Filikunjombe: Sikwenda Kigoma kumsafishia yeyote njia

Nimependa comments za Yericko na nimesikitishwa sana na means za zitto kutafuta platform

He is young, alipokwenda CMV alijitahidi sana kukwepa haya kwani alikua warned na wdau wa CDM DMV....

I think it is high time either awe CCM kieleweke, au aungame arudi kundini

enough is enough sasa kutumia cheap popularity, unless waandishi wanamharibia
 
Washabiki wengi wa chadema ni wanafki wanapofikia kwenye Maswala nani agombee urais kupitia chama hichi.Wanataka kufanya Kama CUF na lipumba ndo ninachokiona sasa.Kwa nini msiache demokrasia ifuate mkonde wake?

Ina maana kutaka madaraka zitto ndani ya chama ndo sumu. Iko siku mungu atadhihirisha kilichoko nyuma ya pazia.Hata Kama najua ndani ya chama kuna makundi lakini hii sakamwa sakamwa ya zitto Ina msukumo somewhere.

Wewe bwana unaesema Zitto haonekani kwenye M4C unahakika WABUNGE wote cdm wamekwisha participate kwenye hili jambo nitajie wenje ulimuona wapi au basi ni chuki binafsi zilizokujaa.

Kitu ninachokuahidi yote haya yana mwisho na siku ya siku yaliyokuwa yanaendelea. Mimi nina declare interest zangu kwamba ni shabiki mkubwa sana wa mbowe na kama ni uwezo wangu ningemrudisha agombee huyu mzee wangu wa nshara. Lakini Napenda demokrasia ichukue mkondo wake.

Siku zote mtu anayeogopa mawazo ya mwenzie ni mtu hatari kuliko ukae ukajua hilo
 
Mkirua,
Kinachozungumziwa humu ni wabunge kumsafishia njia Zitto. Wabunge wamekana, na wana-JF (baadhi) wame postulate kuwa hii habari Mwananchi wameandikiwa na Zitto (They have their own reasons).

Zitto naye amesema hajaandika au shurutisha mtu aandike hayo. On top of that, hakutaka kudanganya akasema anayo tape ya wabunge wakiongea kama ilivyonukuliwa na gazeti la Mwananchi.

Ninavyojua mimi, documentaries huwa zina vi-process fulani kabla hazijawa published, it may take a minute.
Tusubiri, ila naona wengi wanaenda nje ya mada.

zitto is smart... and he uses people like wewe, kuchezea postulates, kwani anajua abinye wapi pashtuke wapi

anyway, maybe you are right:wacko:
 
Haya sasa, mimi binafsi bila kumung'unya maneno nilishasema na nitasema daima (mpaka siku ABADILIKE) kuwa Zitto Kabwe ni MNAFIKI, na ni kijana hatari kwa mstakabali wa taifa letu kidemokrasia!

Sipingi wazo/ndoto yake ya kuwa rais bali njia anazotumia kuifikia ndoto hiyo ni ya kipuuzi na haikubaliki tuikemee na kuipinga, italiingiza taifa hili kwenye machafuko...

Maneno yako nimeyapenda sana, mungu akubariki sana!
 
Hiyo ingekuwa sahihi ingekuwa equillibrium imetulia, lakini hali haiko hivyo. Mijadala ya ndani na nje ya chama imeelekezwa kwenye kumkubali Dr. Slaa kama ndio de facto mgombea 2015. Sasa kuwaambia wengine wakae kimya na kumpigia debe Slaa kuendelee ni kinyume cha demokrasia. Dr. Slaa na washabiki wake wanapaswa kujua kuwa uchaguzi wa 2010 UMEKWISHA, uchaguzi wa 2015 ukianza ni mchakato mpya.
Wapi Slaa amepigiwa kampeni? Ondoa uzabizabina wako
 
Haya sasa, mimi binafsi bila kumung'unya maneno nilishasema na nitasema daima (mpaka siku ABADILIKE) kuwa Zitto Kabwe ni MNAFIKI, na ni kijana hatari kwa mstakabali wa taifa letu kidemokrasia!

