Finally, EA nations agree to disagree on federation

Muungano
Muungano wetu unaendelea kwa sasa ulipofikia unatosha .
Kuhusu kuungana Eac ni ngumu kwa kuwa kuna watu wanapenda shida zao kuhamisha kwa wengine.
Dhamira ya dhat hakuna
Maxhungu ya mali za jumuia ilokufa
Ongezea zako
Muungano Wa tz na the calling of the willing hauwezi kufananishwa na muungano wa tz na znz kwa mazingira ya sasa.japo yote ni muungano
 
Muungano una ghalama zake na pia kila kitu kina faida na hasara.pia ufahamu kuwa hata tanganyika ilipata hasara wakati ule kuamua kuacomodate visiwa hivyo.its win win.
Mwisho si lazima watu wote waridhike hata hong kong hawaridhiki na muungano wao hata marekan kuna wengine wanafikiri bora wasingekuwa sehem ya us

Unamwabia MK254 Hong Kong unafikiri anajuwa hata Hong Kong ipo wapi. Hapo nyuma ya nyumba yake Kenya haujui leo itakuwa Hong Kong


Hivi wewe umekaa na Wazanzibari wakakuambia muungano wenu ulipofikia umetosha? Hebu siku moja tembelea hicho kisiwa chao halafu wakuambie, utashangaa wengi hawautaki huo muungano wenu, huwa wanahisi kama wanapunjwa vile. Haya mambo ya miungano ni usanii tu na mimi naomba yasiwepo, tufanye biashara baina ya nchi zetu lakini tusiingie kwenye huo mtego.
Sasa, haya ya Zanzibar ndio yanafanya EAC kukwama? au mnatafuta sababu tuu. Wazanzibari wenyewe hawajasema lolote, waswahili mnajua na mishale mnatumbuwa tuu. Kuna wanao penda kukumbatia vyote vitamu vya EAC, na ndani hao wanakwamisha EAC. Naamini unawajuwa.
 
EAC is constantly being affected by elections and change of presidents in Kenya and TZ. Kikwete and Kibaki were at par, Kikwete and Kagame were not seeing eye to eye. Uhuru and Museveni wanted things to move very fast to the extent of forming the cow outfit which resulted to protest from Kikwete in parliament that I watched live on tv. Maghufuli and Kagame are in good terms. Uhuru and Maghufuli started well in the first summit but things went south after that when Uhuru foreign policy handles thought Maghufuli was shunning Kenya since he had never made a state visit to Kenya. This resulted in Uhuru sending his DP to the last summit in Dodoma. We now know TZ president has made his maiden State visit to Kenya. But this has already had implications on EAC. No referendum can be held in the current climate of Brexit and Trump where majority rural people feel they are being left behind by advancement in technology, globalisation and immigration. The chance of people using such an exercise to address grievances that cannot be addressed during elections is very high and could result in an instant no. Unless of couse the PF is packaged in a popular way.

The sensitive nature of EAC politics is the reason why the council cannot take a risk of drafting a constitution now. That is why they have decided to take a detour through a confederation see if it can work then maybe come up with a PF constitution later.
Big picture guy.
 
Hivi wewe umekaa na Wazanzibari wakakuambia muungano wenu ulipofikia umetosha? Hebu siku moja tembelea hicho kisiwa chao halafu wakuambie, utashangaa wengi hawautaki huo muungano wenu, huwa wanahisi kama wanapunjwa vile. Haya mambo ya miungano ni usanii tu na mimi naomba yasiwepo, tufanye biashara baina ya nchi zetu lakini tusiingie kwenye huo mtego.
Zanzibar is one of the reason they don't want to touch their Katiba. We have voted twice for a constitution, TZ don't want to touch theirs after all that mchakato.

EAC is very toothless to handle and enforce trade. Something radical probably deliberate needs to be done. To move in EA you need visas, some are $100 plus many other restrictions, that is very limiting to trade. Further intergration will put an end to this.
 
