Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Wakuu kuna ule mkongojo unaobebwa kwa ulinzi mkali na Spika akiwa nyuma yake una maana gani? Na je bila siwa kikao cha Bunge hakiwezi kuendelea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu kuna ule mkongojo unaobebwa kwa ulinzi mkali na Spika akiwa nyuma yake una maana gani? Na je bila siwa kikao cha Bunge hakiwezi kuendelea?
Wajinga ndio waliwao. Tabia ya kuiga mambo ya kijinga, kwenye bunge la UK spika wao hutumia mkongojo huo kugonga mlango kuashiria kwamba malkia anaingia bungeni hivyo wabunge (subjects) wakae kimya maana malkia anaingia au pengine one day Charles akiukwaa mfalme anaingia wakati wa kufungua vikao vya bunge na wote lazima wasimame sio wakae chini kama sikosei tena huwa wanaitwa kwenye chamber nyingine. yaani ni ujinga mtupu, sasa waswahili na u-loafer wao wakaona nalo hilo ni tija.
Wajinga ndio waliwao. Tabia ya kuiga mambo ya kijinga, kwenye bunge la UK spika wao hutumia mkongojo huo kugonga mlango kuashiria kwamba malkia anaingia bungeni hivyo wabunge (subjects) wakae kimya maana malkia anaingia au pengine one day Charles akiukwaa mfalme anaingia wakati wa kufungua vikao vya bunge na wote lazima wasimame sio wakae chini kama sikosei tena huwa wanaitwa kwenye chamber nyingine. yaani ni ujinga mtupu, sasa waswahili na u-loafer wao wakaona nalo hilo ni tija.
matumizi ya ile siwa bungeni si ujinga,ni tendo la heshima ya pekee bungeni.
Ndugu punguza jazba kidogo... Thread inazungumzia kuiga taratibu za Muingereza na si matumizi ya technology... Watanzania tulikuwa na mabunge yetu tangia enzi kabla mkoloni hajaja, ni kiasi cha kufufua zile taratibi za Kitanzania (Kiafrika) na kuzikarabati kidogo ili ziendane na wakati.si kila kitu ni ujinga jamani, dah, ikiwa ni hivo basi hata elimu tulizo nazo
ni ujinga maana ni hao hao wazungu zilianzia kwao, si hivo tu bali hali
hata matumizi ya hizi computer tunazong'ang'ana nazo kubofya key bord ni ujinga maana pia ni
elimu toka kwao, na kama jambo ni jema na halina athari kwa jamii? kwa nini
usiige? acheni hizo hayo pia ni mawazo ya ujuha na kujikinai
kiujumla sisi hatuna cha kujivunia, labda majungu na umbea
Mkuu naomba unieleweshe uwepo wake pale una wakilisha nini?matumizi ya ile siwa bungeni si ujinga,ni tendo la heshima ya pekee bungeni.
si kila kitu ni ujinga jamani, dah, ikiwa ni hivo basi hata elimu tulizo nazo
ni ujinga maana ni hao hao wazungu zilianzia kwao, si hivo tu bali hali
hata matumizi ya hizi computer tunazong'ang'ana nazo kubofya key bord ni ujinga maana pia ni
elimu toka kwao, na kama jambo ni jema na halina athari kwa jamii? kwa nini
usiige? acheni hizo hayo pia ni mawazo ya ujuha na kujikinai
kiujumla sisi hatuna cha kujivunia, labda majungu na umbea
hujakosea mkuu, lakini kumbuka kuwa toto baya zuri kwa mama yakeMkuu unaiga mambo ya maana sio kila kitu, unapolinganisha computer ndio unapopotea njia ni sawa na lugha ya kiingereza waswahili wanaitukuza kama vile sijui ni kitu gani. Nchi nyingi duniani hazitumii kiingereza kama nchi zetu zilivyoikumbatia angalia nchi kama japan, au scandinavian countries wanatumia lugha zao sisi kushadidia kiingereza tu na kukandia lugha yetu ya kuzaliwa ni ujuha tu hakuna lolote.
hapo jazba ni mtizamo wako mbovu tu, labda nikuulize wewe una kipi cha kijivuniaNdugu punguza jazba kidogo... Thread inazungumzia kuiga taratibu za Muingereza na si matumizi ya technology... Watanzania tulikuwa na mabunge yetu tangia enzi kabla mkoloni hajaja, ni kiasi cha kufufua zile taratibi za Kitanzania (Kiafrika) na kuzikarabati kidogo ili ziendane na wakati.
Sasa nambie uigaji wa kuvaa wig kwa wanasheria unasaidia kitu gani, kama si ulimbukeni!?
Pamoja Mkuu, nijuavyo mimi siwa ni ishara ya mamlaka ya bunge full stop.si kila kitu ni ujinga jamani, dah, ikiwa ni hivo basi hata elimu tulizo nazo
ni ujinga maana ni hao hao wazungu zilianzia kwao, si hivo tu bali hali
hata matumizi ya hizi computer tunazong'ang'ana nazo kubofya key bord ni ujinga maana pia ni
elimu toka kwao, na kama jambo ni jema na halina athari kwa jamii? kwa nini
usiige? acheni hizo hayo pia ni mawazo ya ujuha na kujikinai
kiujumla sisi hatuna cha kujivunia, labda majungu na umbea
Kuiga kubaya tufuate tamaduni zetu.Good point.
Kama wabunge wetu mpaka vitu basic kabisa kama hicho kifimbo lazima wageze waingereza unategemea nini?Ndiyo inferiority complex yetu i.Huu ujinga unakwenda mpaka chini kabisa.Ndio hayo, tunashangaa nini?Mpaka ujuzi wa kulima nyanya wasomi utasikia raisi anataka wataalamu kutoka nje.
Bongo utaona wasomi wanasheria wanavaa wigss zile nyeupe uliza hizo wigs zilianzia wapi na ni za nini
Ujinga wa mwafrika.