PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Wengi mwanzoni walikuwa wanajua kuwa Filipo ni mtu wa jukwaa la siasa, lakini baada ya kufahamiana na marejesho na sweetlady amebadilika kabisa, na alishaacha hata kuripoti matukio "Live" ya kisiasa.
Hizi chini ni comment za wadau waliokuwa wanamjua kuwa ni mtu wa Politiki:
Mzee mwenzangu Filipo, RUDI NYUMBANI, Chit-chat hapakufai!
Hizi chini ni comment za wadau waliokuwa wanamjua kuwa ni mtu wa Politiki:
By Mungi..."Huyu jamaa ametushitua sana....yaani hatuamini yeye kuhama Jukwaa la siasa"
By LIVEPOOLFC..."Jamaa katekwa na Chit-Chat kabisa, anasikitisha"
By IGWE...."Jamaa atakuwa kapata demu kule Chit-Chat, maana hakamati channeli kabisa
By Saharavoice.. Filipo alidhani kwenye Jukwaa la siasa kuna kusifiwa, kumbe mikuki mitupu
By Preta..."Mwache aje chit-chat mwaya, hao waliotoka kwenye siasa ndio wazuri sana hao, wanaingia kichwakichwa!
By Blaki Womani..."siku hizi Filipo kajua hadi kusuta
Mzee mwenzangu Filipo, RUDI NYUMBANI, Chit-chat hapakufai!