bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
hahaha chica nipo aisee!....si unajua tena invisible toka anipe ajira ananifanyisha kazi sana aafu yeye ana relax!....Basi imekuwa balaha tupu shosti wewe mzima lakini.....
Hongera sana, wat an opportunity!!! anrelax pembeni yako I can imagine heheeeee!!!
Niko powa sana, nikashangaa ukanitupa kwa Bala afu hat akuulizia maendeleo ya miyo yetu hutaki.......vibaya hivyo???