Fikra zangu juu ya karne zijazo

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
26,204
56,831
habari zenu wana jf..?

Hizi ni fikra zangu juu ya karne zijazo ktk dunia yetu.
SEHEMU MPYA YA MAKAZI YA WATU
kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani huenda baadae watu wataanzisha makazi ktk mwezi/sayari nyengine.
lkn pia upungufu wa vitu kama gesi/madini n.k duniani huenda kukamfanya binadamu kuanza kutafuta vitu hivyo ktk sayari nyengine endapo atavibaini kuna uwezekano wa kuanzisha makazi.

KUBADILIKA SYSTEM YA UONGOZI
ktk karne hizo mwanadamu huenda akagundua njia mpya ya uongozi na nzuri zaidi kushinda hizi za sasa na watu kuondokana na siasa/ufalme n.k

KUKUA ZAIDI KWA TECHNOLOJIA
ktk hili huenda mwanadamu akafanya vitu vikubwa zaidi ambavyo kwa miaka hii vinaonekana haviwezekani mfano, kutengeneza chombo cha usafiri chenye kasi kama mwanga/umeme,kutengeneza kifaa cha kufika mpk kwenye jua/nyota..

wewe je unafikiria nini ktk karne zijazo...?
 
Siku moja nilienda kijijini kwetu nilikuta mazingira yameharibika sana watu nilikuta wamekata miti hovyo hovyo nikaenda mtoni nikakuta maji yamepumgua kwa 90% yale maeneo ambayo tulikua tunaogelea na kushika samaki zamani nikakuta maji yalisha kauka Na watu wengi nilikuta wamejenga kwenye vyanzo vya maji.

Lile swala lilinihizunisha sana Na nikwaza miaka 100 mbeleni itakuwaje Na nikawaza Yale maji ambayo yamepumgua kwa 90% yamekwenda wapi?

Kuna akili ikanijia lazima Yale maji yote yaliyo pungua ipo siku Yale maji watakuja kuludi. Tena kwa kasi kubwa.
Itakuja kunyesha mvua kubwa sana Na itauwa watu zaidi 90% Na na viumbe wengine watakuja kutoweka kabisa hayo maeneo itaanza kuota miti Na vitakuja viumbe vingine ambavyo kwa karne hii hatujawahi kuviona.

Dunia siku zote inautaratibu wake haya yote yanayo endelea lazima kuna system inajitengeneza.
Ambayo itakuja kuwa hatari kwa dunia.
 
Siku moja nilienda kijijini kwetu nilikuta mazingira yameharibika sana watu nilikuta wamekata miti hovyo hovyo nikaenda mtoni nikakuta maji yamepumgua kwa 90% yale maeneo ambayo tulikua tunaogelea na kushika samaki zamani nikakuta maji yalisha kauka Na watu wengi nilikuta wamejenga kwenye vyanzo vya maji.

Lile swala lilinihizunisha sana Na nikwaza miaka 100 mbeleni itakuwaje Na nikawaza Yale maji ambayo yamepumgua kwa 90% yamekwenda wapi?

Kuna akili ikanijia lazima Yale maji yote yaliyo pungua ipo siku Yale maji watakuja kuludi. Tena kwa kasi kubwa.
Itakuja kunyesha mvua kubwa sana Na itauwa watu zaidi 90% Na na viumbe wengine watakuja kutoweka kabisa hayo maeneo itaanza kuota miti Na vitakuja viumbe vingine ambavyo kwa karne hii hatujawahi kuviona.

Dunia siku zote inautaratibu wake haya yote yanayo endelea lazima kuna system inajitengeneza.
Ambayo itakuja kuwa hatari kwa dunia.
elimu inatakiwa kutolewa ili kumaintain mazingira duniani.
 
kutakuwa na ongezeko kubwa sana la matumizi ya vidonge kuliko sasa..mfano ukijisikia njaa unameza vidonge vyenye kufanya kazi mwilin sawa na ugali au chai,ukitaka kula embe unanunua kidonge chenye content zote za embe.pia watazaliwa watanzania wasichna warembo sana na wavulna wazuri kuliko wa sasa..
 
In a nutshell;

Money, greed and globalization has transformed nationalism to "corporationalism" -- call it Corporatocracy. Ignore the few who still believe in nationalism.

The world population is exploding and this will result in incurable diseases, increased pollution, scarcity of natural resources, collapse of world economy and eventually wars. The world population will then shrink. New systems of governance and economy will be established by the remaining few.

On the other hand, technology will create "machines" smarter than humans. This is through advanced AI and breakthroughs in nano-tech, biotech and genetics. Think of a pill which cures all diseases but in return, you are no longer a "human". Post-humanism is less of a fiction and more of a reality if you think about it.

So for the future, I say drink your whisky and enjoy the ride. We are in for an interesting one.

cc: Kiranga
 
Siku moja nilienda kijijini kwetu nilikuta mazingira yameharibika sana watu nilikuta wamekata miti hovyo hovyo nikaenda mtoni nikakuta maji yamepumgua kwa 90% yale maeneo ambayo tulikua tunaogelea na kushika samaki zamani nikakuta maji yalisha kauka Na watu wengi nilikuta wamejenga kwenye vyanzo vya maji.

Lile swala lilinihizunisha sana Na nikwaza miaka 100 mbeleni itakuwaje Na nikawaza Yale maji ambayo yamepumgua kwa 90% yamekwenda wapi?

Kuna akili ikanijia lazima Yale maji yote yaliyo pungua ipo siku Yale maji watakuja kuludi. Tena kwa kasi kubwa.
Itakuja kunyesha mvua kubwa sana Na itauwa watu zaidi 90% Na na viumbe wengine watakuja kutoweka kabisa hayo maeneo itaanza kuota miti Na vitakuja viumbe vingine ambavyo kwa karne hii hatujawahi kuviona.

Dunia siku zote inautaratibu wake haya yote yanayo endelea lazima kuna system inajitengeneza.
Ambayo itakuja kuwa hatari kwa dunia.
Hayo unayosema kuwa ipo siku mvua itanyesha kubwa sikweli.hayo yalishatokea toka enzi za nuhu.hivyo kinachoenda kutokea kwa dunia ni kubadilika na kuwa jiwe kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi.
 
Hayo unayosema kuwa ipo siku mvua itanyesha kubwa sikweli.hayo yalishatokea toka enzi za nuhu.hivyo kinachoenda kutokea kwa dunia ni kubadilika na kuwa jiwe kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi.
Ukisema hivyo utakuwa unakosea kwasababu lazima kije kitokee kitu ambacho kitaifanya dunia.
Iendelee kuwepo.
Na hii lazima itasababishwa Na uharibifu wa mazingira.
 
Dunia itaendelea kuwepo tu.ila viumbe vilivyopo duniani vitaja potea.either kwa mihamo kwenda sayari zingine or kwa maangamizi
 
Dunia itaendelea kuwepo tu.ila viumbe vilivyopo duniani vitaja potea.either kwa mihamo kwenda sayari zingine or kwa maangamizi
Nimepata mawazo kupitia aya hii, wengi walikuwa wakiuliza kuhusu sayari zilizibakia zina kazi gani?, kwamfano mars, jupiter, venus nanyenginezo naweza sema kuwa wale watu walioangamizwa walikuwa wanaishi katika hizo sayari na kila walikuwa wakiangamizwa sayari inatengenezwa nyengine wanahamia kwengine mpaka ikafikia sayari ya dunia ambayo tupo viumbe sisi tulipo (Earth) so sayari hizo zilienda kwa series mpaka watu wakafanikiwa kuziona sayari 9 ktk solar system tukiacha zile maicro planet, kwamfano watu walioangamizwa watu wa Nabii Luti, Salah, Nuhu na wengineo, katika dunia ya sasa imeonekana kuchomoza kwa kitu ambacho wanakinasibisha na sayari (nibur au planet x) hivo basi kutokana na uovu wa mwanadamu kupitiliza, sayari ya nibur /planet x inakuja kuchukua nafasi ya Sayari ya dunia (Earth) since sayari X itakuja na maangamizi katika sayari ya dunia na kupelekea kupotea viumbe vyote vilivyopo dunia na sayari ya dunia itakuwa ni somo kama sayari nyengine
 
habari zenu wana jf..?

Hizi ni fikra zangu juu ya karne zijazo ktk dunia yetu.
SEHEMU MPYA YA MAKAZI YA WATU
kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani huenda baadae watu wataanzisha makazi ktk mwezi/sayari nyengine.
lkn pia upungufu wa vitu kama gesi/madini n.k duniani huenda kukamfanya binadamu kuanza kutafuta vitu hivyo ktk sayari nyengine endapo atavibaini kuna uwezekano wa kuanzisha makazi.

KUBADILIKA SYSTEM YA UONGOZI
ktk karne hizo mwanadamu huenda akagundua njia mpya ya uongozi na nzuri zaidi kushinda hizi za sasa na watu kuondokana na siasa/ufalme n.k

KUKUA ZAIDI KWA TECHNOLOJIA
ktk hili huenda mwanadamu akafanya vitu vikubwa zaidi ambavyo kwa miaka hii vinaonekana haviwezekani mfano, kutengeneza chombo cha usafiri chenye kasi kama mwanga/umeme,kutengeneza kifaa cha kufika mpk kwenye jua/nyota..

wewe je unafikiria nini ktk karne zijazo...?
 
habari zenu wana jf..?

Hizi ni fikra zangu juu ya karne zijazo ktk dunia yetu.
SEHEMU MPYA YA MAKAZI YA WATU
kutokana na ongezeko kubwa la watu duniani huenda baadae watu wataanzisha makazi ktk mwezi/sayari nyengine.
lkn pia upungufu wa vitu kama gesi/madini n.k duniani huenda kukamfanya binadamu kuanza kutafuta vitu hivyo ktk sayari nyengine endapo atavibaini kuna uwezekano wa kuanzisha makazi.

KUBADILIKA SYSTEM YA UONGOZI
ktk karne hizo mwanadamu huenda akagundua njia mpya ya uongozi na nzuri zaidi kushinda hizi za sasa na watu kuondokana na siasa/ufalme n.k

KUKUA ZAIDI KWA TECHNOLOJIA
ktk hili huenda mwanadamu akafanya vitu vikubwa zaidi ambavyo kwa miaka hii vinaonekana haviwezekani mfano, kutengeneza chombo cha usafiri chenye kasi kama mwanga/umeme,kutengeneza kifaa cha kufika mpk kwenye jua/nyota..

wewe je unafikiria nini ktk karne zijazo...?
 
Siku moja nilienda kijijini kwetu nilikuta mazingira yameharibika sana watu nilikuta wamekata miti hovyo hovyo nikaenda mtoni nikakuta maji yamepumgua kwa 90% yale maeneo ambayo tulikua tunaogelea na kushika samaki zamani nikakuta maji yalisha kauka Na watu wengi nilikuta wamejenga kwenye vyanzo vya maji.

Lile swala lilinihizunisha sana Na nikwaza miaka 100 mbeleni itakuwaje Na nikawaza Yale maji ambayo yamepumgua kwa 90% yamekwenda wapi?

Kuna akili ikanijia lazima Yale maji yote yaliyo pungua ipo siku Yale maji watakuja kuludi. Tena kwa kasi kubwa.
Itakuja kunyesha mvua kubwa sana Na itauwa watu zaidi 90% Na na viumbe wengine watakuja kutoweka kabisa hayo maeneo itaanza kuota miti Na vitakuja viumbe vingine ambavyo kwa karne hii hatujawahi kuviona.

Dunia siku zote inautaratibu wake haya yote yanayo endelea lazima kuna system inajitengeneza.
Ambayo itakuja kuwa hatari kwa dunia.
Tunatoka kijiji kimoja nini Mkuu.
 
Jambo ulilolieza hapo ni copyright na kijijini kwetu, miaka ya 90 kijiji kilikuwa kama kisiwa yaani maji ni mengi tulikamata samaki hadi kwenye mashamba ya mpunga tukiwa vijana wadogo. Watu wakivuna mpunga hadi waliamua kusaga mchele huo huo ili uwe unga na kupika ugali kwa kukosa mahindi, leo hii hata mahindi yanakauka kwa kukosa maji. Ninashangaa sana asee.
 
Back
Top Bottom