Filamu za kitanzania: Mazuri na mabaya

Asante mkuu, kwa kuniunga mkono hoja.

Kweli tatizo lipo, na tunatakiwa kukabiliana nalo.

Mtazamo wangu mimi ni huu, kwamba, filamu zetu nzuri kabisa, za kawaida, zenye mafunzo mazuri, zinaelekea 'kusiko'. Hizo filamu za ngono zinaeleweka wazi na tena kwa hapa Tanzania zinatazamwa kwa kificho. Sasa hizi zetu, za kawaida zinapenda kuiga mambo fulanifulani ambayo hayatakiwi kuonekana katika aina hizi za filamu za kawaida.

Ombi langu kwa wasanii wetu, ni hili: wajitahidi kuheshimu utamaduni wetu.

Dada mmoja alikuwa akitazama filamu mojawapo, pembeni yake alikuwa na mdogo wake wa kiume. Nilimwuliza ilikuwaje...akaniambia kuwa ilimblazimu mdogo wake huyo kuwa na busara; wakati fulani alijifanya kama vile anasinzia. Kijana alijisikia aibu kukaa na dada yake kutazama ile filamu.

Thanks!
 
Filamu za kibongo zina kubalika sana afrika mashariki lakini sina hakika kama wasanii wanapata stahili yao, zinauzwa sana mitaani na wanawake na vijana ndio wateja wakubwa. Manake katika mishemishe zangu Kenya, Rwanda na Burundi mara nyingi nimekuwa nikiulizwa kuhusu filamu na wasanii wa kitanzania na wengi wao wakitaka niwape maelezo mengi kuhusu hizo filamu na wasanii.

Kwa kweli mie sio mtazamaji na nawajua wasanii wachache sana, nimeombwa hata email zao lakini sina ya yeyote, nawapa saluti wasanii wote kwamba kazi zao zimekubalika na wafikirie kunufaika zaidi na soko hili ikibidi watoke kidogo. Bongo fleva (Club zote nilizotembelea lazima nyimbo tatu au nne ziende hewani, ila tatu bila inafunika zaidi) iko juu sana tu katika ukanda huu manake isije kuwa watu wanatazama Dar, Nairobi na Kampala tu, Kuna Kigali, Bujumbura na sehemu za DRC Congo.

Kikubwa zaidi watu wanasema watanzania wanajua kuigiza na kiswahili chao ni namba one na kila mtu anapenda azungumze kama wa TZ. Kinachotualibia katika hizi filamu ni uchawi manake pia tunaambiwa wa TZ ni wachawi sana sababu wanaona katika filamu zetu nyingi tunaigiza uchawi uchawi, wanaotazama hizo filamu watasema.

Kama watu wataacha kugonga copy street basi muziki na filamu za kibongo zitawatoa watu wengi sana. Kama kuna member anataarifa zaidi azimwage hapa nawasilisha.
 
Ni miaka mingi sasa tunaendekeza upuuzi katika filamu zetu za kitanzania ni lini tutabadilika?
juzi hapa nimejiloga nikaangalia movie ya kitanzania inayoitwa oprah
nikakuta makosa ya kipuuzi ambayo sikutegemmea kuyakuta matika movies za 2008

Niliangalia ile movie part 1 and 2 nilivyomaliza nikavunja cd zote cauz ni aibu


makosa:-

1. walikuwa wanachovya mic kila dakika ndani ya screen
(seriously ni kwamba zile movies hazina reshot kama maizigo au?)

2. kulikuwa hakuna colour filter hata kidogo in day light alafu usiku wanaweka filter la ajabu eti wameweka filter ya pembeni kuna jiza katikati kuna mwanga yaani kama vile mtu anaota
(Watanzania mmeshinndwa kuingia youtube muangalie jinsi ya kutengeneza filter kwenye movie???)

