wadau hizi tetesi niliwahi kuzisikia kwamba hawa watu huwa hawaajiri watu wa UDSM hasa wenye upper 2nd,...mwanzo nilikuwa sikuamini na nikaapply nafasi za loan officer ambazo deadline yake ilikuwa february mwishoni..cha ajabu sijaitwa mpaka leo, nimeuliza watu wengine kaama wanne ambao nao waliapply nafasi hizo hizo, nao hawajaitwa...nilipowadadisi zaidi nikagundua kwamba wana upper second!!! Na sasa wameshatangaza kazi mpya http://www.zoomtanzania.com/listingdetail?ListingID=18006
sikuishia hapo, nimemdadisi jamaa yangu ambaye ameajiriwa hapo na amepelekwa kahama juu ya ukweli wa jambo hili...kanijibu kwammba inawezekana maana watu wanakimbia kila siku.
ninachojiuliza
Je maslahi ya hawa jamaa yakoje? Kama siyo maslahi kinachowakimbiza watu ni nini?
Tindikalikali,upper second ya nini,kuna fani nyingi UDSM, AU hata kama ni ya sanaa ya michezo unataka ajira ya Loan Officer,peruzi kidogo HR policies utaona kwa nini unaweza achwa hata na 1st class.Nahisi ulioverqualify