Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
kwani Ngao ya taifa ina maana gani?, bendera je ni ya nini?
Wakuu kuna ule mkongojo unaobebwa kwa ulinzi mkali na Spika akiwa nyuma yake una maana gani? Na je bila siwa kikao cha Bunge hakiwezi kuendelea?
Wajinga ndio waliwao. Tabia ya kuiga mambo ya kijinga, kwenye bunge la UK spika wao hutumia mkongojo huo kugonga mlango kuashiria kwamba malkia anaingia bungeni hivyo wabunge (subjects) wakae kimya maana malkia anaingia au pengine one day Charles akiukwaa mfalme anaingia wakati wa kufungua vikao vya bunge na wote lazima wasimame sio wakae chini kama sikosei tena huwa wanaitwa kwenye chamber nyingine. yaani ni ujinga mtupu, sasa waswahili na u-loafer wao wakaona nalo hilo ni tija.
wewe mzima kweli?????? heshima hailetwi na fimbo bali busara na hekima, hiyo fimbo wameiga kwa Waingereza na ni ushenzi kwetu haina lolote.matumizi ya ile siwa bungeni si ujinga,ni tendo la heshima ya pekee bungeni.