Sipingi wazo/ndoto yake ya kuwa rais bali njia anazotumia kuifikia ndoto hiyo ni ya kipuuzi na haikubaliki tuikemee na kuipinga, italiingiza taifa hili kwenye machafuko...

Sasa mkuu hapa ni deo anadai kalishwa maneno na waandishi vilevile nasary,mdee na bulaya nao wamekana vivyo hivyo,
Isitoshe naye zitto kabwe alijitokeza hapa na kukana hayo maswala ya urais yanayozungumziwa,

Mkuu huoni kuwa hautendi haki kumshtumu pasipo ushahidi ili hali yeye mwenyewe kajitokeza kukanusha hoja hii ya urais ambayo ni hoja dhaifu?

Kwa swala la m4c unadhani zitto anaweza kuagizwa jambo na chama chake alafu akagoma kwenda alafu chama chake kimfumbie macho?

Next time njoo na hoja zenye mantiki na ushahidi ili utofautiane na guess za vijiwe vya ma-layman.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hiyo ingekuwa sahihi ingekuwa equillibrium imetulia, lakini hali haiko hivyo. Mijadala ya ndani na nje ya chama imeelekezwa kwenye kumkubali Dr. Slaa kama ndio de facto mgombea 2015. Sasa kuwaambia wengine wakae kimya na kumpigia debe Slaa kuendelee ni kinyume cha demokrasia. Dr. Slaa na washabiki wake wanapaswa kujua kuwa uchaguzi wa 2010 UMEKWISHA, uchaguzi wa 2015 ukianza ni mchakato mpya.

ZeMarcopolo aka Zitto Kabwe yamekutumbukia nyongo unahamisha kesi kwa Dr Slaa wenzako wamekataa wamekuambia wewe ni mwongo hakuna aliyekusafishia njia kwamba wewe ni Raisi unajitungia sentensi unapeleka kwa waandishi unakuja kwenye mitandao kujidefend na kuwaingiza wasiokuwamo Lini Zitto angemkubali Dr Slaa wakati alimkataa toka mwanzo 2010 alikuwa anampigia Kampeni Kikwete na 2015 alisema atagombea yeye sasa yeye ni demokrasia ipi ilitumika kwake double standard hiyo bwana
 
Washabiki wengi wa chadema ni wanafki wanapofikia kwenye Maswala nani agombee urais kupitia chama hichi.Wanataka kufanya Kama CUF na lipumba ndo ninachokiona sasa.Kwa nini msiache demokrasia ifuate mkonde wake?Ina maana kutaka madaraka zitto ndani ya chama ndo sumu.Iko siku mungu atadhihirisha kilichoko nyuma ya pazia.Hata Kama najua ndani ya chama kuna makundi lakini hii sakamwa sakamwa ya zitto Ina msukumo somewhere.Wewe bwana unaesema Zitto haonekani kwenye M4C unahakika WABUNGE wote cdm wamekwisha participate kwenye hili jambo nitajie wenje ulimuona wapi au basi ni chuki binafsi zilizokujaa.Kitu ninachokuahidi yote haya yana mwisho na siku ya siku yaliyokuwa yanaendelea.Mimi nina declare interest zangu kwamba ni shabiki mkubwa sana wa mbowe na kama ni uwezo wangu ningemrudisha agombee huyu mzee wangu wa nshara.Lakini Napenda demokrasia ichukue mkondo wake.Siku zote mtu anayeogopa mawazo ya mwenzie ni mtu hatari kuliko ukae ukajua hilo
Atangaze tuu kuwa anataka kugombea kataja wenziwe kwenye waraka aliopeleka Mwananchi umechapishwa wabunge wanne wamekataa kumsafishia njia asitake uraisi kupitia migongo ya wenziwe
 
Washabiki wengi wa chadema ni wanafki wanapofikia kwenye Maswala nani agombee urais kupitia chama hichi.Wanataka kufanya Kama CUF na lipumba ndo ninachokiona sasa.Kwa nini msiache demokrasia ifuate mkonde wake?Ina maana kutaka madaraka zitto ndani ya chama ndo sumu.....
Acha unafki Wenje alikua Kanda ya kusin na akazua mjadala mkubwa na Mwenyekiti wa Nccr Mageuz James Mbatia juu ya uteuz wake kuwa mbunge wa kuteuliwa na Rais. Zitto ni janga kwa taifa na mustakabali mzima wa CHADEMA kisiasa. Zitto atujibu n kwnn operesheni nyingi za kujenga CHADEMA haonekani?
 
Zitto anawakosesha watu usingizi mnakesha hapa mnamjadili! Hahahaa Zitto oo Zitto.
 
Kwa bahati nzuri wenzie wameshamjuwa na wanakula na kipofu...hata sisi wananchi wa kawaida wenye uwezo wa kufanya hesabu za kujumlisha na kutoa tayari tuliishaconclude kwani misimamo na affiliation zake zinaonekana wazi....maslahi binafsi kwanza CDM baadaye.

hivi wa nyumbani, Mkirua je kuna anayemjua Zitto kiundani sana? Hivi huko Kigoma si kuna waliokuwepo walate hapa video walizorekodi ama hata maneno tu kwenye vinasa sauti tuusikie ukweli.

What I can say Zitto nilibahatika kufanya nae kazi miaka hiyo kama kiongozi mwenzangu DARUSO na naweza kusema kwamba kweli ndipo nilipomjua huyu kaka he is my best friend ila kuna mahali ambapo kimsingi ana mapungufu napo ni kwenye ubinafsi.

He always thinks of his opportunity and not otherwise. Nakumbuka wakati tunakunji ili kujenga nyerere lecture theatre na pia namkumbuka wakat tumeshirikishwa kwenye uanzishwaji wa bodi ya mikopo. Niliumia sana yeye kwa position yake kama PM alivyotubetray kwenye ile ripoti. Labda watu watakuwa wamesahau ila ukweli ilitulazimu tena kwenda kufanya lobbying bungeni ili mswada usipite lakini it didnt work out.

Ila alitumiwa sana wakati huo na aliyekuwa waziri Pius NG'wandu kutublack mail so i dont have trust kwake kabisaaa, ila amebarikiwa sana kwa kuwa na lugha inayoweza kumconvice mtu tena kwa hamasa sana kiyu ambacho kwa morale huwa anawavuta wengi sana ila moyoni hayuko hivyo.
 
Zitto tuanokuonea huruma tunasema.....


...Kanusha habarii kwamba huhusiki na utengenezaji habari hiyi, hata wewe unamshangaa mhariri na mwandishi!!!












.
 
Wa2 wengine bana, yaan unamjengea m2 chuki mpaka unajilazimisha kutamka kwa makalio wakat mdomo unao!

Unaposema zitto hujamuona kwny kampen zozote unatumia kichwa au masabur kukumbuka_si ni ninyi mliposhindwa Kirumba mkajua zito ndiye pekee angeweza?

Na alipolia kwa hisia ya matatizo aliyoambiwa na wananchi mkabadilisha sentensi_sema nyie mnacheza na nyota na akili ya mtu kitu ambacho hamkujua kuwa password siku zote anayo muhusika_

Baada ya kushindwa sasa mnamuogopa na kumjengea chuki_sisi wa Kigoma tunamtambua na kumheshim sio mpaka akubalike uchagani
 
