Fimbo aitumiayo Spika ina maana gani?

Ng'wanza Madaso

JF-Expert Member
Oct 21, 2008
2,268
333
Wakuu kuna ule mkongojo unaobebwa kwa ulinzi mkali na Spika akiwa nyuma yake una maana gani? Na je bila siwa kikao cha Bunge hakiwezi kuendelea?
4356318.jpg
 
Wakuu kuna ule mkongojo unaobebwa kwa ulinzi mkali na Spika akiwa nyuma yake una maana gani? Na je bila siwa kikao cha Bunge hakiwezi kuendelea?

Wajinga ndio waliwao. Tabia ya kuiga mambo ya kijinga, kwenye bunge la UK spika wao hutumia mkongojo huo kugonga mlango kuashiria kwamba malkia anaingia bungeni hivyo wabunge (subjects) wakae kimya maana malkia anaingia au pengine one day Charles akiukwaa mfalme anaingia wakati wa kufungua vikao vya bunge na wote lazima wasimame sio wakae chini kama sikosei tena huwa wanaitwa kwenye chamber nyingine. yaani ni ujinga mtupu, sasa waswahili na u-loafer wao wakaona nalo hilo ni tija.
 
Wajinga ndio waliwao. Tabia ya kuiga mambo ya kijinga, kwenye bunge la UK spika wao hutumia mkongojo huo kugonga mlango kuashiria kwamba malkia anaingia bungeni hivyo wabunge (subjects) wakae kimya maana malkia anaingia au pengine one day Charles akiukwaa mfalme anaingia wakati wa kufungua vikao vya bunge na wote lazima wasimame sio wakae chini kama sikosei tena huwa wanaitwa kwenye chamber nyingine. yaani ni ujinga mtupu, sasa waswahili na u-loafer wao wakaona nalo hilo ni tija.

teh teh teh teh teh teh heheheheheheheheheheheheh
 
Wajinga ndio waliwao. Tabia ya kuiga mambo ya kijinga, kwenye bunge la UK spika wao hutumia mkongojo huo kugonga mlango kuashiria kwamba malkia anaingia bungeni hivyo wabunge (subjects) wakae kimya maana malkia anaingia au pengine one day Charles akiukwaa mfalme anaingia wakati wa kufungua vikao vya bunge na wote lazima wasimame sio wakae chini kama sikosei tena huwa wanaitwa kwenye chamber nyingine. yaani ni ujinga mtupu, sasa waswahili na u-loafer wao wakaona nalo hilo ni tija.

Good point.
Kama wabunge wetu mpaka vitu basic kabisa kama hicho kifimbo lazima wageze waingereza unategemea nini?Ndiyo inferiority complex yetu i.Huu ujinga unakwenda mpaka chini kabisa.Ndio hayo, tunashangaa nini?Mpaka ujuzi wa kulima nyanya wasomi utasikia raisi anataka wataalamu kutoka nje.

Bongo utaona wasomi wanasheria wanavaa wigss zile nyeupe uliza hizo wigs zilianzia wapi na ni za nini

Ujinga wa mwafrika.
 
matumizi ya ile siwa bungeni si ujinga,ni tendo la heshima ya pekee bungeni.
 
si kila kitu ni ujinga jamani, dah, ikiwa ni hivo basi hata elimu tulizo nazo

ni ujinga maana ni hao hao wazungu zilianzia kwao, si hivo tu bali hali

hata matumizi ya hizi computer tunazong'ang'ana nazo kubofya key bord ni ujinga maana pia ni

elimu toka kwao, na kama jambo ni jema na halina athari kwa jamii? kwa nini

usiige? acheni hizo hayo pia ni mawazo ya ujuha na kujikinai

kiujumla sisi hatuna cha kujivunia, labda majungu na umbea
 
Kaka unaonekana mfurutwa kama huna mahaba ya dhati na ujuha unaolifunika si tu bunge bali hata hao wanaoliongoza ila ni vema na haki yako ya kikatiba kama mnavyodai kwa lugha zenu kaka. Ila ukweli ni kwamba fimbo yenu hiyo haina maana yoyote. Kama ipo weka hadharani sio porojo tuu. Ingekua heshma kama kingetengenezwa hata kinyago chenye asili ya TZ lakini siwa inafanana na kitu gani TZ? Basi tengenezeni hata iwe na taswira ya mlima K'njaro inakshiwe na tanzanite angalau unaweza sema ni heshma kwa rasilimali zetu hii heshma unayosema ni ipi kaka? Tuweke wazi sio heshma kama wimbo tuu mkuu.
 
Heshma kivipi mkuu? sema ni utaratibu wa pekee labda nao bado sio maana ni kitu cha kuiga tweke wazi acha porojo maana hazijengi kitu tueleze uhusiano wa siwa na hoja bungeni au siwa na spika. Au siwa na miongozo kama hamna tukubali tu kuwa siwa ni alama ya kuiga na haina msaada wowote wala mahusiano yoyote kati ya siwa na bunge. Mkuu weka wazi ikibidi mpaka mwisho wa uelewa wako usihofu challenge ni mambo ya kawaida. SIWA hamna kitu pale.
matumizi ya ile siwa bungeni si ujinga,ni tendo la heshima ya pekee bungeni.
 
si kila kitu ni ujinga jamani, dah, ikiwa ni hivo basi hata elimu tulizo nazo
ni ujinga maana ni hao hao wazungu zilianzia kwao, si hivo tu bali hali
hata matumizi ya hizi computer tunazong'ang'ana nazo kubofya key bord ni ujinga maana pia ni
elimu toka kwao, na kama jambo ni jema na halina athari kwa jamii? kwa nini
usiige? acheni hizo hayo pia ni mawazo ya ujuha na kujikinai
kiujumla sisi hatuna cha kujivunia, labda majungu na umbea
Ndugu punguza jazba kidogo... Thread inazungumzia kuiga taratibu za Muingereza na si matumizi ya technology... Watanzania tulikuwa na mabunge yetu tangia enzi kabla mkoloni hajaja, ni kiasi cha kufufua zile taratibi za Kitanzania (Kiafrika) na kuzikarabati kidogo ili ziendane na wakati.

Sasa nambie uigaji wa kuvaa wig kwa wanasheria unasaidia kitu gani, kama si ulimbukeni!?
 
si kila kitu ni ujinga jamani, dah, ikiwa ni hivo basi hata elimu tulizo nazo

ni ujinga maana ni hao hao wazungu zilianzia kwao, si hivo tu bali hali

hata matumizi ya hizi computer tunazong'ang'ana nazo kubofya key bord ni ujinga maana pia ni

elimu toka kwao, na kama jambo ni jema na halina athari kwa jamii? kwa nini

usiige? acheni hizo hayo pia ni mawazo ya ujuha na kujikinai

kiujumla sisi hatuna cha kujivunia, labda majungu na umbea


Mkuu unaiga mambo ya maana sio kila kitu, unapolinganisha computer ndio unapopotea njia ni sawa na lugha ya kiingereza waswahili wanaitukuza kama vile sijui ni kitu gani. Nchi nyingi duniani hazitumii kiingereza kama nchi zetu zilivyoikumbatia angalia nchi kama japan, au scandinavian countries wanatumia lugha zao sisi kushadidia kiingereza tu na kukandia lugha yetu ya kuzaliwa ni ujuha tu hakuna lolote.
 
Kwanza wewe umeuliza ule mkongojo mbona hujauliza hata lile joho analovaa. Mimi nakwambia majuha wengi sana hapa Tanzania, utakuta jua kali na joto tele jamaa kafunga tai na jacket juu sasa hapo utasema nini? Sisi tunaiga hata mambo yasiyokuwa na ulazima angalia Viongozi wa chama cha majambazi kila uchwao kiguu na njia kwenda London kufanya shopping za nguvu yaani hawaridhiki na walichonacho. wataagiza matunda kutoka ulaya fenicha toka ulaya kila kitu hata madawati yatengenezwe ulaya. Yaani wasomi wengi bado ni mambumbumbu akili zao bado zipo kwenye utumwa.

Hivi lile joho ameanza kuvaa lini? Sikumbuki wakati wa enzi za spika Sapi Mkwawa kuliona.
 
Halafu ulizia hilo joho na siwa vyatoka wapi na bei gani. WanaCCM watasema hata tuwe na shule bila madawati na walimu lakini hivyo lazima vinunuliwe. CCM ndivyo walivyo.
 
Mkuu unaiga mambo ya maana sio kila kitu, unapolinganisha computer ndio unapopotea njia ni sawa na lugha ya kiingereza waswahili wanaitukuza kama vile sijui ni kitu gani. Nchi nyingi duniani hazitumii kiingereza kama nchi zetu zilivyoikumbatia angalia nchi kama japan, au scandinavian countries wanatumia lugha zao sisi kushadidia kiingereza tu na kukandia lugha yetu ya kuzaliwa ni ujuha tu hakuna lolote.
hujakosea mkuu, lakini kumbuka kuwa toto baya zuri kwa mama yake

nadhani mimi na wewe twaweza tusijue vizuri maana yake zaidi ya

walio iga, svyo, nikipendacho si rahisi kikapendwa na wote, na

wakipendacho wote naweza nisikipende mimi, hapo ni self service
zaidi
 
Ndugu punguza jazba kidogo... Thread inazungumzia kuiga taratibu za Muingereza na si matumizi ya technology... Watanzania tulikuwa na mabunge yetu tangia enzi kabla mkoloni hajaja, ni kiasi cha kufufua zile taratibi za Kitanzania (Kiafrika) na kuzikarabati kidogo ili ziendane na wakati.

Sasa nambie uigaji wa kuvaa wig kwa wanasheria unasaidia kitu gani, kama si ulimbukeni!?
hapo jazba ni mtizamo wako mbovu tu, labda nikuulize wewe una kipi cha kijivunia

kama taifa? pengine hata avatar ( ) yako yenyewe haina hata fundisho, na ni ya kuiga pia.
 
nimekubali changamoto hiyo, mambomengi watz tunaiga kama hatuna akiri hasa ukianza na viongozi wetu wameshashindwa kufanya ubunifu kwa kutumia asili yetu hasa makabila yetu yapatayo 120 tumeshindwa kubuni vazi la spika ,wanasheria,nk ina maana hapo kale hakukuwa na mabaraza ???????

hatuna jipya kweli tumefuliaaaa kimawazo
 
si kila kitu ni ujinga jamani, dah, ikiwa ni hivo basi hata elimu tulizo nazo

ni ujinga maana ni hao hao wazungu zilianzia kwao, si hivo tu bali hali

hata matumizi ya hizi computer tunazong'ang'ana nazo kubofya key bord ni ujinga maana pia ni

elimu toka kwao, na kama jambo ni jema na halina athari kwa jamii? kwa nini

usiige? acheni hizo hayo pia ni mawazo ya ujuha na kujikinai

kiujumla sisi hatuna cha kujivunia, labda majungu na umbea
Pamoja Mkuu, nijuavyo mimi siwa ni ishara ya mamlaka ya bunge full stop.
 
Good point.
Kama wabunge wetu mpaka vitu basic kabisa kama hicho kifimbo lazima wageze waingereza unategemea nini?Ndiyo inferiority complex yetu i.Huu ujinga unakwenda mpaka chini kabisa.Ndio hayo, tunashangaa nini?Mpaka ujuzi wa kulima nyanya wasomi utasikia raisi anataka wataalamu kutoka nje.

Bongo utaona wasomi wanasheria wanavaa wigss zile nyeupe uliza hizo wigs zilianzia wapi na ni za nini

Ujinga wa mwafrika.
Kuiga kubaya tufuate tamaduni zetu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom