi kabisa mjiongezee ruzuku kanisani nnakubali jk anamapungufu yake na hakuna binadamu aliyekamilika hata huyo baba wa taifa na mkapa pia alikua na mapungufu yake na ufisadi mwingi ulifanyika kipindi chake mashirika ya umma aliuza mpo kmya hla mambo hayo angefanya jk tusingelala hla cha ajabu badala ya kulaumiwa aliyesababisha ufisadi analaumiwa jk eti kwanini hawakamati,lakini ya jk mnavyoyatolea mimacho hata akisafiri akienda kwenye msiba
 
first lady wa america ni very strong na wanaheshimiwa sana..hapa kwetu ukiwa first lady unaanzishiwa NGO unaanza kula hela mapema....hamna kitu hapa..but that was a good speech..i respect this woman alot
 
mnaosema jk mdini hv mnajua christian ndo dini pekee inayochukua ruzuku toka serikani tena cyo chini ya billion 1 lakini bado tu mnataka mpewe nini nyinyi ndugu zetu na hzo 1bn mmeona hazitoshi mmeamua kuanzisha chama chenu hili mchukue nchi kabisa mjiongezee ruzuku kanisani nnakubali jk anamapungufu yake na hakuna binadamu aliyekamilika hata huyo baba wa taifa na mkapa pia alikua na mapungufu yake na ufisadi mwingi ulifanyika kipindi chake mashirika ya umma aliuza mpo kmya hla mambo hayo angefanya jk tusingelala hla cha ajabu badala ya kulaumiwa aliyesababisha ufisadi analaumiwa jk eti kwanini hawakamati,lakini ya jk mnavyoyatolea mimacho hata akisafiri akienda kwenye msiba


Jenga hospitali Jenga Shule upate ruzuku, Mali ZA wakfu bado ni tatizo, lirekebishwe Hilo kwanza!!!!
 
Back
Top Bottom