Wa2 wengine bana, yaan unamjengea m2 chuki mpaka unajilazimisha kutamka kwa makalio wakat mdomo unao! Unaposema zitto hujamuona kwny kampen zozote unatumia kichwa au masabur kukumbuka_si ni ninyi mliposhindwa Kirumba mkajua zito ndiye pekee angeweza? Na alipolia kwa hisia ya matatizo aliyoambiwa na wananchi mkabadilisha sentensi_sema nyie mnacheza na nyota na akili ya mtu kitu ambacho hamkujua kuwa password siku zote anayo muhusika_baada ya kushindwa sasa mnamuogopa na kumjengea chuki_sisi wa Kigoma tunamtambua na kumheshim sio mpaka akubalike uchagani_wajinga nyie

"Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza"
Zitto ni kijana aliyenifanya nianze kupenda politics kwani nilikua naichukia sana.Lakini kipindi kile analeta hoja motomoto bungeni nilimkubali sana.Lakini nilipokuja kumfahamu vizuri ni opportunist namchukulia kwa tahadhari kubwa sana.Mpaka sasa ukiniuliza nimdicribe Zitto,ntakuambia ni "mnafiki"Bado namfuatilia kwa karibu pamoja na mahusiano yake na JK.Lakini nilikuja kulithibitisha hilo wakati wa kampeni za 2010 alipowaambia wananchi wa kigoma 2015 atarudi jimboni kwao akiwa mgombea wa uraisi.Unaweza kuichukulia kauli hiyo kama ni rahisi,lakini katika hali ya kawaida alikua akitengeneza mtafaruku ndani ya chama,mapema kabisa.
Wenye akili za "mbuzi" endeleeni na ushabiki wenu.
 
Nilimuamini sana zitto lakini siku zinavyo kwenda imani kwake ina pungua.

Kwa mwendo huu Zitto hana nia nzuri na cdm, nia yake ni kuivuruga.
 
hivi wa nyumbani, Mkirua je kuna anayemjua Zitto kiundani sana? Hivi huko Kigoma si kuna waliokuwepo walate hapa video walizorekodi ama hata maneno tu kwenye vinasa sauti tuusikie ukweli.

What I can say Zitto nilibahatika kufanya nae kazi miaka hiyo kama kiongozi mwenzangu DARUSO na naweza kusema kwamba kweli ndipo nilipomjua huyu kaka he is my best friend ila kuna mahali ambapo kimsingi ana mapungufu napo ni kwenye ubinafsi.

He always thinks of his opportunity and not otherwise. Nakumbuka wakati tunakunji ili kujenga nyerere lecture theatre na pia namkumbuka wakat tumeshirikishwa kwenye uanzishwaji wa bodi ya mikopo. Niliumia sana yeye kwa position yake kama PM alivyotubetray kwenye ile ripoti. Labda watu watakuwa wamesahau ila ukweli ilitulazimu tena kwenda kufanya lobbying bungeni ili mswada usipite lakini it didnt work out.

Ila alitumiwa sana wakati huo na aliyekuwa waziri Pius NG'wandu kutublack mail so i dont have trust kwake kabisaaa, ila amebarikiwa sana kwa kuwa na lugha inayoweza kumconvice mtu tena kwa hamasa sana kiyu ambacho kwa morale huwa anawavuta wengi sana ila moyoni hayuko hivyo.

Like x 1000.

Mkuu gfsonwin,Wanasema experience is the best teacher....Nashukuru umewadhihirishia wanaopinga bila kumfahamu wanayemtetea..Zito alikuwa kiongozi wangu DARUSO pia nafurahi kujua na wewe gfsonwin ulikuwa pia kiongozi wangu....Ukifuatilia misimamo yake na matendo yake na kama una sharp mind na uko objective hata huhitaji historia yake ya DARUSO ila umetuongezea chachandu kwenye mbuzi choma....Lazima nikiri kuwa hata mimi nilimpenda na kumkubali sana zito lakini nilipogundua kuwa ananunulika kirahisi mno imani imeanza kunitoka na inaendelea kunitoka kwa kasi ya ajabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom