find x

serio

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
7,306
4,681
330710_380183232036407_844885723_o.jpg
wewe ushaipata??
 
from Pythagoras theorem:

a[SUP]2 [/SUP]+ b[SUP]2 [/SUP]= c[SUP]2[/SUP]

[SUP]Therefore[/SUP]
c = √a[SUP]2[/SUP] + b[SUP]2[/SUP]

In your case,
X = √3[SUP]2[/SUP] + 4[SUP]2 [/SUP]cm
X = √9 + 16 cm
X = √25 cm
X = 5 Cm
Therefore x = 5 cms
 
from Pythagoras theorem:
a[SUP]2 [/SUP]+ b[SUP]2 [/SUP]= c[SUP]2[/SUP]

[SUP]Therefore[/SUP]
c = √a[SUP]2[/SUP] + b[SUP]2[/SUP]

In your case,
X = √3[SUP]2[/SUP] + 4[SUP]2 [/SUP]cm
X = √9 + 16 cm
X = √25 cm
X = 5 Cm
Therefore x = 5 cms

You missed the joke, right?
Kweli nerds ni nerds tu, :glasses-nerdy:
shuleni hadi kwenye forums! lol
 
The Listener, remember the square sign should bracket a[SUP]2[/SUP]+b[SUP]2[/SUP] together i.e x=√(a[SUP]2[/SUP]+b[SUP]2[/SUP]).
 
The Listener, remember the square sign should bracket a[SUP]2[/SUP]+b[SUP]2[/SUP] together i.e x=√(a[SUP]2[/SUP]+b[SUP]2[/SUP]).

the squqre root sign is just before the open bracket symbol yake ni √ . Au unataka nilifunike lile lijikofia la juu yake?
 
You missed the joke, right?
Kweli nerds ni nerds tu, :glasses-nerdy:
shuleni hadi kwenye forums! lol

Nimekufananisha na Bwana mmoja nilisoma naye primary hakuwahi kupata 10% katika mtihani wake wa hesabu pamoja masomo mengine alikuwa akijikongoja. We wacheza na namba?
 
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: X boyfriend or girlfriend or wife or husband!
 
Nimekufananisha na Bwana mmoja nilisoma naye primary hakuwahi kupata 10% katika mtihani wake wa hesabu pamoja masomo mengine alikuwa akijikongoja. We wacheza na namba?

from Pythagoras theorem:

a[SUP]2 [/SUP]+ b[SUP]2 [/SUP]= c[SUP]2[/SUP]

[SUP]Therefore[/SUP]
c = √a[SUP]2[/SUP] + b[SUP]2[/SUP]

In your case,
X = √3[SUP]2[/SUP] + 4[SUP]2 [/SUP]cm
X = √9 + 16 cm
X = √25 cm
X = 5 Cm
Therefore x = 5 cms

Mkuu The Listener,kwa niaba ya Mwali, ningependa kukuhakikishia kuwa mimi kwa mahesabu ni mkari!, na tuhesabu tudogo tudogo twa kunywea maji kama hutu hatunipi shida.
I am a practical scientist , with a sense of humour.

Kwa taarifa yako tu hata hilo jibu la mwenzio lina error,it should be

x=sqrt(3[SUP]2 [/SUP]+4[SUP]2[/SUP])=5

mind you the brackets!

Hata hivyo Mwali , akiwa mwali si lazima ajue mahesabu sana maana umwali wake toosha kabisa
 
Mkuu The Listener,kwa niaba ya Mwali, ningependa kukuhakikishia kuwa mimi kwa mahesabu ni mkari!, na tuhesabu tudogo tudogo twa kunywea maji kama hutu hatunipi shida.
I am a practical scientist , with a sense of humour.

Kwa taarifa yako tu hata hilo jibu la mwenzio lina error,it should be

x=sqrt(3[SUP]2 [/SUP]+4[SUP]2[/SUP])=5

mind you the brackets!

Hata hivyo Mwali , akiwa mwali si lazima ajue mahesabu sana maana umwali wake toosha kabisa
Mheshimiwa umenikumbusha promotion moja iliyoendeshwa na kampuni ya vinywaji ya Coca cola, yule MC alitoa ofa ya tshirt na bag la shule kwa yeyote atakayepanda jukwaani na kusema "tarehe ya leo".

Basi walipanda watu kibao wakajipinda kusema tarehe ya siku husika wengine kwa kiswahili, wengine kwa kiingereza, kifaransa, wengine kwa kikabila chao, wote walikosa.

Mimi nikajaribu kama natania vile, nilipopanda jukwaani nikasema neno hili, "tarehe ya leo". Kwa mshangao wa wengi nikashinda. Ingawa watu walihoji ni kwanini nilikuwa sahihi, yule MC akawaambia fimbo lilikuwa panda juu ya jukwaa useme neno, "tarehe ya leo" na wala sio kutaja tarehe yenyewe. Umenipataaa.....

Sasa kwa kesi yako kubali kushindwa, uliambiwa tafuta X, wakati unaona kabisa X hiyo ipo tene imezungushiwa duara banaaaa.
 
Mheshimiwa umenikumbusha promotion moja iliyoendeshwa na kampuni ya vinywaji ya Coca cola, yule MC alitoa ofa ya tshirt na bag la shule kwa yeyote atakayepanda jukwaani na kusema "tarehe ya leo".

Basi walipanda watu kibao wakajipinda kusema tarehe ya siku husika wengine kwa kiswahili, wengine kwa kiingereza, kifaransa, wengine kwa kikabila chao, wote walikosa.

Mimi nikajaribu kama natania vile, nilipopanda jukwaani nikasema neno hili, "tarehe ya leo". Kwa mshangao wa wengi nikashinda. Ingawa watu walihoji ni kwanini nilikuwa sahihi, yule MC akawaambia fimbo lilikuwa panda juu ya jukwaa useme neno, "tarehe ya leo" na wala sio kutaja tarehe yenyewe. Umenipataaa.....

Sasa kwa kesi yako kubali kushindwa, uliambiwa tafuta X, wakati unaona kabisa X hiyo ipo tene imezungushiwa duara banaaaa.

Ha ha ha !
Ni kweli they all missed the joke!
Jamaa alishaipata hiyo "X" kwa kuizungushia wino!!!!

Mkuu pitia thread yote kabla ya kuijibu!
 
Mkuu The Listener,kwa niaba ya Mwali, ningependa kukuhakikishia kuwa mimi kwa mahesabu ni mkari!, na tuhesabu tudogo tudogo twa kunywea maji kama hutu hatunipi shida.
I am a practical scientist , with a sense of humour.

Kwa taarifa yako tu hata hilo jibu la mwenzio lina error,it should be

x=sqrt(3[SUP]2 [/SUP]+4[SUP]2[/SUP])=5

mind you the brackets!

Hata hivyo Mwali , akiwa mwali si lazima ajue mahesabu sana maana umwali wake toosha kabisa


thank u very much mr masopakyindi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom