Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Kanda za ngono zinasowahusisha Wakenya zinazidi kusambaa madukani humu nchini jambo ambalo linaonyesha jinsi maovu ya kijamii yalivyokithiri nchini. Cha kusikitisha ni kuwa watoto wasichana wadogo wanashawishwa kupigwa picha wakiwa uchi ili kutosheleza maslahi ya wanaofanya biashara hiyo.
Last edited by a moderator: