Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Jamani yule mgombea wa Chadema Finias Magesa yupo wapi?
Mwaka jana aligombea kwenye jimbo la Busanda na kushindwa vibaya sana, amekuwa kimya sana na sijasikia kama anampango wa kurudi tena Busanda kukomboa jimbo la Busanda?
View attachment 10753
kwa wenye data tafadhali tujulisheni?
Mwaka jana aligombea kwenye jimbo la Busanda na kushindwa vibaya sana, amekuwa kimya sana na sijasikia kama anampango wa kurudi tena Busanda kukomboa jimbo la Busanda?
View attachment 10753
kwa wenye data tafadhali tujulisheni?