PF being a Museveni's baby is a common misconception, PF idea predates Museveni, it is the idea of the people. With a big PF government when it comes to defense and justice no one would want to mess the way S.Sudan and Burundi are messing up.
It was actually Nyerere's baby
 
The political federation of East Africa is a MUST .....hilo halina mjadala.
We should be discussing what arrangement suits us best......
 
Hivi wewe umekaa na Wazanzibari wakakuambia muungano wenu ulipofikia umetosha? Hebu siku moja tembelea hicho kisiwa chao halafu wakuambie, utashangaa wengi hawautaki huo muungano wenu, huwa wanahisi kama wanapunjwa vile. Haya mambo ya miungano ni usanii tu na mimi naomba yasiwepo, tufanye biashara baina ya nchi zetu lakini tusiingie kwenye huo mtego.
vipi kuhusu "pwani si kenya"?
 
vipi kuhusu "pwani si kenya"?

Inabidi kwenda nao vivyo hivyo maana kama lazima Sultan wa Ugunja apewe maeneo yake basi itakua shughuli, maana tutaanzia kumpa Pwani ya Somalia, tumpe Lamu, Mombasa, Tanga, Dar es Salaam, kwenda hadi Mtwara na visiwa vyote vya Zanzibar.
Kifupi Tanganyika na Kenya hazitakua na bahari kama itabidi tumpe Sultan 'ardhi' yake. Japo swali litaibuka kwamba kabla huyo mwarabu kuja Afrika, ina maana hakuwakuta wenyeweji.
 
Inabidi kwenda nao vivyo hivyo maana kama lazima Sultan wa Ugunja apewe maeneo yake basi itakua shughuli, maana tutaanzia kumpa Pwani ya Somalia, tumpe Lamu, Mombasa, Tanga, Dar es Salaam, kwenda hadi Mtwara na visiwa vyote vya Zanzibar.
Kifupi Tanganyika na Kenya hazitakua na bahari kama itabidi tumpe Sultan 'ardhi' yake. Japo swali litaibuka kwamba kabla huyo mwarabu kuja Afrika, ina maana hakuwakuta wenyeweji.
Unaruka swali, sijui labda unafanya makusudi. Unaporusha madongo ya Zanzibar ukumbuke wenye pwani yao na wao wanauliza huko Kenya (Mombasa Republic Council = Pwani si Kenya) Hili ni swala bado linafukuta, je na sisi tulize kama hayo yanayodaiwa na watu wa Pwani yata athiri muungano wa EA? Au maneno ya Professor Ndii yana maana.... "Kenya is a cruel marriage it's time we talk divorce".

www.nation.co.ke/oped/Opinion/Kenya-is-a-cruel-marriage--it-s-time-we-talk-divorce/440808-3134132-view-asAMP-4e69g6/index.html
 
Unaruka swali, sijui labda unafanya makusudi. Unaporusha madongo ya Zanzibar ukumbuke wenye pwani yao na wao wanauliza huko Kenya (Mombasa Republic Council = Pwani si Kenya) Hili ni swala bado linafukuta, je na sisi tulize kama hayo yanayodaiwa na watu wa Pwani yata athiri muungano wa EA? Au maneno ya Professor Ndii yana maana.... "Kenya is a cruel marriage it's time we talk divorce".

www.nation.co.ke/oped/Opinion/Kenya-is-a-cruel-marriage--it-s-time-we-talk-divorce/440808-3134132-view-asAMP-4e69g6/index.html

Wapi nimeruka swali, kauli za kwamba Pwani sio Kenya hutokana na historia kwamba Pwani yote kuanzia Somalia hadi Mtwara Tanzania vyote vilikua vya Mwarabu Sultan.
 
