Ciphertext
Senior Member
- Apr 21, 2012
- 160
- 33
Source Mtanzania
Mh mbunge Filikunjombe kawachana wabunge wa CCM na kuwaita waoga na wanafiki kwa kuogopa chama zaidi kuliko wananchi walio watuma bungeni.
Hayo yamejiri baada ya wabunge hao kuwa waoga kutia saini ya kutokuwa na imani na waziri mkuu pinda na kukaa kuzungumzia mambo hayo chini chini.
Mbaya zaidi wamekuwa wabunge wa kujipendekeza kwa chama na viongozi wake na kuwatupa wananchi wao.
My take
Sishangai ndo maana hata JK kashindwa kuvunja baraza hadi apate idhini ya chama
Njiwa mwema haruki na kunguru, shuka kwenye TITANIC (CCM) upande SAFINA (CDM). Fanya haraka bado unayo nafasi.