Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Ni kweli hawatakiwi ccm, ila wao wanaipenda ccm.
Ikithibitu tu kuwapa adhabu kali hasa kuwafukuza naamini kabisa CCM itakuwa imechambia maji ya moto tena yaliyochemka 100°C!!!!!
Ni kweli hawatakiwi ccm, ila wao wanaipenda ccm.
Ikithibitu tu kuwapa adhabu kali hasa kuwafukuza naamini kabisa CCM itakuwa imechambia maji ya moto tena yaliyochemka 100°C!!!!!
Tena wafanye haraka ili huo ukanda nyinyiemu iishie rasmi. Hao wawili tulishawashonea magwanda tayari, bado kuavisha tu.
Mkuu ccm hawawataki hao jamaa, lkn wanaogopa kuchukua hatua kwa sababu majimbo yataenda chadema. Tatizo jamaa wanaipenda chama chao, vinginevyo wangeshaamua.
Naibu waziri mh makamba ,aitaka ccm iwape adhabu kwa kusaliti chama,,ukiwa ccm na ukiwa mkweli hufai,source wapo radio
Wamekisaliti chama kivipi? Kwani sera ya ccm ni kusema uongo?
Ikithibitu tu kuwapa adhabu kali hasa kuwafukuza naamini kabisa CCM itakuwa imechambia maji ya moto tena yaliyochemka 100°C!!!!!
Huyu jamaa nimeanza kumkubali sana
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu,gamba haliwezi kuwa gwanda.Source Mtanzania
Mh mbunge Filikunjombe kawachana wabunge wa CCM na kuwaita waoga na wanafiki kwa kuogopa chama zaidi kuliko wananchi walio watuma bungeni.
Hayo yamejiri baada ya wabunge hao kuwa waoga kutia saini ya kutokuwa na imani na waziri mkuu pinda na kukaa kuzungumzia mambo hayo chini chini.
Mbaya zaidi wamekuwa wabunge wa kujipendekeza kwa chama na viongozi wake na kuwatupa wananchi wao.
My take
Sishangai ndo maana hata JK kashindwa kuvunja baraza hadi apate idhini ya chama