Wapi nimeruka swali, kauli za kwamba Pwani sio Kenya hutokana na historia kwamba Pwani yote kuanzia Somalia hadi Mtwara Tanzania vyote vilikua vya Mwarabu Sultan.
Tanganyika haijawahi kuwa chini ya sultani, kwahiyo ukisema Tanzania inahusika na msemo huo, utakuwa una unakosea. Mombasa Republican Council wanautumia sana msemo wa Pwani si kenya. Na kwanini waseme jina la Kenya kama wanazungumzia ukanda wote wa Afrika Mashariki? Ndio maana nikauambia unaruka swali, muuliza swali aliuliza kutu kinacho husu Kenya sio ya Afrika Mashariki.
 
Tanganyika haijawahi kuwa chini ya sultani, kwahiyo ukisema Tanzania inahusika na msemo huo, utakuwa una unakosea. Mombasa Republican Council wanautumia sana msemo wa Pwani si kenya. Na kwanini waseme jina la Kenya kama wanazungumzia ukanda wote wa Afrika Mashariki? Ndio maana nikauambia unaruka swali, muuliza swali aliuliza kutu kinacho husu Kenya sio ya Afrika Mashariki.

Wacha kudandia treni kwa mbele bila kujua inaenda wapi. Kasome historia ya Afrika Mashariki, haya yote unayoyaona ujue kwanza yametokea wapi.

Hao wanaosema Pwani sio Kenya, jifunze yanaibukia wapi, ni kweli tukifuata ramani ya hapo awali kihistoria utakuta ukanda wote wa Pwani za hizi nchi zote ni mali ya sultan wa Zanzibar, hadi mto wa Ruvuma kule kwenye mpaka wenu na Msumbiji. Japo yalipigwa chini na kuzimwa maana mijadala ya hivyo hairuhusiwei leo, ni kama tu vile hatuongei tena mambo ya mlima uliokua wetu wa Kilimanjaro.

Ni kwamba wewe binafsi hujawaskia Wazanzibar, lakini wapo wengi wanaoujua huu ukweli na wanahoji japo kimya kimya, kuna hata Wazanzibari humu JF hupenda kuibua haya mambo akiwemo huyu jamaa Baraghash
Fuata huku Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar asema Mafia, Lamu pia ni sehemu ya Zanzibar

Na pia soma hii
How Kenya got The Ten-Mile Coastal Strip - Owaahh
 
Wacha kudandia treni kwa mbele bila kujua inaenda wapi. Kasome historia ya Afrika Mashariki, haya yote unayoyaona ujue kwanza yametokea wapi.

Hao wanaosema Pwani sio Kenya, jifunze yanaibukia wapi, ni kweli tukifuata ramani ya hapo awali kihistoria utakuta ukanda wote wa Pwani za hizi nchi zote ni mali ya sultan wa Zanzibar, hadi mto wa Ruvuma kule kwenye mpaka wenu na Msumbiji. Japo yalipigwa chini na kuzimwa maana mijadala ya hivyo hairuhusiwei leo, ni kama tu vile hatuongei tena mambo ya mlima uliokua wetu wa Kilimanjaro.

Ni kwamba wewe binafsi hujawaskia Wazanzibar, lakini wapo wengi wanaoujua huu ukweli na wanahoji japo kimya kimya, kuna hata Wazanzibari humu JF hupenda kuibua haya mambo akiwemo huyu jamaa Baraghash
Fuata huku Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar asema Mafia, Lamu pia ni sehemu ya Zanzibar

Na pia soma hii
How Kenya got The Ten-Mile Coastal Strip - Owaahh
Swali, kwanini jina la Kenya linahusishwa na pwani. Usipanue swala, hii ni shida ya kenya na wanapwani wa Kenya. Usiwaongele wengine kuwajumuisha kwenye shida ya kenya. Professor Ndii ameandika vizuri na inaeleweka kwamba bora Kenya wajikate kama ilivyo kuwa kabla ya mkoloni kupunguza uhasama. Kubadilisha katiba na kuweka majimbo haija zaa matunda yoyote. Chuki na uhasama na ukabila bado upo pale pale, badala ya kuishia kwenye doa kubwa ya Afrika Mashariki, angalia nyumba yako kama nyufa zote zimezibwa.
 
