Fikra za January Makamba Kuhusu katiba Mpya

If English language is obstacle to you, then use whatever language is understood by a majority of your readers. I detest people who use language that they are not comfortable with and as a result they do not convey the right message to their target readers

Ni sawa na kumtusi dokta raisi Kikwete kwani huyo alikuwa MSHAHURI wake katika mambo ya MAANDISHI( kusoma na kuandika) hicho KILUGHA!
 

  • January Makamba
    Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate? Why do we need an entirely new one instead of amending problematic provisions? Are "patches" (amendments) sufficient reason to rewrite the constitution? (USA constitution has 27 amendments). Is the constitution really that critical for development (UK does not have one). What process do we use to determine the contents of new constitution?






This is not America jack! Taifa la america lina zaida ya miaka 300 with only 27 ammendements thats means hiyo katiba maandalizi yake yalihushisha watu na makundi mbalimbali na walipo hafikiana ikaandikwa but ours it was just copied,pasted and keeps on ammended which is obsolete,Mwalimu Nyerere kuhusu madini yetu alisema tutayachimba pindi tutakopokua na wataalam wetu na sasa wataalam wa nyanja mbalimbali tunao and the time is rihts to overhaul the all constitution which can meet the need of today,tomorrow and 300years or 1000 years to come otherwise you tell me that this country will perish after your era is over....!!!
 
Evil-Kid-Funeral.jpg

well...thats Katiba yetu
 
  • January Makamba
    Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate? Why do we need an entirely new one instead of amending problematic provisions? Are "patches" (amendments) sufficient reason to rewrite the constitution? (USA constitution has 27 amendments). Is the constitution really that critical for development (UK does not have one). What process do we use to determine the contents of new constitution?

Mtoto wa Makamba ni Makamba, kwa hiyo mimi sioni cha kujadili. akili ni sawa na ya kukuya kupayuka tu. What process do you use, and waht process did you use in the beginning? Makamba part II
 

  • January Makamba
    Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate? Why do we need an entirely new one instead of amending problematic provisions? Are "patches" (amendments) sufficient reason to rewrite the constitution? (USA constitution has 27 amendments). Is the constitution really that critical for development (UK does not have one). What process do we use to determine the contents of new constitution?






'' Like Father like son''
 
Unajua hata mimi nilikuwa nashangaa mbona anashambuliwa wakati kwenye hii post hakuna alipopinga ila alitoa tu maoni yake mambo ya kuzungumzia kwa kina. Ameanza na "Tuzungumzie katiba mpya" ndipo kikafuata kimombo.

Labda iwe aliyemnukuu kachukua nusu ya alichokuwa ameandika January. Tunamuomba atuwekee document yoote.

Hii ni topic muhimu sana na namuunga mkono January pamoja na kuwa kisiasa yuko upande tofauti na mimi. Tunatakiwa kutaja mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya sasa na kuyataja na sii kumshambulia makamba. Pia tuongelee nini kifanyike. Kama kuna baadhi yetu wakati wa kamati ya White paper ikipita watu wengi hawakutoa maoni au walitoa maoni ambayo ni tofauti na kilichokuwa kinaulizwa kwenye white paper.
Gonga hapa January Makamba kisha fuatilia habari hiyo. Kama hujawahi kuwa member wa facebook ndio wakati utatakiwa kujiunga kwanza kwa kufanya registration. Hakuna mtu anaweza kufikia pale alipoweka mchango huo january kama sio memba wa facebook.
 
Hawa ndio waliokuwa wakimpeleka JK marekani kila kukicha ili nao wapate kwenda kuwakoga wwatu huko.Hajui hata umuhimu wa katiba. Ebu wewe januari tuambie kwa nini shati au suruali ya viraka ni aibu, ya nini katiba yetu iwe na viraka? Akili tegemezi ndiyo inasababisha mtu kuwa mvivu kiasi cha kutoa hoja tegemezi. Eti Marekani na Uingereza!!!!
We want our own suitable constituition to take care of Fisadis,wachakachuaji wa kura nk.
Unanufaika na katiba inayoruhusu udikteta kiasi cha polisi,u/taifa, jeshi kushirikiana kuiba kura ?? We want to do away with our country being a police state.
 
badala ya kujadili issue mnamjadili January

halafu mnadai katiba mpya!

Kutokana na maswali ya kebehi aliyouliza kwenye hiyo FB page yake, huyu bwana anastahili matusi yote anayotukanwa hapa. Maswali haya yanaonyesha wazi ya kuwa mbunge huyu haeshimu utawala wa sheria na anajaribu kufananisha jua na mwezi. Kwa hiyo, kwa kuwa Uingereza hawana katiba basi na sisi tusiwe nayo! Sijapata kuona uwezo finyu wa kufikiri kama huu; hivi huyu ndio mtu mliokuwa mkisema ana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo?
 


  • January Makamba
    Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate? Why do we need an entirely new one instead of amending problematic provisions? Are "patches" (amendments) sufficient reason to rewrite the constitution? (USA constitution has 27 amendments). Is the constitution really that critical for development (UK does not have one). What process do we use to determine the contents of new constitution?






mkuu.... thread uliyoomba hi hapa
 
Tanzania Constitution is "Obsolete"...... i can not thesauri when such language like problematic provision are used to relate the current situation regarding the need for a new draft constitution in Tanzania..... it is not a sin to draft a new constitution that will definitely bring hope for change....

this man was really a presidential aide .... what caliber is he of in terms of intellectual perception... i wonder

huyu ndio Januari Makamba..... nae ana marathon za kuwa President one day...... sijui itakuwaje
 
katiba mpya sio ombi ni haki yetu!hatuhitaji kujiuliza hayo maswali yake wala kujifananisha na awaye yeyote!January hayo maswali hayana tija kwa taifa!usijaribu kutetea serikali inapotaka kutunyima haki walipa kodi wake.napata hasira tunawalipa mshahara then mnatuletea mambo ya ajabu ajabu!
 
Kwa wasiojua, Januari alikuwa ndiye mwandishi wa hotuba za rais na mshauri wa karibu wa rais kuhusu upayukaji majukwaani. This can explain why jk's leadership has failed.
 
Tuzungumze Katiba mpya. Why is the current one inadequate?

  • Becasue it does not make or force our irresponposbile decision makers repsonsbile for their action
  • It does not advocate balance of power between Government and other so called Idependente institution Like NEC, TAKUKURU,
  • The currnet we have is the constituion to protectand work for those in power not the people
  • Its a perfect cosntitution for selfish and greedy rulers and its not good for good leaders.
Why do we need an entirely new one instead of amending problematic provisions?

  • We need a new one because even some the critical and key ammendments by proposed by previus commisions have not been implimented to date.Why have they not bee implimented.???? Rudi swali la kwanza utapata jibu
Are "patches" (amendments) sufficient reason to rewrite the constitution? (USA constitution has 27 amendments). Is the constitution really that critical for development (UK does not have one). What process do we use to determine the contents of new constitution?

  • To my uderstanding UK has constitution . It is just not in writing wich I also dont agree. May be Uk constitution is not in one document
  • We just need a cosntition just will help tanzania get leader and not rulers.
  • We need Constituion that will enable,TAKUKURU, NEC, POLICCE, etc to be there for pople noot for those who electedthem in post.


Mpeleeekini jibu hilo huyo January. Ni kizungu changu cha kuunga unga nadhani ataelewa. na baada ya ku google wamesema hivi kuhusu maneno yasyo ya kweli kuwa UK haina katiba
............In all but a handful of democracies in the world, the nation's constitution can be found in a single document. The exceptions are Israel, New Zealand and the United Kingdom.
As a result, people sometimes say that we in Britain do not have a constitution. ........ .http://news.bbc.co.uk/1/hi/uk_politics/88136.stm
Muulizeni pia ule mpango wake wa vipi tulisoma article kuwa atakopa magari maalum ya kubeba matunda kwa ajili ya jimbo lake.
 
The UK has an unwritten constitution based on over 1000 years of legal evolution from Magna Carta to the present day. Huyu Januari anaongea nini?
 
huyu january kwannz alipitaje bila kupingwa? Kwenye jimbo lake wasomi ni wachache na wanasiasa au ?
 
JANUARY MAKAMBA ANAWAKILISHA KUNDI LINALONUFAIKA NA UTAWALA WA SASA NA AMBALO NADHANI LINAJIPANGA KUZUIA JITIHADA ZA KATIBA MPYA LABDA MPAKA DAMU IMWAGIKE KAMA KENYA. JANUARY ANAFANYA REFERENCE KATIBA YA USA LAKINI SIAMINI ANAFANYA REFERENCE KWA MAMBO YOTE. ZIPO SABABU NYINGI KUDAI KATIBA MPYA

1. KATIBA YA SASA INARUSU MFUMO MBOVU WA KIUNGOZI KWA SABABU HIYO UCHUMI HAUWEZI KUPIGA HATUA KWA WATAWALA NA MADIKITETA

2. KATIBA YA SASA IMEMINYA DEMOKRSIA YA KUCHAGULIWA NA KUTHIBITI WALIOCHAGULIWA -KWAHIYO HATUWEZI KUPATA TIJA YA MAENDELEO KIUCHUMI, KIUTAMADUNI NA KIJAMII-WATAWALA WA SASA HAWAWAJIBI KWA WATANZANIA -mfano niambie ni watoto wangapi wankufa kwa vifo visivyokuwa vya lazima kama watoto watano waliozaliwa juzi hapa pale shinyanga na watatu kufa kwa sababu ya huduma?

3. KATIBA YA SASA INARUHUSU GENGE LA KINA JANUARY KUTUMIA RASILIMALI ZA NCHI WATAKAVYO BILA MIPAKA-KWA MAANA KWAMBA HAKUNA CHECK AND BALANCE -

HAKUNA AMANI PASIPO NA HAKI NA HAKUNA DEMOKRASIA PASIPO NA HAKI HAKUNA SASA KWANINI TUSICHUKUE KATIBA MPYA. JANUARY NA WENZAKE LAZIMA WAJUE KWAMBA USULTANI UMEFIKA MWISHO WATANZANIA TUNATAKA MABADILIKO.

ZIPO SABABU NYINGI KUDAI KATIBA MPYA

Usijali katika hii mpya tunayoipigania tuta fanya kila jitihada kuweka kifungu kinacho fanana na nchi fulani hivi ambapo mtoto kurithi mali ya mzazi si automatic ili kuweka incentive kwa kila raia kufanya kazi ili kupata riziki afikiapo umri wa miaka 18. Kwa mzazi yeyote anayetaka mrithisha mali yake basi alipe ushuru usiopugungua 75% kwa serikali ili kuhamisha hiyo right ya umiliki kwa mtoto wake ama sivyo akitaka kutokulipa kodi basi arithishe charity organization yeyote ile na pia ili aweze kuilipa hiyo 75% kwa transfer ni only possible kama atakuwa amefikisha umri wa kustaafu=mzee e.g 60 years. Hii beside kutoa incentive kwa watu kufanya kazi itaondoa tabia ya watu kufisadi public funds na mambo mengine yanayofanana na hayo kwa minajili ya kurithisha vizazi vyao tabia za kifalme na kuondoa uwajibikaji kwa baadhi ya raia. Itatoa incentive pia kwa viongozi kujenga uwezo wa kitaasisi zaidi kuliko kuweka maendeleo at household level. Njia za kubana mafisadi bila kutishia investiment ziko nyingi sana... Hii pia itasaidia kesi nyingi sana za mirathi ila tu tukubali kuwa mtoto na wazee watakuwa mali ya taifa so kuwawekea mazingira ya ulinzi (provision of basic needs) wakutosha kama watakuwa hawana wazazi au watoto wakuwasaidia hii inaweza kuwekea time frame na as uchumi utakavyokuwa unakua then wanakuwa totaly owned na society kama ilivyo kuwa zamani this time ikiboreshwa zaidi badala ya family ku take care basi state.
 
Tayari anajulikana yuko upande gani kwahiyo wala hamna hata haja ya kujadili mawazo yake!!Huwezi kutegemea mtu kama huyo kutaka katiba mpya ambayo itamuumiza yeye na kufaidisha Watanzania...maana kuwawezesha ..kuwafaidisha na kuwasaidia Watanzania sio part ya agenda yao!
 
Back
Top Bottom