conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,116
- 762
Muungano
Muungano Wa tz na the calling of the willing hauwezi kufananishwa na muungano wa tz na znz kwa mazingira ya sasa.japo yote ni muunganoMuungano wetu unaendelea kwa sasa ulipofikia unatosha .
Kuhusu kuungana Eac ni ngumu kwa kuwa kuna watu wanapenda shida zao kuhamisha kwa wengine.
Dhamira ya dhat hakuna
Maxhungu ya mali za jumuia ilokufa
Ongezea zako