Mkuu hapa umepotea njia,hili ni jukwaa la siasa kwenye upande wa katiba mpya.Watu watasoma na kuendelea na shughuli zao.Jaribu kule jukwaa la Advice au Chit-Chat.Kwa kuwa wewe ni Senior member nilitegemea ungekua unajua hili.Wapo wataalam pia kule kwenye jukwaa la Enjoy This.
Hope nimekusaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.