nyie mlikuwa mnamalizana kwenye mto wa kanisani kule
Kizazi cha Nyoka hiki!:shock:
Mkuu, ulizaliwa mwaka gani aisee?
First Kiss darasa la kwanza na vidudu?
Nilikuwa na miaka 9 nilipoingia darasa la kwanza lakini hadi nafikia darasa la 6 sikujua hiyo makitu, na kunanihii ndo usiseme kabisa!
nyie mlikuwa mnamalizana kwenye mto wa kanisani kule
duh!!ntalifanyiaa kaziiii swaibaaaa
mimi kiss la kwanza la maana, nilichalazwa na mtoto mmoja anaitwa julieta huko home kwetu nikiwa form two..ila kunanii nilianza muda..
niaje wakuu,kuna kitu nimekumbukaaa ningependa to share ideas,do u remember you first kiss....achana na lilee la kwanza kabisaa kwa mamaa alie kuzaa,la kimahaba zaidi,mi nakumbukaa my first kiss nilikuwa darasa la kwanza,na mwezangu alikuwa vidudu,it was wet...nice duh!!huyo msichana hadi leo tukikutana ananiambia your the first person i have kiss in my life.jee wee unakumbukaa lipi??
kumbe huo umalaya wako uliuanza ukiwa mdogo hivyo? Loh.niaje wakuu,kuna kitu nimekumbukaaa ningependa to share ideas,do u remember you first kiss....achana na lilee la kwanza kabisaa kwa mamaa alie kuzaa,la kimahaba zaidi,mi nakumbukaa my first kiss nilikuwa darasa la kwanza,na mwezangu alikuwa vidudu,it was wet...nice duh!!huyo msichana hadi leo tukikutana ananiambia your the first person i have kiss in my life.jee wee unakumbukaa lipi??
mwongo mkubwa weeniaje wakuu,kuna kitu nimekumbukaaa ningependa to share ideas,do u remember you first kiss....achana na lilee la kwanza kabisaa kwa mamaa alie kuzaa,la kimahaba zaidi,mi nakumbukaa my first kiss nilikuwa darasa la kwanza,na mwezangu alikuwa vidudu,it was wet...nice duh!!huyo msichana hadi leo tukikutana ananiambia your the first person i have kiss in my life.jee wee unakumbukaa lipi??
First kiss kwenye igizo st joseph/ forodhani primary those beautiful days lol, I can't imagine tabasamu nililotoa that day