3. scene nyingine hazina maana. kama scene moja ilikuwa inarudiwa kila dakika [ ile ya kuingiza gari ndani kupark ile scene ilikuwa inachukua more than a minute alafu haikuwa ya maana alafu inarudiwa kila dakika na car parking scene hazionyoshwagi zotee kwa mmda mrefu vile

4.scene ya kuonyesha magari yanatokea sehem kuanzia mwanzo mpaka inapofika sommetimes inachukua more than 5mins to show that scene (wow we sure have directors)

5. aliyeandika script alikuwa anakimbizwa script haikuwa imenyooka hata secunde. kama ile scene mwanzoni mshkaj anakutana na rafiki yake alafu yule rafiki yake anabakia kushangaa kama kaona shetani na alikaa more than 2mins anajidai hamjui mtu ambae alikuwa ni rafiki yake wa karibu sanaaaa
( hivi kuna mtu anamsahau mtu ambae alikuwa ni rafiki wake tena wa kushibana tena seconndari afathali ungeniambia primary)

6.wameshirikisha watu wachache sana kwenye movie. [ naweza kulikubali hili kama ni mambo ya budjet] but hivi yule miriam walimueka wa nini pale? cauz kitu miriam alichokifanya ni kumwambia tu yule oprah kuwa unabahati kupata mwanaume anayekupenda, and nothing else hawajaweza kuweka mtu mwenye activity nyingine hata moja yaani kama maigizo

7.sound tracks zilikuwa hovyo [ Nathani tunawaigiza watu wa western(nigerians)] na its stupid cauz utakuta sehem ya starehe wenyewe wanaweka soud track ya mazishi
( programs za kutengeneza sound trcks ziko nyingi sana kwenye internet it the matter of downloading them and playing with them)

8. ubahili wa kurefusha scene kuna sehem yule oprah aliondoka na yule mshkaj wakaenda zanzibar ile scene waliweka sound track na kuonyesha shots more than 20mins. (ni director kafanya hivi au aliyetengeneza script?)

9.kuna makosa mengi sana niliyoyaspot that day nilitamani kulia lakini kuna kimoja walikipatia

10. walichopatia ni make up ya yule demu always alikua anaonekana poa walichokosea kuhusu make up wanaume kuna wakati walikuwa wanaongezewa sana makeup wakawa wanatokea kama vinyago
 
Ni miaka mingi sasa tunaendekeza upuuzi katika filamu zetu za kitanzania ni lini tutabadilika?
juzi hapa nimejiloga nikaangalia movie ya kitanzania inayoitwa oprah
nikakuta makosa ya kipuuzi ambayo sikutegemmea kuyakuta matika movies za 2008

Niliangalia ile movie part 1 and 2 nilivyomaliza nikavunja cd zote cauz ni aibu


makosa:-

1. walikuwa wanachovya mic kila dakika ndani ya screen
(seriously ni kwamba zile movies hazina reshot kama maizigo au?)

2. kulikuwa hakuna colour filter hata kidogo in day light alafu usiku wanaweka filter la ajabu eti wameweka filter ya pembeni kuna jiza katikati kuna mwanga yaani kama vile mtu anaota
(Watanzania mmeshinndwa kuingia youtube muangalie jinsi ya kutengeneza filter kwenye movie???)

3. scene nyingine hazina maana. kama scene moja ilikuwa inarudiwa kila dakika [ ile ya kuingiza gari ndani kupark ile scene ilikuwa inachukua more than a minute alafu haikuwa ya maana alafu inarudiwa kila dakika na car parking scene hazionyoshwagi zotee kwa mmda mrefu vile

4.scene ya kuonyesha magari yanatokea sehem kuanzia mwanzo mpaka inapofika sommetimes inachukua more than 5mins to show that scene (wow we sure have directors)

5. aliyeandika script alikuwa anakimbizwa script haikuwa imenyooka hata secunde. kama ile scene mwanzoni mshkaj anakutana na rafiki yake alafu yule rafiki yake anabakia kushangaa kama kaona shetani na alikaa more than 2mins anajidai hamjui mtu ambae alikuwa ni rafiki yake wa karibu sanaaaa
( hivi kuna mtu anamsahau mtu ambae alikuwa ni rafiki wake tena wa kushibana tena seconndari afathali ungeniambia primary)

6.wameshirikisha watu wachache sana kwenye movie. [ naweza kulikubali hili kama ni mambo ya budjet] but hivi yule miriam walimueka wa nini pale? cauz kitu miriam alichokifanya ni kumwambia tu yule oprah kuwa unabahati kupata mwanaume anayekupenda, and nothing else hawajaweza kuweka mtu mwenye activity nyingine hata moja yaani kama maigizo

7.sound tracks zilikuwa hovyo [ Nathani tunawaigiza watu wa western(nigerians)] na its stupid cauz utakuta sehem ya starehe wenyewe wanaweka soud track ya mazishi
( programs za kutengeneza sound trcks ziko nyingi sana kwenye internet it the matter of downloading them and playing with them)

8. ubahili wa kurefusha scene kuna sehem yule oprah aliondoka na yule mshkaj wakaenda zanzibar ile scene waliweka sound track na kuonyesha shots more than 20mins. (ni director kafanya hivi au aliyetengeneza script?)

9.kuna makosa mengi sana niliyoyaspot that day nilitamani kulia lakini kuna kimoja walikipatia

10. walichopatia ni make up ya yule demu always alikua anaonekana poa walichokosea kuhusu make up wanaume kuna wakati walikuwa wanaongezewa sana makeup wakawa wanatokea kama vinyago


Si unajua wabongo hawako serious na kazi. Movie inatengenezwa kwa muda mfupi sana.
 
Ni kweli kabisa watunzi na waongozaji wa filamu nyingi za kitanzania HAWAJATULIA kabaisa.Nadhani EXPOSURE INAWACOST HAWA MADIRECTOR.inawezekana pia hata technologia yetu naona bado iko chini sanaaaaaaaaaaa.

Wapo waongozaji wengine naona mambo yao sio mabaya.Nadhani watu wangejifunza kutoka kwa hawa jamaa wanaodirect KOMEDI ORIGINAL,au hata kwa huyu TYSON.wako vizuri jamaa.wakipata vyombo vilivyoenda darasa watakula bata
 
Ni miaka mingi sasa tunaendekeza upuuzi katika filamu zetu za kitanzania ni lini tutabadilika?
juzi hapa nimejiloga nikaangalia movie ya kitanzania inayoitwa oprah
nikakuta makosa ya kipuuzi ambayo sikutegemmea kuyakuta matika movies za 2008

Niliangalia ile movie part 1 and 2 nilivyomaliza nikavunja cd zote cauz ni aibu


makosa:-

1. walikuwa wanachovya mic kila dakika ndani ya screen
(seriously ni kwamba zile movies hazina reshot kama maizigo au?)

2. kulikuwa hakuna colour filter hata kidogo in day light alafu usiku wanaweka filter la ajabu eti wameweka filter ya pembeni kuna jiza katikati kuna mwanga yaani kama vile mtu anaota
(Watanzania mmeshinndwa kuingia youtube muangalie jinsi ya kutengeneza filter kwenye movie???)

3. scene nyingine hazina maana. kama scene moja ilikuwa inarudiwa kila dakika [ ile ya kuingiza gari ndani kupark ile scene ilikuwa inachukua more than a minute alafu haikuwa ya maana alafu inarudiwa kila dakika na car parking scene hazionyoshwagi zotee kwa mmda mrefu vile

4.scene ya kuonyesha magari yanatokea sehem kuanzia mwanzo mpaka inapofika sommetimes inachukua more than 5mins to show that scene (wow we sure have directors)

5. aliyeandika script alikuwa anakimbizwa script haikuwa imenyooka hata secunde. kama ile scene mwanzoni mshkaj anakutana na rafiki yake alafu yule rafiki yake anabakia kushangaa kama kaona shetani na alikaa more than 2mins anajidai hamjui mtu ambae alikuwa ni rafiki yake wa karibu sanaaaa
( hivi kuna mtu anamsahau mtu ambae alikuwa ni rafiki wake tena wa kushibana tena seconndari afathali ungeniambia primary)

