Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Muda huu kuna kundi kubwa kiasi la wanafunzi UDSM linapiga tarumbeta kusherehekea mwisho wa mitihani na masomo yao baada ya miaka mitatu au minne ya chuoni kutegemeana na programu aliyosoma muhusika. Tuwakaribishe uraiani kupigana na maisha! Enzi za kugombana na Bodi ya mikopo sasa imefikia tamati, mikopo itapatikana SACCOs na kwenye mabenki kwa dhamana maalum. Tumieni elimu yenu kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine. Kila la heri!