Swali, kwanini jina la Kenya linahusishwa na pwani. Usipanue swala, hii ni shida ya kenya na wanapwani wa Kenya. Usiwaongele wengine kuwajumuisha kwenye shida ya kenya. Professor Ndii ameandika vizuri na inaeleweka kwamba bora Kenya wajikate kama ilivyo kuwa kabla ya mkoloni kupunguza uhasama. Kubadilisha katiba na kuweka majimbo haija zaa matunda yoyote. Chuki na uhasama na ukabila bado upo pale pale, badala ya kuishia kwenye doa kubwa ya Afrika Mashariki, angalia nyumba yako kama nyufa zote zimezibwa.

Huko unakwenda sikujui na sikufuati. Cha msingi ulileta mambo ya kwamba Pwani sio Kenya nikakupa historia ya wapi yanakotoka hayo yote, chimbuko lake ambalo ni kweli Pwani hizi hazikua zetu tangu awali.
Kaa na Wanzazibari wakupe darasa.

Haya Kwaheri kwa sababu umegoma kupata elimu ya bure.
 
Huko unakwenda sikujui na sikufuati. Cha msingi ulileta mambo ya kwamba Pwani sio Kenya nikakupa historia ya wapi yanakotoka hayo yote, chimbuko lake ambalo ni kweli Pwani hizi hazikua zetu tangu awali.

Haya Kwaheri kwa sababu umegoma kupata elimu ya bure.
Yani mimi nawacheka pale wakenya mnapo jaribu kuruka ruka na kuficha ukweli. Na ndio yao tunajibishana humu JF kula siku. Aliye kuuliza swali alikuwa na nia hiyo hiyo kuhusu Mombasa, na ndio kuko kila siku wanadai eneo lao. Leo hii unaleta ya Zanzibar, mara ya sultani, mara ya mto Ruvuma....vipi? hatana mimi naona akili zinapotea, unachanganyikiwa. Waingereza wanasemaga "ducking the question", haya ukweli wa Pwani Si Kenya utajulikana tuu siku moja.
 
Yani mimi nawacheka pale wakenya mnapo jaribu kuruka ruka na kuficha ukweli. Na ndio yao tunajibishana humu JF kula siku. Aliye kuuliza swali alikuwa na nia hiyo hiyo kuhusu Mombasa, na ndio kuko kila siku wanadai eneo lao. Leo hii unaleta ya Zanzibar, mara ya sultani, mara ya mto Ruvuma....vipi? hatana mimi naona akili zinapotea, unachanganyikiwa. Waingereza wanasemaga "ducking the question", haya ukweli wa Pwani Si Kenya utajulikana tuu siku moja.
Leta uzi wako mpya ujadili utengamano wa Kenya kivyake na hii mada ya pwani si Kenya and Kenya is a cruel marriage tukutane huko sio kunyakua uzi wenye mada tofauti.
 
Kwanza MAGUFULI naomba upitishe uhakiki wa HATI za Ardhi na uhalali wa Urai wa wamiliki.

Mwanza, na Mara Wakenya wengi sn wanamiliki Ardhi.
Wanyang'anywe waende kwao.
 
Leta uzi wako mpya ujadili utengamano wa Kenya kivyake na hii mada ya pwani si Kenya and Kenya is a cruel marriage tukutane huko sio kunyakua uzi wenye mada tofauti.
Hayo maneno yapeleke kwa alieuliza swali la Pwani Si Kenya. Rudi nyuma kwenye uzi utamjua. Funny enough kwanini mpaka Uzi mpya ndio uweze kujadili failing marriage ya Kenya? Wakenya tunawajuwa mna so many rabbits under your hat. Hamkawi kukimbia
 
Back
Top Bottom