6.wameshirikisha watu wachache sana kwenye movie. [ naweza kulikubali hili kama ni mambo ya budjet] but hivi yule miriam walimueka wa nini pale? cauz kitu miriam alichokifanya ni kumwambia tu yule oprah kuwa unabahati kupata mwanaume anayekupenda, and nothing else hawajaweza kuweka mtu mwenye activity nyingine hata moja yaani kama maigizo

7.sound tracks zilikuwa hovyo [ Nathani tunawaigiza watu wa western(nigerians)] na its stupid cauz utakuta sehem ya starehe wenyewe wanaweka soud track ya mazishi
( programs za kutengeneza sound trcks ziko nyingi sana kwenye internet it the matter of downloading them and playing with them)

8. ubahili wa kurefusha scene kuna sehem yule oprah aliondoka na yule mshkaj wakaenda zanzibar ile scene waliweka sound track na kuonyesha shots more than 20mins. (ni director kafanya hivi au aliyetengeneza script?)

9.kuna makosa mengi sana niliyoyaspot that day nilitamani kulia lakini kuna kimoja walikipatia

10. walichopatia ni make up ya yule demu always alikua anaonekana poa walichokosea kuhusu make up wanaume kuna wakati walikuwa wanaongezewa sana makeup wakawa wanatokea kama vinyago

Nadhani wadau wamekuelewa, mwanzo mgumu, walianza bishanga, ikaja kaole, baadae movie za kutia aibu, MWISHO TUTAFIKA HUKO MNAKOKUTAKA. naamini hata HAO walianzia hukuhuku YES WE CAN.
 
It is true that this industry has a long way to go in Tanzania . At times the theme is very invinting but because of various mistakes here and there, as the ones pointed out, one gets very dissapointed. On a few occassions I have watched those movies with non-Swahili speakers. Imagine the English subtitles they put. Gosh! What a shame I feel! Jee huku ni kubana matumizi kwamba ukiajiri mtu anayekimudu Kimombo vizuri zaidi atakutoza hela zaidi?
 
Movie Bongo!

Msinitapishe Nyie hizo ni Video Game Ndugu zangu Movie mchezo!

Kwa ufupi kwanza movie Inataka Kitu Kinachoitwa movies indurstry Tunakimbilia kuwageza wa Nigeria (Narwood) ili hali wao Ni Failure hawana jipya labda watengeze maigizo na mini Series Wafanye Kama Wanavyofanya Ze Original Komed Maana hakuna wanachoweza kukibadilisha.

Toka nilipona Movie yao ya Kwanza Girlfriend walijitahidi kidogo katika Categories ya OST (Original Sound Truck) lakini hakuna kilichobadilika Zaidi ya Nyumba Na hotel Wanazobadilisha kila kukicha.

Lazima tuangalie nchi za Hapa hapa Afrika tusiende mbali Holywood Wala Bolywood. Tazama katika nchi zilizoaanza siku nyingi Katika Suala zima la Utengenezaji wa filamu. Misri wako mbele saana. Lazima tujifunze kupitia kwao ili Kuipanua fani nzima ya Filamu.

Leo utasema eti ndio tunaanza hapa usitamke kauli hii filamu zinataka Facilities za kutosha na za kisasa sio kutumia video Camera viji DV Na Mic za ajabu ajabu. Filamu iliotengenezwa nchini Kenya Mwaka 1977 MLEVI Mpaka leo ipo katika mahadhi ya Kifilamu Kuliko hizi Tamthilia zenu za Leo.

Hakuna Upumbavu kama niliopata kuona Kama Ule katika Revenge, yaani kwanza huyo sijui Ray hajui kabisa Ku-Act Halafu yule mwanamke ndio Mshamba Kabisa sijui alikuwa mcheza ngonjera? Wanaokotezana Wanacheza Filamu Halafu Wanatoa DVD eti movie! Matangazo kibao!

Kusema kweli sikuimalizia hiyo DVD bali nilitupilia mbali kwani ndio kwanza nilikuwa narudi Nchini. Nikipata Copy nilipokuwa Arusha.

Filamu ya kwanza kutengenezwa nchini Marekani na kutolewa Rasmi Na Studio Zinazotambulika na holywood ni mwaka 1911. Nchini China 1916!

Huyu Mchungaji Mtitu (Siku hizi anakwenda katika Ma bar Na majumba ya starehe. Je, kanisa analipa mgongo) ndio mdau Mkubwa Wa Filamu zetu za kiujanjaujanja. Aibu tupu Wenzake wanamiliki Camera za filamu Zinazopita juu ya reli yake
 
Nadhani wadau wamekuelewa, mwanzo mgumu, walianza bishanga, ikaja kaole, baadae movie za kutia aibu, MWISHO TUTAFIKA HUKO MNAKOKUTAKA. naamini hata HAO walianzia hukuhuku YES WE CAN.




Mwanzo mgumu katika hili sikubaliani nawe kwani tasnia ya filamu imendelea sana hivi sasa, hivyo ni vema watu wakasomea fani hiyo kabla ya kujiita madirector au waigizaji ingawa uigizaji ni art lakini naamini elimu juu ya uigizaji pia wanapaswa kuwanayo kwa ajili ya ubora wakazi zao. Mfano sinema ya Yombayomba ni ya siku nyingi mbona inazidi hata hizo za leo ingawa na yenyewe ina upungufu wake katika maeneo fulani? Mimi nafikiri njaa zisifanye watu wavamie fani, BASATA mko wapi? watu hawazingatii maadili ya kitanzania wanaigiza uchafu tu na kuuza kanda. Msemo wa Mwanzo mgumu kama vile tunaomba uhuru hauna nafasi kwa sasa. Let us be serious
 
I totally agree.Once I decided to watch African Magic 2,the Dstv channel which shows non-Nigerian movie.I had couple of friends with me.We suspended a soccer match to watch the movie.I promised them that it was going to be their best movie experience of their life time.I was so disappointed after just ten minutes.The movie had no story.Quality of sound and even color was pathetic.The language side,Lord help us.These people were speaking in Swahili,but the moment they spoke in English even a single line it was a disaster.

It was just to much and we turned to our soccer and did not speak a word till the next day.Are there no actors who can speak English and make a quality movie which could even be watched outside East Africa.And another thing,we desperately need a movie college where directors are taught how to direct and even shooting,as for now hawana wanachokifanya.And those of us who adore quality will keep on watching Hollywood.It's worth our money.
 
Mbali na kuangalia technical part angalia pia content. Unashangaa hata televisheni ya taifa ku-air upuuzi wa kina Joti na Mpoki ambao haufundushi kitu chochote. Content ya TV prgrams zetu ni zero kabisa, zamani tulikuwa na TFC ilikuwa nafanya kazi nzuri sana, sijui ilikufa vipi na nani aliiua sasa hivi tunaoa kuwa hatukustahili kuiua.
 
hiyo Oprah ilikuwa na matangazo kila kna, kumbe ndio bure kuliko filamu zote! kwa ujumla ni mbaya sana, wanabaki kugeza nigerians hakuna lolote jipya, ovyooo kabisa.
 
Hapa kuna vitu vingi vinavyochangia,kwa mfano:vifaa duni;taaluma ndogo;teknolojia iko chini;hakuna specialization of labour.Hivyo basi inafikia hatua mtu anatumia handycam(home use) katika kuchukua picha halafu unakuta ni moja/mbili inatumika kila corner.Mtu mmoja anafanya kazi mbili/tatu tofauti;elimu hiyo ya taaluma zote hizo ameipata lini na hadi anaingia kufanya kazi katika film industry?!Ukifuatilia unakuta hana mojawapo ya hizo/hana kabisa,hivyo ni kazi ya kubahatisha tuuuu.
Kwa mtindo huu tunajichanganya wenyewe kiasi huwezi ukashindanisha na wenzetu.Sasa kwanini mimi nisitoe fedha yangu katika kitu bora(value for my money)?!
 
Ni kweli mwanzo mgumu. Kwa upande wangu nafikiri ni vema tujitahidi kuwa professional kwenye kazi tunazofanya. Kama kuna kikwazo kikubwa kwetu basi ni hii tabia ya kufanya mambo bora yaende.
Filamu nyingi hazina mvuto wa TZ kama wenzangu walivyosema mwanzoni.Ubunifu mpaka tuige wanaigeria? Kuna mengi ambayo kama wasanii wa filamu wakitulia na kuyafanyia kazi yataleta mageuzi makubwa. Historia yetu ina utajiri mkubwa wa mambo mengi ambayo ama kwa kuelezea uhalisia wake au kujenga story kupitia kwenye historia tunaweza kufanya maajabu na kuyajua mengi ambayo nnchi hii inayapitia.
Kazi kubwa kwa sasa ni kujenga profesionalism kwenye hii industry ili tuweze kufika mbali
 
Tatizo ni kuwa actors hawachaguliwi kutokana na elimu, wanachaguliwa kutokana na vigezo ambavyo sio merit. Ukigawa nyama kwa producer basi anakuchagua, ukiwa miss kitongoji basi una chance nzuri tu ya kujiunga nao. Ukiwa mjanja mjanja tu bila hata elimu na kujua ethics za u-producer basi unakuwa producer. Ukiangalia wengi waliokuwa bagamoyo hawana nafasi kubwa kwenye industry lakini ma miss vitongoji ndio wamejaa, same story kwenye media. Siku hizi radio imekuwa kupiga muziki tu kila kukicha, kazi ya radio imekuwa ni rahisi kiasi kwamba ni u-dj tu hakuna kutumia akili zaidi ya mdomo
 
Wadu Tz hii kazi ya kigiza bado saana. Huwezi kuniambia mtu na form four failure na standard seven leo,kesho awe mwigizaji mzuri. Hizi ni fani za watu,wamesomea,tanzania njaa ni nyingi saana watu wanavamia fani na matokeo yake wanaharibia hata wale wenye hii taaluma. C wasifii wanigeria lkn wale wazee waliowengi ni watu wana famila zao tena nzuri na ni wastaafu serikalini,vijana nao wanfanya kazi maana ni wasomi lkn pamoja na hayo yoote wanaattend vyuo vya sanaa kabla ya kuanza kazi. Sasa sisi c kwamba hatuwezi ,baraza letu la sanaa zamani nilipokuwa nasoma secondary niliambiwa kuwa lilikuwa lina jukumu hata la kuharibu filamu ambazo hazina manufaa kwa taifa,sasa cjui lilikufa? Ushauri wangu kwa waigizaji,ebu nendeni mkasomee hiyo fani maana sometimes mnaboa saana!!!
 
Jamani hao waigizaji wanafanya kazi kulingana na soko la Tz, na ufahamu wa wateja wao! Niwachache mnaoweza ona kasoro, lakini tulio wengi tunazifagilia ile mbaya....
 
Kwa upende wangu naona waigizaji wengi hawajaenda kusoma mambo ya sanaa. ndio maana hata muvies wanazo act zinakuwa na kiwango cha chini sana makosa yanakuwa mengi sana. kwa kuwa mwanzo ni mgumu basi tuwape muda nao wafikia hatua ya kucheza movies zenye ubora wa kimataifa.

Ila cha msingi ni kwenda kupata kozi za fani ya uigizaji filamu.
 
Nina shangazwa na tabia ya watanzania,tunapenda sana kusifia vitu vya wengine badala ya kusifia vyakwetu.Vijana hawa wanaotengeneza sinema au maigizo wanajitahidi kwa sehemu yao.kama vile ulivyozaliwa na hukuanza kutembea siku hiyohiyo mwana/bibi Makundi ndivyo nao wanaendelea.Siku zote tunajifunza kutokana na makosa kadri mnavyo wasaidia katika kuwarekebisha badala ya kuwashutumu ndivyo wanavyoendelea kutengeneza kitu kizuri zaidi.Tuache tabia kama hii ya kuto dhamini kazi ya mtu. mimi ningekudhamini kama ungeanza na wewe zakwako ili uwape hiyo changamoto.
Nadhani unakasumba ya kina Rambo,na wengine wote ukisahau kuwa nao walianza hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom